Inge elewa kiundani ni nini hasa kimeleteleza matatizo yote haya, wala husingemtetea Zelensky - yeye anatumiwa tu wala hajielewi - anapokubali kama zuzu taifa lake litumike indirectly kutishia usalama wa Russian Federation unategemea nini? Putin had no choice save to spring up a surprise attack to pre-empty njama zilizo kuwa zinasukwa na Zelensky kwa ushauri kutoka kwa US Administration alikuwa amekusanya majeshi na zana nzito za kivita kuivamia Ukraine ya mashariki na Crimea lengo hasa ni kuwaua a million ya Waukraine wenye asili ya Urusi, actually tangu 2014 jeshi la KINAZI la Zelensky lilisha angamiza zaidi ya Waukraine wenye asili ya Urusi zaidi ya 14,000 cha ajabu hakuna taifa hata moja la magharibi lililo wahi kukemea mauuaji hayo, wako kimya kabisa - WHY? Badala yake Sky News na like mind wenzake wanaleta story za kuchonga tu zilizo sheheni propaganda za kitoto kuwafanya wasikilizaji kama hawaenda shule vile - watu wote Duniani wenye akili timamu wanajuwa fika kwamba jeshi la Zelensky linapata wakati mgumu kwenye vita hii licha ya kusaidiwa na wanajeshi wa Merikani na Uingereza kwa kificho, lakini hilo haliwasadii chochote jeshi la Zelensky wako hoi bin taabani!!