Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Hii biashara wanayofanya US Ukraine naona mwisho wake itashushwa sarmat ile mwana ukome. Russia atarudi nyuma na kuwakaanga wa Ukraine na hio itakuwa ile basi tukose wote. Maana wanarefusha vita kwa misaada isio na msingi.

Ngoja tuone wakati wa winter ukifika itakuwaje ulaya na US wakikatiwa gas.
Mkuu USA hanunui gas Kwa Mtu yoyote ana Gas yake tena ya kutosha na ndo msambazi mkubwa wa Gas huko Ulaya Kwasasa baada ya Russia kupunguza kiasi anachowauzia Europe.
Na hii vita imemsaidia Sana maana hilo soko la Gas Ulaya alikua analitaka kitambo sana mpaka akaweka vikwazo kwenye Nord stream 2.

Hivi mnadhani huyo Putin haogopi kutumia hizo nyuklia,juzi hapa yeye mwenyewe alikiri kwenye nuclear war hakutakua na mshindi

Putin says no one can win a nuclear war
 
Kama hiyo ni kweli, basi amepania kuanzisha WW3 ambavyo hataweza kuvishinda badala yake Dunia itakuwa destroyed in totality - binadamu huyu ni hatari kuliko maelezo watu hawajui tu!! Na nimuonapo Biden wakati mwingine anazubaa zubaa na wakati mwingine anasalimiana na hewa huwa naogopa sana nabaki najiuliza maswali mengi: hivi huyu ni binadamu wa kupewa briefcase yenye code za ku-launch thermonuclear ICBMs towards Russia - tumuombe Mungu tu atusalimishe dhidi ya uwekano mkubwa wa WW3 kuanzishwa aidha kwa kutokana na miscalculation/bahati mbaya au kimakusudi - dalili sio nzuri kusema kweli unless Biden akiondolewa ofisini kwa uwezo/nguvu za Mungu la sivyo tumekwisha - sitanii.
baada ya kumuogopa anaeturudisha kwenu ukoloni , unawezaj kuvamia nchi bila sabab za msingi eti kisa inataka kujiunga na NATO , yaan nchi ilikuvumilia miaka 20 ipo neutral bado ukaona haitosh ukapandikiza na rais kibaraka , ukaona haitosh ukapola jimbo pia ukaona haitosh ukapandikiza waasi pia ikawa haitosh ukaivamia kabisa , HUYU NDO WASWAHILI WANAMSHABIKIA NA KUMPONDA USA AMBAE NDO ANAWASAIDIA VITU VINGI TU ngoz nyeus itabakia kuwa maskin maana wanaish bila mipango yaan akili hazifikil wap pana maslai na mm , huyo china hajawai fanya chochote bure , ila hao west mnakula pesa zao za chanjo 1b then mmeletewa misaada mingi tu
 
Ni kweli mkuu, yaani Zelensky ana roho ngumu kama ya paka, he doesn't seem to be bothered by astronomical numbers of Ukrainian Soldiers loosing their lives in a futile war against Russia -Anacho jali yeye ni kukubali aridhi ya Ukraine itumiwe na USA kufanya majaribio ya silaha mpya kushambulia majeshi ya Russia, hiki ndicho kinacho endelea huko Ukraine.
kwa akili hz ndio maana mlitawaliwa mkashindwa hata kupigania uhuru wenu mpk wao walipochoka ndo wakawaacha na kuwapa uhuru kwa wao kupenda
 
Kitu kibaya zaidi kwenye hii Operation huwezi kusikia Russia ikisonga mbele na kufanya mashambulizi yoyote ya kuizidi Ukraine. Ikiwa mashambulizi ya Russia yakitangazwa ujue kashambulia makazi ya watu, shule, hospitali, supermarket na kuua watu.

Kwa mtu mwerevu mwenye ufahamua wenye afya njema ni lazima ajiulize kwa viulizo vingi.

Na kila Ukraine anposhindwa na kurudi nyuma kabisa wataalamu wa Sky news wanasema ni mbinu za kivíta za kujipanga zaidi na kufanya mashambulizi zaidi. Lakini kila zikochunguliwa habari taarifa zinaonesha kadri Ukraine anavyozidi kufanya mbinu za kivita kurudi nyuma kwa kujipanga vizuri ndivyo anavyozidi kurudi nyuma zaidi na maeneo yake kukamatwa na kuwa chini ya Russia.

Zelenski kwenye interviews zake anasema kwa siku Ukraine wanakufa si chini ya wanajeshi 100. Kwa siku Russia inarusha makombora zaidi 20,000 na kwa idadi hii anadiriki kusema imewazidi wao zaidi ya mara 3.

