Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Hii biashara wanayofanya US Ukraine naona mwisho wake itashushwa sarmat ile mwana ukome. Russia atarudi nyuma na kuwakaanga wa Ukraine na hio itakuwa ile basi tukose wote. Maana wanarefusha vita kwa misaada isio na msingi.

Ngoja tuone wakati wa winter ukifika itakuwaje ulaya na US wakikatiwa gas.
Naona kila mmoja anazungumzia 'winter ngoja ikifike' sasa wao wenyewe wameshajipanga na hiyo winter halafu mtakuja na stori za nini tena winter ikishapita.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Kama hiyo ni kweli, basi amepania kuanzisha WW3 ambavyo hataweza kuvishinda badala yake Dunia itakuwa destroyed in totality - binadamu huyu ni hatari kuliko maelezo watu hawajui tu!! Na nimuonapo Biden wakati mwingine anazubaa zubaa na wakati mwingine anasalimiana na hewa huwa naogopa sana nabaki najiuliza maswali mengi: hivi huyu ni binadamu wa kupewa briefcase yenye code za ku-launch thermonuclear ICBMs towards Russia - tumuombe Mungu tu atusalimishe dhidi ya uwekano mkubwa wa WW3 kuanzishwa aidha kwa kutokana na miscalculation/bahati mbaya au kimakusudi - dalili sio nzuri kusema kweli unless Biden akiondolewa ofisini kwa uwezo/nguvu za Mungu la sivyo tumekwisha - sitanii.
Hata mm naliona hili ww3 ipo njiani kwa mtindo huu
 
baada ya kumuogopa anaeturudisha kwenu ukoloni , unawezaj kuvamia nchi bila sabab za msingi eti kisa inataka kujiunga na NATO , yaan nchi ilikuvumilia miaka 20 ipo neutral bado ukaona haitosh ukapandikiza na rais kibaraka , ukaona haitosh ukapola jimbo pia ukaona haitosh ukapandikiza waasi pia ikawa haitosh ukaivamia kabisa , HUYU NDO WASWAHILI WANAMSHABIKIA NA KUMPONDA USA AMBAE NDO ANAWASAIDIA VITU VINGI TU ngoz nyeus itabakia kuwa maskin maana wanaish bila mipango yaan akili hazifikil wap pana maslai na mm , huyo china hajawai fanya chochote bure , ila hao west mnakula pesa zao za chanjo 1b then mmeletewa misaada mingi tu
Ngozi nyeusi muache kama alivyo. Kula, kunywa, kunya kulala kwako lakini huyu huyo ndiye anaenda kukusema ubaya kwa adui yako, akimaliza kukusema vibaya jua likizama anarudi kwako alale na anywe.
West wana mabaya yao ila mazuri yao ni mengi.
 
Huko Ukraine ambako US anafanya field ya silaha zake vijana 16-35 yrs wa Ukraine wanaisha kila siku kwa makombora ya mwamba PUTIN
Wachache watakuelewa mkuu, hivi sasa roketi zinazo rushwa na HIMARS zimekwisha fanyiwa utafiti na wana sayansi wa Urusi na kugundua jinsi ya kuzidhibiti - hazitambi tena, zinafagiliwa kutoka angani kama inzi - media za magharibi zipo kimya kabisa, kazi kukanusha kila taarifa inayo zungumzia kuhusu kuharibiwa/shambuliwa HIMARS systems,just imagine mpaka Ikulu na wizara ya ulinzi inakanusha taarifa hizo - sasa suala ni: KWANINI wanakanusha??
 
Wachache watakuelewa mkuu, hivi sasa roketi zinazo rushwa na HIMARS zimekwisha fanyiwa utafiti na wana sayansi wa Urusi na kugundua jinsi ya kuzidhibiti - hazitambi tena, zinafagiliwa kutoka angani kama inzi - media za magharibi zipo kimya kabisa, kazi kukanusha kila taarifa inayo zungumzia kuhusu kuharibiwa/shambuliwa HIMARS systems,just imagine mpaka Ikulu na wizara ya ulinzi inakanusha taarifa hizo - sasa suala ni: KWANINI wanakanusha??
US. Umbwamba wake wote unaishia kwa mchina
 
Wachache watakuelewa mkuu, hivi sasa roketi zinazo rushwa na HIMARS zimekwisha fanyiwa utafiti na wana sayansi wa Urusi na kugundua jinsi ya kuzidhibiti - hazitambi tena, zinafagiliwa kutoka angani kama inzi - media za magharibi zipo kimya kabisa, kazi kukanusha kila taarifa inayo zungumzia kuhusu kuharibiwa/shambuliwa HIMARS systems,just imagine mpaka Ikulu na wizara ya ulinzi inakanusha taarifa hizo - sasa suala ni: KWANINI wanakanusha??
Ukweli ni kwamba hakuna HIMARS iliyoharibiwa.., tatizo umezama kwenye mahaba Niue tu mpaka unashindwa kuona uhalisi.., andunje anahenyeshwa huko Ukraine [emoji12]
 
