" Kwa Kikosi hiki cha Simba SC kilichoishia hatua ya Robo Fainali juzi na jinsi kilivyo Imara na Wachezaji mahiri hakuna Mchezaji yoyote wa Yanga SC hii ya sasa anayeweza si tu Kucheza bali hata Kuanzia Benchi "
Ushahidi Kamili wa Kauli yake hii ipo YouTube Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM ambapo aliulizwa Swali na Mtangazaji Msomi kuliko wote katika Kipindi chao hicho Ahmed Abdallah ambaye pia ni Mshabiki wa Timu Bora, Bingwa, Iliyobarikiwa na mahiri ya Simba SC.
Na kwa wale ambao mtaanza Kumchukia Mchambuzi huyu George Ambangile huku mkimnunia pia kaeni mkijua kuwa ni Mshabiki lia lia (Kindakindaki) kabisa wa Yanga SC ila kwa hili ameamua kuwa Mkweli ambao utamuweka Huru hapa duniani na Mbinguni pia.
Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.
Tafadhalini George Ambangile alindwe.