Nazidi kujiuliza kwa nukta hizi chache inasemwa Russia inapigwa kwenye uwanja wa vita. Lakini uwioano wa habari ni tofauti. Pengine kuna nukta naikosa siielewi, Russia inapigwa wapi kwenye hii Operation na Ukraine?
kwann ashambulie makaz ya watu ? kwann asiende kuwawinda wauza madawa wa huko Urusi ?
 
Kama ungelewa kiundani ni nini hasa kimeleteleza matatizo yote haya, wala husingemtetea Zelensky - yeye anatumiwa tu wala hajielewi - anapokubali kama zuzu Taifa lake litumike indirectly kutishia usalama wa Russian Federation unategemea nini? Putin had no choice save to spring up a surprise attack to pre-empty Zelensky evil plan - who can blame him?

Njama zilizo kuwa zinasukwa na Zelensky kwa ushauri kutoka kwa US Administration zilijulikana mapema via agency za kijasusi - ilijulikana kwamba Zelensky alikuwa amekusanya majeshi na zana nzito za kivita kwa lengo la kuivamia Ukraine ya mashariki na Crimea, lengo hasa ni kuwaua ma million ya Waukraine wenye asili ya Urusi, actually tangu 2014 jeshi la KINAZI (Azov) la Zelensky lilisha angamiza Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi, cha ajabu hakuna taifa hata moja la magharibi au vyombo vyao vya habari vilivyo wahi kukemea/shutumu mauuaji hayo ya kutisha, wako kimya kabisa - WHY? they are least concern - Badala yake Sky News na like mind wenzake ndio wanatuletea story za kuchonga tu zilizo sheheni propaganda za kitoto ili kuwafanya wasikilizaji kama hawaja enda shule vile? Kwanza watu wote Duniani wenye akili timamu wanajuwa fika kwamba jeshi la Zelensky linapata wakati mgumu kwenye vita hii licha ya kusaidiwa na wanajeshi wa Merikani na Uingereza kwa kificho, lakini hilo haliwasadii chochote jeshi la Zelensky, wako hoi bin taabani!!
una akili fupi sana nina mashaka hata civics ulipata F , hakuna nchi yenye mamlaka ya kuingiza jeshi lake kwenye nchi nyingine bila kujali migogoro yao ya ndan imewashinda au laah , pili Ukraine alitaka kujiunga na NATO baada ya Urusi kuvunja makubaliano ya kutovamiana . Huwa namshangaa mtu kutoka nchi maskini kutetea uvamiz km vile nchi yako inaweza kukabiliana na uvamiz kutoka mataifa makubwa , ngoz nyeus tunaish bila kuweka maslai yetu mbele ndio maana hatupig hatua kbs
 
Kama dola huru haya wawe wapole na hiki kipigo wanachokula
Swed na Fin wakijuinga nato muje mutuambie
Kama USSR wanataka kuirudisha itakua habari njema sna hii nayakupongezwa
.PUT IN anasema kweli yalikua makosa makubwa haswa kuvunjika USSR nainahitajika kurudi hata kama WAUKRAINE wakifa wote ili USSR irudi acha wafe hata kama kutazuka ww3 ili USSR irudi acha izuke hatakama itatumika nyuklia ili USSR irejee acha itumike
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
dah akili za mswahili hz unaipenda USSR kuliko Dona country yetu
 
Hii biashara wanayofanya US Ukraine naona mwisho wake itashushwa sarmat ile mwana ukome. Russia atarudi nyuma na kuwakaanga wa Ukraine na hio itakuwa ile basi tukose wote. Maana wanarefusha vita kwa misaada isio na msingi.

Ngoja tuone wakati wa winter ukifika itakuwaje ulaya na US wakikatiwa gas.
akili za mswahili anashabikia mbakaj wkt hata yeye anaeza kubakwa , Urusi haijui diplomasia , ni kituko kumshabikia mtu asieweza kuish vzr na ndg zake hlf utegemee aje kuish vzr na ww mswahili wa malamba mawili
 
akili za mswahili anashabikia mbakaj wkt hata yeye anaeza kubakwa , Urusi haijui diplomasia , ni kituko kumshabikia mtu asieweza kuish vzr na ndg zake hlf utegemee aje kuish vzr na ww mswahili wa malamba mawili
Urusi haina mambo ya kishoga kama USA. Halafu hio diplomasia aliyonayo Marekani ni ipi? Ya kutengeneza virusi ili kuangamiza Ulimwengu? Au ya kuchochea vita?