Wachache watakuelewa mkuu, hivi sasa roketi zinazo rushwa na HIMARS zimekwisha fanyiwa utafiti na wana sayansi wa Urusi na kugundua jinsi ya kuzidhibiti - hazitambi tena, zinafagiliwa kutoka angani kama inzi - media za magharibi zipo kimya kabisa, kazi kukanusha kila taarifa inayo zungumzia kuhusu kuharibiwa/shambuliwa HIMARS systems,just imagine mpaka Ikulu na wizara ya ulinzi inakanusha taarifa hizo - sasa suala ni: KWANINI wanakanusha??
Ukraine ina HIMARS jumla 19 tu ukijumlisha na zile tatu walizopewa na Uingereza lakini ukiangalia taarifa za Russia tangu mwanzo kuhusu kuziharibu zinazidi hata idadi ambayo Ukraine wamepewa. Tangu mwezi wa 7 mwanzoni wanasema wameziharibu Leo NNE,kesho mbili,keshokutwa wanasema tatu lakini cha ajabu evidence hawatoi.
 
Ukweli ni kwamba hakuna HIMARS iliyoharibiwa.., tatizo umezama kwenye mahaba Niue tu mpaka unashindwa kuona uhalisi.., andunje anahenyeshwa huko Ukraine [emoji12]
Ukweli ni kwamba hakuna HIMARS iliyoharibiwa.., tatizo umezama kwenye mahaba Niue tu mpaka unashindwa kuona uhalisi.., andunje anahenyeshwa huko Ukraine [emoji12]
Soma vizuri nilicho andika - read my lips, nimesema "kutunguliwa kwa rockets zinazo rushwa na HIMARS launchers" sasa kama unashindwa kutofautisha baina ya rockets na launchers kumbe tufanyeje.
 
Urusi haina mambo ya kishoga kama USA. Halafu hio diplomasia aliyonayo Marekani ni ipi? Ya kutengeneza virusi ili kuangamiza Ulimwengu? Au ya kuchochea vita?

Angekuwa mtu wa diplomasia asingepeleka silaha Ukraine. Angeomba wayamalize kwa Amani.
ww una ushaidi au ndo wale wale team vilopo lopo ? umbeya mbele ukwel nyuma
 
Urusi haina mambo ya kishoga kama USA. Halafu hio diplomasia aliyonayo Marekani ni ipi? Ya kutengeneza virusi ili kuangamiza Ulimwengu? Au ya kuchochea vita?

Angekuwa mtu wa diplomasia asingepeleka silaha Ukraine. Angeomba wayamalize kwa Amani.
unamaliza kwa amani na mtu ashalipua makaz ya watu , au unajikuta kichaa kusahau alivamia Georgia walimwacha tena alivamia Moldova walimwacha , pia walimuacha alipovamia Crimea , pia walimuacha alipokuwa akisaidia waasi kutaka kujitenga na Ukraine , aliisaidia rais wa Belarus kuua watu walioandamana kumtaka hajiudhuru 2020 , pia huko kazaskan alimsaidia rais kuua waandamaj waliokuwa wanataka ajiuzuru , kote huko wamemuacha na alikuwa anakiri hadharan kbs na ukimya wa dunia aliona kama dunia ni vichaa. ss hv anapitishiwa nyum adab imjie , hatuez kurud enz za ukolon tushatoka huko , nitawale kiakili na sio kimabav , huo ni ushamba
 
What a Childish comments!! Nikwambie kitu mkuu, kitu cha kwanza leta hoja mbadala na sio kukimbilia kutukana tukana watu ambao huwajui vizuri, yaani utaki kabisa watu walete maoni tofauti na ya kwako, kisaikolojia unaonekana wazi wazi una traits za a bully type and overly arrogant, masaa yote kuwasema /kuwatukana members ambao hawakubaliani na maoni yako unawatukana kwamba wana akili finyu!! Usione watu hawakujibu kwa kutumia abrasive language kama ya kwako ukafikiri na wanakuogopa au ni wajinga, mwanzo nilikuwa naku-ignore tu, lakini hivi sasa umezidi - Mark you, sio kwamba nasema mambo ya kutunga tu au ya kiuonezi, ukitaka kujijua ulivyo please revisit all your asinine laden remarks herein - what do they tell you psychologically, ni wazi una tatizo si bure, sikusemi vibaya lakini ukweli ndio huo may be ukijirudi behavior zako zitakuwa 4 the better na sio kujiona you can play binadamu wenzako on your little finger and get away unscathed!!

Labda niongezee kwa kusema kwamba usichukulie every member hapa kwamba ni average Joe - ukitulizana akili na kuheshimu binadamu wenzako utajifunza mengi kutoka kwa JF members ambao ni knowledgeable kwa mambo/masuala mengi tu, si lazima ukubaliane na maoni yao lakini usiwatukane - learn to agree to disagree without offending anyone,kama uwezi basi hapa hapakufai. Goodday Amigo.
unaandika ushamba kma vile
hujasoma civics , mtu mzima hujui maana ya sovereignty na bado unaandika essay kujitetea , utu uzima gan una utetea hapa , support with adult reasoning , ukiwa mtu mzima na una akili za ushabiki wa teamKiba vs TeamMond , ww huna tofaut na mtot ambae haja barehe , I hate people who support without reasoning just because they hate one side , I feel like you are the ones retarding us to primitive era , mwafrika una mitizamo isiyo na maslai kwako .

ova nakurudishia mic.
 
Hii biashara wanayofanya US Ukraine naona mwisho wake itashushwa sarmat ile mwana ukome. Russia atarudi nyuma na kuwakaanga wa Ukraine na hio itakuwa ile basi tukose wote. Maana wanarefusha vita kwa misaada isio na msingi.

Ngoja tuone wakati wa winter ukifika itakuwaje ulaya na US wakikatiwa gas.
Wee ndo unavyowaza?....ok unateseka kutokea wap[emoji1787][emoji1787]
 
Kama hiyo ni kweli, basi amepania kuanzisha WW3 ambavyo hataweza kuvishinda badala yake Dunia itakuwa destroyed in totality - binadamu huyu ni hatari kuliko maelezo watu hawajui tu!! Na nimuonapo Biden wakati mwingine anazubaa zubaa na wakati mwingine anasalimiana na hewa huwa naogopa sana nabaki najiuliza maswali mengi: hivi huyu ni binadamu wa kupewa briefcase yenye code za ku-launch thermonuclear ICBMs towards Russia - tumuombe Mungu tu atusalimishe dhidi ya uwekano mkubwa wa WW3 kuanzishwa aidha kwa kutokana na miscalculation/bahati mbaya au kimakusudi - dalili sio nzuri kusema kweli unless Biden akiondolewa ofisini kwa uwezo/nguvu za Mungu la sivyo tumekwisha - sitanii.
we jamaa una chekesha kweli kweli tatizo unabase sana upande mmoja yaani wewe ni team Russia lia lia hivi wakumuombea ni Biden ama Putin alie sema vikosi vyake vya Nyuklia vikae tayari ila kwakua unasapot upande mmoja hukuwah kukemea hivi leo hii mmekula kichapo mnaanza kuleta habari za mwisho wa Dunia
embu achen kujitoa faham hizo
 
Ukraine ina HIMARS jumla 19 tu ukijumlisha na zile tatu walizopewa na Uingereza lakini ukiangalia taarifa za Russia tangu mwanzo kuhusu kuziharibu zinazidi hata idadi ambayo Ukraine wamepewa. Tangu mwezi wa 7 mwanzoni wanasema wameziharibu Leo NNE,kesho mbili,keshokutwa wanasema tatu lakini cha ajabu evidence hawatoi.
Nakuelewa vizuri tu mkuu, tatizo ni kwamba watu wanashindwa kutofautisha baina ya roketi na launcher - ni hivi mkuu: HIMARS system ni lori dogo ambalo chassis yake imejengewa/fungwa bomba sita za kipenyo kikubwa, hizo ndizo zinatumika kama roketi launchers, wanatumbukiza/weka roketi zenye solid fuel kwenye mabamba hayo na kuzifyatua kwa kutumia spark zinazo zalishwa na umeme. Nilicho kisema mimi kinahusu kutunguliwa kwa idadi kubwa ya rockets zinazo rushwa na HIMARS systems/launchers, sikugusia chochote kuhusu HIMARS system zenyewe ingawa kuna taarifa kwamba mpaka sasa Russia imefanikiwa kuharibu HIMARS sita kati ya zile zilizo kwisha ingizwa Ukraine - sina uhakika Ukraine imekwisha pewa idadi ngapi za HIMARS so far.
 
