Kukuuliza ameongea lini imekuwa nongwa kiasi hicho ndugu yangu?Acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukuuliza ameongea lini imekuwa nongwa kiasi hicho ndugu yangu?Acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
ni kweli hapo muongeze na BujibujiAsilimia 80 ya wanyakyusa ni yanga .
Mlemavu wa ngozi ndiyo maana ya zeruzeru au albino. Kikubwa si tusi na kila mtu atumie limfaalo!Acha Uwongo neno sahihi ni Mlemavu wa Ngozi na hata Watu wa BAKITA wamesisitiza tuwaite ( waitwe ) hivyo na siyo Zeruzeru.
Hawa si ndio walipasuana vichwa uwanjani?Over.
Kile kikundi cha wacheza ngoma kikatafute kazi nyingine ya kufanya, sio football, hiyo waachiwe Simba SC.
Ragebasi mtaje
Hapo kwa bwalya sio kweli japo ni YangaSimba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.
Bwalya, Mugalu