Uchaguzi 2020 Kumekucha: Mchakato wa kura za maoni kwa Wagombea ubunge wa CHADEMA waanza rasmi leo

Uchaguzi 2020 Kumekucha: Mchakato wa kura za maoni kwa Wagombea ubunge wa CHADEMA waanza rasmi leo

Tulia sindano iingie vizuri
CHADEMA ya 2015 Leo mbona mbwembwe na pilika pilika zimepungua?
2015 tulikuwa hatupunui, kila kona combat na jezi nyekundu na nyeupe.
CCM waliogopa hata kuvaa mavazi yao.. Wasanii kila kukicha walitunga nyimbo za CHADEMA.leo kunani?
 
Back
Top Bottom