Kumekucha: Mchambuzi wa Michezo anayekuja kwa kasi nchini George Ambangile wa Wasafi FM asema Ukweli huu Mchungu

Kumekucha: Mchambuzi wa Michezo anayekuja kwa kasi nchini George Ambangile wa Wasafi FM asema Ukweli huu Mchungu

Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.



Bwalya, Mugalu
Angeisifia Yanga SC yangekutoka haya?
 
It seems watu wa Yanga ni waelewa sana. Uchambuzi huu ungesemwa kinyume kama wakati ule wa kampa, kampa tena, Zeruzeru angemwaga mitusi ya kilo mia. Inaonyesha tofauti kubwa sana.
 
It seems watu wa Yanga ni waelewa sana. Uchambuzi huu ungesemwa kinyume kama wakati ule wa kampa, kampa tena, Zeruzeru angemwaga mitusi ya kilo mia. Inaonyesha tofauti kubwa sana.
Mkuu kukosa kwako mafanikio na Timu yako ya Utopolo kwenye soka la ndani na Kimataifa kusikufanye ukejeli uumbaji wa Mungu.

Hujafa hujaumbika.
 
Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.



Bwalya, Mugalu
Sasa kama mna wachezaji wazuri hivyo si mchukue ubingwa hata mara moja bas.
 
Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.
🙌
 
Haya sasa matusi. Ata sarpong hawezi[emoji3][emoji3][emoji3] duma jeeee???? Ila nmejaribu kuwaza kimoyomoyo nikaona kidogooooo mukoko anaweza kuanza, feisal anaweza tokea bench, kisinda nae hivo hivo pamoja na yacuoba. Ukweli acha usemwe tu
 
" Kwa Kikosi hiki cha Simba SC kilichoishia hatua ya Robo Fainali juzi na jinsi kilivyo Imara na Wachezaji mahiri hakuna Mchezaji yoyote wa Yanga SC hii ya sasa anayeweza si tu Kucheza bali hata Kuanzia Benchi "

Ushahidi Kamili wa Kauli yake hii ipo YouTube Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM ambapo aliulizwa Swali na Mtangazaji Msomi kuliko wote katika Kipindi chao hicho Ahmed Abdallah ambaye pia ni Mshabiki wa Timu Bora, Bingwa, Iliyobarikiwa na mahiri ya Simba SC.

Na kwa wale ambao mtaanza Kumchukia Mchambuzi huyu George Ambangile huku mkimnunia pia kaeni mkijua kuwa ni Mshabiki lia lia (Kindakindaki) kabisa wa Yanga SC ila kwa hili ameamua kuwa Mkweli ambao utamuweka Huru hapa duniani na Mbinguni pia.

Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.

Tafadhalini George Ambangile alindwe.
Sawa
 
Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.



Bwalya, Mugalu
Yaani wewe ndo BWABWA kabisa. Mimi ni mwana YANGA ila umeandika upuuzi. Nyie ndo wale ambao bado mnaamini kuwa Yanga atakuwa bingwa msimu huu au ujao.

Acha ujinga,ongea kama mwana michezo. Pale Yanga hakuna timu,kuna kikundi cha wachezaji ambao nao ukiwavua zile jezi na kulitoa jina Yanga,Mwadui ana nafuu.

Tuwe wakweli.
 
Mkuu kukosa kwako mafanikio na Timu yako ya Utopolo kwenye soka la ndani na Kimataifa kusikufanye ukejeli uumbaji wa Mungu.

Hujafa hujaumbika.
Zeruzeru ni neno safi la Kiswahili kama ni hilo Mkuu. Sio tusi hilo. Angalia kamusi Mkuu.
 
Yaani wewe ndo BWABWA kabisa. Mimi ni mwana YANGA ila umeandika upuuzi. Nyie ndo wale ambao bado mnaamini kuwa Yanga atakuwa bingwa msimu huu au ujao.

Acha ujinga,ongea kama mwana michezo. Pale Yanga hakuna timu,kuna kikundi cha wachezaji ambao nao ukiwavua zile jezi na kulitoa jina Yanga,Mwadui ana nafuu.

Tuwe wakweli.
Wewe siyo Yanga. Wewe ni Polisi umepangiwa buguruni Toka kwenu huko bush unaiga Mambo ya mjini.
Huuji mpira, kaangalie EPL hizi timu tunazijua vizuri sisi watoto wa mjini.
 
" Kwa Kikosi hiki cha Simba SC kilichoishia hatua ya Robo Fainali juzi na jinsi kilivyo Imara na Wachezaji mahiri hakuna Mchezaji yoyote wa Yanga SC hii ya sasa anayeweza si tu Kucheza bali hata Kuanzia Benchi "

Ushahidi Kamili wa Kauli yake hii ipo YouTube Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM ambapo aliulizwa Swali na Mtangazaji Msomi kuliko wote katika Kipindi chao hicho Ahmed Abdallah ambaye pia ni Mshabiki wa Timu Bora, Bingwa, Iliyobarikiwa na mahiri ya Simba SC.

Na kwa wale ambao mtaanza Kumchukia Mchambuzi huyu George Ambangile huku mkimnunia pia kaeni mkijua kuwa ni Mshabiki lia lia (Kindakindaki) kabisa wa Yanga SC ila kwa hili ameamua kuwa Mkweli ambao utamuweka Huru hapa duniani na Mbinguni pia.

Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.

Tafadhalini George Ambangile alindwe.
Amesema hivyo ni lini j'3 au j'4? na kwenye kipindi kipi cha sports Arena au sport court? maana Jana na juzi pamoja na Leo sijasikiliza redio kabisa nimekuwa busy sana mzee
 
Amesema hivyo ni lini j'3 au j'4? na kwenye kipindi kipi cha sports Arena au sport court? maana Jana na juzi pamoja na Leo sijasikiliza redio kabisa nimekuwa busy sana mzee
Acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
 
Huo ni mtazamo wake binafsi haina maana kwamba ni sheria
 
Back
Top Bottom