Uchaguzi 2020 Kumekucha: Mchakato wa kura za maoni kwa Wagombea ubunge wa CHADEMA waanza rasmi leo

Uchaguzi 2020 Kumekucha: Mchakato wa kura za maoni kwa Wagombea ubunge wa CHADEMA waanza rasmi leo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Instagram media - CBWT8BtgtED ( 640 X 640 ).jpg

Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea .

Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia .

Mungu ibariki Chadema

UPDATES:
...................

Kishoa ameshinda Iramba
Bulaya ameshinda Bunda
Matiko ameshinda Tarime Mjini
Magereri ameshinda Kigamboni
 
Back
Top Bottom