Maige Chagu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 237
- 245
kupoteza muda tu,chadema inazikwa rasmi October 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hivi hali sio shwari kama Siku za nyuma, wanasiasa Wa upinzani wanapitia kipindi kigumu, hali hii haijaacha MTU, mpaka wasanii nao hivyo hivyo, mfano roma , sidhani kama amesharudi bongo, sasa hivi ni mwendo Wa tungo za kumsifia jiwe basi!CHADEMA ya 2015 Leo mbona mbwembwe na pilika pilika zimepungua?
2015 tulikuwa hatupunui, kila kona combat na jezi nyekundu na nyeupe.
CCM waliogopa hata kuvaa mavazi yao.. Wasanii kila kukicha walitunga nyimbo za CHADEMA.leo kunani?
Wasanii waliogoma kugeuka jiwe ni Ney wa mitego..Roma mkatoriki ..Stamina ..Jide na Shamsha fordsasa hivi hali sio shwari kama Siku za nyuma, wamasiasa Wa upinzani wanapitia kipindi kigumu, hali hii haijaacha MTU, mpaka wasanii nao hivyo hivyo, mfano roma , sidhani kama amesharudi bongo, sasa hivi ni mwendo Wa tungo za kumsifia jiwe basi!
Mungu awabariki sana .Wasanii waliogoma kugeuka jiwe ni Ney wa mitego..Roma mkatoriki ..Stamina ..Jide na Shamsha ford
Hapa Arusha Binanga atatufaa.......Lema 10 Yatosha!
Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea .
Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia .
Mungu ibariki Chadema
Uweke updates hapa hapa,jimbo kwa jimbo,mshindi nani na amewabwaga wanachama wangapi
Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea .
Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia .
Mungu ibariki Chadema
ngoja nipate ruksa ya chama , maana kuna njama za utekajiUweke updates hapa hapa,jimbo kwa jimbo,mshindi nani na amewabwaga wanachama wangapi
Acha utoto wewe,kutaja matokeo na utekaji wapi na wapingoja nipate ruksa ya chama , maana kuna njama za utekaji
Km wasiposhirik ile namb ya wabunge waliyoipata hawataitetea Mnama.Tume, tume, tume huru, bila tume huru ni heri tu kuacha kabisa kushiriki, soon you will see.
Hawajagoma,hawajapewa ofa.Wasanii waliogoma kugeuka jiwe ni Ney wa mitego..Roma mkatoriki ..Stamina ..Jide na Shamsha ford
Vp mkuu polis waliwasaidia kupanga viti ukumbini Kama walivyofanya ule ukumbi karibu na hazina?
Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea .
Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia .
Mungu ibariki Chadema
Mzee wa kilingeni naona hii picha huwa unaipenda sana eeh.....
Niliiangalia ramani kwa makini sana, nikaelekeza macho karibu ya ziwa letu Nyasa, sehemu inayoitwa Kyela.Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea .
Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia .
niko lunch kikao kinaendelea , ukiona ziwa nyasa jua umeiona KyelaNiliiangalia ramani kwa makini sana, nikaelekeza macho karibu ya ziwa letu Nyasa, sehemu inayoitwa Kyela.
Sikuona dalili zozote zinazoonyesha maandalizi ya namna yoyote!
Roho yangu inaanza kuwa nzito.
Kuna Udikteta Uchwara hadi kesi ile iishe unakuwa Udikteta kamili.CHADEMA ya 2015 Leo mbona mbwembwe na pilika pilika zimepungua?
2015 tulikuwa hatupunui, kila kona combat na jezi nyekundu na nyeupe.
CCM waliogopa hata kuvaa mavazi yao.. Wasanii kila kukicha walitunga nyimbo za CHADEMA.leo kunani?
Ni njia ya kutafuna ruzukuWatashinda? Au wanapoteza muda?
Kama wangekuwa wanagombea wale tu wenye uhakika wa kushinda, uchaguzi ungekuwa na maana gani sasa??Huna uhakika wa kushinda kwa nini upoteze muda na pesa?
Mh...!!Kama wangekuwa wanagombea wale tu wenye uhakika wa kushinda, uchaguzi ungekuwa na maana gani sasa??