Wachache watakuelewa mkuu, hivi sasa roketi zinazo rushwa na HIMARS zimekwisha fanyiwa utafiti na wana sayansi wa Urusi na kugundua jinsi ya kuzidhibiti - hazitambi tena, zinafagiliwa kutoka angani kama inzi - media za magharibi zipo kimya kabisa, kazi kukanusha kila taarifa inayo zungumzia kuhusu kuharibiwa/shambuliwa HIMARS systems,just imagine mpaka Ikulu na wizara ya ulinzi inakanusha taarifa hizo - sasa suala ni: KWANINI wanakanusha??
Huwezi kuwa na jeshi linaloshindwa kulinda air base yenye silaha nyingi na ndege za kutosha, ukaweza zuia roketi za HIMARS ambazo ni speed kubwa na diameter ndogo zinazorushwa kwenye kambi ya makumi machache ya wanajeshi. Aibu gani hii kwa the so called superpower?
20220811_020529.jpg
20220811_081324.jpg

Huna uwezo wa kulinda ofisi ya mkuu wa mkoa unakuja kututisha kwamba unaweza linda ofisi za vitongoji
 
Ukraine ina HIMARS jumla 19 tu ukijumlisha na zile tatu walizopewa na Uingereza lakini ukiangalia taarifa za Russia tangu mwanzo kuhusu kuziharibu zinazidi hata idadi ambayo Ukraine wamepewa. Tangu mwezi wa 7 mwanzoni wanasema wameziharibu Leo NNE,kesho mbili,keshokutwa wanasema tatu lakini cha ajabu evidence hawatoi.
Ukiachana HIMARS, Russian Defence Ministry si ulisema imeharibu ndege zote za Ukraine siku tatu za mwanzo wa vita, mbona ndege zinaruka.

Ministry of Defence hiyohiyo iliwahi toa idadi ya Bayraktars za Ukraine zilizoharibiwa, cha ajabu idadi ilikuwa nyingi kuliko zote zilizowahi tengenezwa na zinazotumika nchi zote operators. Mpaka Baykar, kampuni ya Uturuki inayozitengeza ilipodokeza hivyo.

Juzi hapo kwenye attack ya air base Crimea, Russia walisema kuna wanajeshi walihandle vibaya silaha. Sasa mbona wananchi walikimbia Crimea wakatengeneza foleni ya 24hrs kutoka. Kwamba waliogopa bahati mbaya isijirudie kwenye Kerch bridge.

Bado Moskva ilipozama wakasema ni dhoruba. We dhoruba gani linazamisha cruiser ya tani zaidi ya 10,000 wakati boti za watu wawili zipo baharini.

Hakuna superpower hapa
 
Ukiachana HIMARS, Russian Defence Ministry si ulisema imeharibu ndege zote za Ukraine siku tatu za mwanzo wa vita, mbona ndege zinaruka.

Ministry of Defence hiyohiyo iliwahi toa idadi ya Bayraktars za Ukraine zilizoharibiwa, cha ajabu idadi ilikuwa nyingi kuliko zote zilizowahi tengenezwa na zinazotumika nchi zote operators. Mpaka Baykar, kampuni ya Uturuki inayozitengeza ilipodokeza hivyo.

Juzi hapo kwenye attack ya air base Crimea, Russia walisema kuna wanajeshi walihandle vibaya silaha. Sasa mbona wananchi walikimbia Crimea wakatengeneza foleni ya 24hrs kutoka. Kwamba waliogopa bahati mbaya isijirudie kwenye Kerch bridge.

Bado Moskva ilipozama wakasema ni dhoruba. We dhoruba gani linazamisha cruiser ya tani zaidi ya 10,000 wakati boti za watu wawili zipo baharini.

Hakuna superpower hapa
Nasema hivi , agiza k-can't ntalipa [emoji106][emoji106]
 
Ukiachana HIMARS, Russian Defence Ministry si ulisema imeharibu ndege zote za Ukraine siku tatu za mwanzo wa vita, mbona ndege zinaruka.

Ministry of Defence hiyohiyo iliwahi toa idadi ya Bayraktars za Ukraine zilizoharibiwa, cha ajabu idadi ilikuwa nyingi kuliko zote zilizowahi tengenezwa na zinazotumika nchi zote operators. Mpaka Baykar, kampuni ya Uturuki inayozitengeza ilipodokeza hivyo.

Juzi hapo kwenye attack ya air base Crimea, Russia walisema kuna wanajeshi walihandle vibaya silaha. Sasa mbona wananchi walikimbia Crimea wakatengeneza foleni ya 24hrs kutoka. Kwamba waliogopa bahati mbaya isijirudie kwenye Kerch bridge.

Bado Moskva ilipozama wakasema ni dhoruba. We dhoruba gani linazamisha cruiser ya tani zaidi ya 10,000 wakati boti za watu wawili zipo baharini.

Hakuna superpower hapa
Juzi wakati hii base imelipuliwa/imelipuka walisema hakuna ndege yoyote iliyopata madhara lakini satellite images zimekuja kuwaumbua
IMG_20220811_200555.jpg
 
Back
Top Bottom