Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mbali kwa kutokea Chato.Tuache utana na story za vijiweni USA Yuko mbali sana kisilaha.... Tatzo hapa ni ushabiki tu. Lakn ukweli mchungu ni kua USA Yuko mbali sana
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mkuu hizo missiles zinabebwa na upgraded Mig 29 ambazo Ukraine ilipewa na NATO member,Mig-29 za Ukraine zilikua hazina uwezo wa kubeba hizo missiles sababu ni za zamani sanaSwali linakuja, je Ukraine imeanza tumia F16? Maana hizo missiles zinatumika sana kwenye F16, ndege za Ukraine zilikua haziko fitted kubeba nato missiles
Halafu sasa hizi missiles ni za miaka ya 1980,hajapeleka mpya AGM-88 ER... naona Marekani ameamua, kupitia sakata la Ukraine/Russia atoe onyo once and for all! Message sent to NK, Iran, China, et. al; kama kubwa lao anafanyiwa hivi they have to think twice! Simba hahangaiki na digidigi; hutafuta nyati/mbogo aliyenona.
Maana yake Poland au Romania kapeleka hizo Mig kisiri, maana nakumbuka walitaka peleka ndege kwa kupata assurance kutoka Marekani kuwa watapewa ndege zingineMkuu hizo missiles zinabebwa na upgraded Mig 29 ambazo Ukraine ilipewa na NATO member,Mig-29 za Ukraine zilikua hazina uwezo wa kubeba hizo missiles sababu ni za zamani sana
Yeah kuna mahali nimesoma kwamba Romania walipeleka ndege zao Ukraine,itakua ni kweli maana hizo missiles haziwezi kurushwa na Mig-29 za Ukraine sababu zinahitaji ndege iwe na software maalum ndo iweze kubeba hayo MakomboraMaana yake Poland au Romania kapeleka hizo Mig kisiri, maana nakumbuka walitaka peleka ndege kwa kupata assurance kutoka Marekani kuwa watapewa ndege zingine
Basi kuna mambo mengi hatuambiwi hadi kitu kifanyike kwanzaYeah kuna mahali nimesoma kwamba Romania walipeleka ndege zao Ukraine,itakua ni kweli maana hizo missiles haziwezi kurushwa na Mig-29 za Ukraine sababu zinahitaji ndege iwe na software maalum ndo iweze kubeba hayo Makombora
Mbona MNA kiwewe kwani nyie mlichukua mda gani kuiteka mnateseka sanaThubutu
Hata hili shambulizi la Leo pale Crimea usikute Ukraine tayari wamepewa ATACMS,maana wamepiga umbali wa 200kmBasi kuna mambo mengi hatuambiwi hadi kitu kifanyike kwanza
Kerch bridge lijiandaeHata hili shambulizi la Leo pale Crimea usikute Ukraine tayari wamepewa ATACMS,maana wamepiga umbali wa 200km
Fashisti dikiteta anapigishwa danadana huko [emoji1787][emoji1787]Comedy za kijifariji haziishi
... watakuambia wanasubiri majira ya baridi eti hata Hitler alipigika msimu huo. Wanajisahaulisha kwamba bila US, UK, et. al. Mrusi alikuwa anatolewa kamasi na Nazi.Haha niliona mahali kwamba vita ya ukraine sasa inaingia kwenye phase ngumu kumbe ndio US walimaanisha hivi.
Pro russia mkae mkao wa kunyolewa.
Marekani hachoki kuwaingiza mkenge wa Ukraine. Kila wakati tunasikiaga hizo story na kila wakati matokeo yanakuaga hasiMakombora haya ni hususi kabisa kwa ajili ya kusambaratisha rada yoyote ilipo umbali wa km150, haya makombora yanafuata frequency za rada, hata kama rada hiyo imezimwa kuna ,technology imedizainiwa kuditect popote rada ilipo na kulenga kwa usahihi.
Hii itawapa nafasi zaid Ukraine kusonga mbele.
The AGM-88 HARM is a high-speed anti-radar missile. Its range is up to 150 kilometers and it is capable of targeting high-frequency radars.
Being programmable to target previously entered co-ordinates, it is less vulnerable to traditional types of countermeasures, such as turning the radar being turned off when a missile launch is detected – a HARM missile can calculate the location of the target and is able to hit it even if there is are no radar emissions from the target at the time of the strike.
Military experts say having HARM missiles will allow Ukraine to push Russian air defense systems further back from the front, in turn allowing Ukrainian air power to operate more freely closer to Russian lines.
Source; Sky news, daily news