Angekuwa mtu wa diplomasia asingepeleka silaha Ukraine. Angeomba wayamalize kwa Amani.
 
una akili fupi sana nina mashaka hata civics ulipata F , hakuna nchi yenye mamlaka ya kuingiza jeshi lake kwenye nchi nyingine bila kujali migogoro yao ya ndan imewashinda au laah , pili Ukraine alitaka kujiunga na NATO baada ya Urusi kuvunja makubaliano ya kutovamiana . Huwa namshangaa mtu kutoka nchi maskini kutetea uvamiz km vile nchi yako inaweza kukabiliana na uvamiz kutoka mataifa makubwa , ngoz nyeus tunaish bila kuweka maslai yetu mbele ndio maana hatupig hatua kbs
What a Childish comments!! Nikwambie kitu mkuu, kitu cha kwanza leta hoja mbadala na sio kukimbilia kutukana tukana watu ambao huwajui vizuri, yaani utaki kabisa watu walete maoni tofauti na ya kwako, kisaikolojia unaonekana wazi wazi una traits za a bully type and overly arrogant, masaa yote kuwasema /kuwatukana members ambao hawakubaliani na maoni yako unawatukana kwamba wana akili finyu!! Usione watu hawakujibu kwa kutumia abrasive language kama ya kwako ukafikiri na wanakuogopa au ni wajinga, mwanzo nilikuwa naku-ignore tu, lakini hivi sasa umezidi - Mark you, sio kwamba nasema mambo ya kutunga tu au ya kiuonezi, ukitaka kujijua ulivyo please revisit all your asinine laden remarks herein - what do they tell you psychologically, ni wazi una tatizo si bure, sikusemi vibaya lakini ukweli ndio huo may be ukijirudi behavior zako zitakuwa 4 the better na sio kujiona you can play binadamu wenzako on your little finger and get away unscathed!!

Labda niongezee kwa kusema kwamba usichukulie every member hapa kwamba ni average Joe - ukitulizana akili na kuheshimu binadamu wenzako utajifunza mengi kutoka kwa JF members ambao ni knowledgeable kwa mambo/masuala mengi tu, si lazima ukubaliane na maoni yao lakini usiwatukane - learn to agree to disagree without offending anyone,kama uwezi basi hapa hapakufai. Goodday Amigo.
 
sikia aibu hapo USA anasupply silaha kwa hatua kama kwenye game hatua hii ukifaulu unapewa silaha hii then mpk mwisho ila Urusi alitumia silaha hovyo hovyo tu bila mpango sass hv kaanza kuomba msaada na China hali mbaya , USA is far better than China na Russia ( hawa jamaa wana tabia za kihaya majigambo mengi sana ila uwezo sifur ) , hii vita inaenda kuwafanya Ukraine kuwa taifa hatar sana na hii ni warning kwa USA pia maana Ukraine inaenda kuwa among well trained army in Europe after ww2 so USA aangalie hili pia asije Iran ya pili Ulaya maana hata hao Iran aliwalea yeye mweneyew
RUSSIA kamatia hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya kumuogopa anaeturudisha kwenu ukoloni , unawezaj kuvamia nchi bila sabab za msingi eti kisa inataka kujiunga na NATO , yaan nchi ilikuvumilia miaka 20 ipo neutral bado ukaona haitosh ukapandikiza na rais kibaraka , ukaona haitosh ukapola jimbo pia ukaona haitosh ukapandikiza waasi pia ikawa haitosh ukaivamia kabisa , HUYU NDO WASWAHILI WANAMSHABIKIA NA KUMPONDA USA AMBAE NDO ANAWASAIDIA VITU VINGI TU ngoz nyeus itabakia kuwa maskin maana wanaish bila mipango yaan akili hazifikil wap pana maslai na mm , huyo china hajawai fanya chochote bure , ila hao west mnakula pesa zao za chanjo 1b then mmeletewa misaada mingi tu
Hivi vimaneno havitafanya SMO isimame hata kama mtaongea kwahuruma kiasi gani basi UKRAINE ataendelea kuchapika tuuu mpaka awe sehem ya RF
Hio misaada sio lazima si wasitishe kwani walilazimishwa nanani
RUSSIA KAMATIA HAPO HAPO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akil zako ndo ttzo vita sio kama shule kwamba ukivuka madarasa huez rudishwa nyuma , kabla USA hajajiingiza kweny WW2 warusi waliuliuliwa sana na HITLER alibakisha sio chin ya km 400 kuingia Moscow , ila vita ilibadilika na ikaishia Berlin
RUSSIA sio GERMAN kaa kwakutulia MKUU nauache kuota nakujidanganya
Malengo ya SMO lazima yafikiwe upende usipende kwahiari yalishindikana basi kwalazima nilazima yafikiwe
Bring Back Our USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom