Uchaguzi 2020 Kumekucha: Mchakato wa kura za maoni kwa Wagombea ubunge wa CHADEMA waanza rasmi leo

Tulia sindano iingie vizuri
CHADEMA ya 2015 Leo mbona mbwembwe na pilika pilika zimepungua?
2015 tulikuwa hatupunui, kila kona combat na jezi nyekundu na nyeupe.
CCM waliogopa hata kuvaa mavazi yao.. Wasanii kila kukicha walitunga nyimbo za CHADEMA.leo kunani?
 
Kwa sasa hakuna anayeipenda ccm dogo licha ya kuwamwagia pesa wasanii wa bongo fleva wammwagie sifa ambazo hazipo.zama mtaani na vijijini utaona walivyoichoka CCM.
Huipendi wewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…