Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Swali linakuja, je Ukraine imeanza tumia F16? Maana hizo missiles zinatumika sana kwenye F16, ndege za Ukraine zilikua haziko fitted kubeba nato missiles
Mkuu hizo missiles zinabebwa na upgraded Mig 29 ambazo Ukraine ilipewa na NATO member,Mig-29 za Ukraine zilikua hazina uwezo wa kubeba hizo missiles sababu ni za zamani sana
 
... naona Marekani ameamua, kupitia sakata la Ukraine/Russia atoe onyo once and for all! Message sent to NK, Iran, China, et. al; kama kubwa lao anafanyiwa hivi they have to think twice! Simba hahangaiki na digidigi; hutafuta nyati/mbogo aliyenona.
Halafu sasa hizi missiles ni za miaka ya 1980,hajapeleka mpya AGM-88 ER
 
Mkuu hizo missiles zinabebwa na upgraded Mig 29 ambazo Ukraine ilipewa na NATO member,Mig-29 za Ukraine zilikua hazina uwezo wa kubeba hizo missiles sababu ni za zamani sana
Maana yake Poland au Romania kapeleka hizo Mig kisiri, maana nakumbuka walitaka peleka ndege kwa kupata assurance kutoka Marekani kuwa watapewa ndege zingine
 
Maana yake Poland au Romania kapeleka hizo Mig kisiri, maana nakumbuka walitaka peleka ndege kwa kupata assurance kutoka Marekani kuwa watapewa ndege zingine
Yeah kuna mahali nimesoma kwamba Romania walipeleka ndege zao Ukraine,itakua ni kweli maana hizo missiles haziwezi kurushwa na Mig-29 za Ukraine sababu zinahitaji ndege iwe na software maalum ndo iweze kubeba hayo Makombora
 
Haha niliona mahali kwamba vita ya ukraine sasa inaingia kwenye phase ngumu kumbe ndio US walimaanisha hivi.
Pro russia mkae mkao wa kunyolewa.
... watakuambia wanasubiri majira ya baridi eti hata Hitler alipigika msimu huo. Wanajisahaulisha kwamba bila US, UK, et. al. Mrusi alikuwa anatolewa kamasi na Nazi.
 
Makombora haya ni hususi kabisa kwa ajili ya kusambaratisha rada yoyote ilipo umbali wa km150, haya makombora yanafuata frequency za rada, hata kama rada hiyo imezimwa kuna ,technology imedizainiwa kuditect popote rada ilipo na kulenga kwa usahihi.

Hii itawapa nafasi zaid Ukraine kusonga mbele.

The AGM-88 HARM is a high-speed anti-radar missile. Its range is up to 150 kilometers and it is capable of targeting high-frequency radars.

Being programmable to target previously entered co-ordinates, it is less vulnerable to traditional types of countermeasures, such as turning the radar being turned off when a missile launch is detected – a HARM missile can calculate the location of the target and is able to hit it even if there is are no radar emissions from the target at the time of the strike.

Military experts say having HARM missiles will allow Ukraine to push Russian air defense systems further back from the front, in turn allowing Ukrainian air power to operate more freely closer to Russian lines.

Source; Sky news, daily news
Marekani hachoki kuwaingiza mkenge wa Ukraine. Kila wakati tunasikiaga hizo story na kila wakati matokeo yanakuaga hasi
 
Back
Top Bottom