GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Angeisifia Yanga SC yangekutoka haya?Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.
Bwalya, Mugalu
Yasingenitoka haya, Simba wana wachezaji wazuri Chama, Miquessone, Kagere, Bocco. Na kipa mzuri sana, Manula.Angeisifia Yanga SC yangekutoka haya?
You have such a petty brainZeruzeru bibi yako
Mkuu kukosa kwako mafanikio na Timu yako ya Utopolo kwenye soka la ndani na Kimataifa kusikufanye ukejeli uumbaji wa Mungu.It seems watu wa Yanga ni waelewa sana. Uchambuzi huu ungesemwa kinyume kama wakati ule wa kampa, kampa tena, Zeruzeru angemwaga mitusi ya kilo mia. Inaonyesha tofauti kubwa sana.
Sasa kama mna wachezaji wazuri hivyo si mchukue ubingwa hata mara moja bas.Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.
Bwalya, Mugalu
🙌Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.
Watanzania wengine ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo yasiyowahusuAngeisifia Yanga SC yangekutoka haya?
Simba ina wachezaji wengi zaidi ambao ni wazuri. Lakini asikudsmganye mtu eti Yanga haina wachezaji wanaoweza kuanza Simba hata kukaa benchi.Sasa kama mna wachezaji wazuri hivyo si mchukue ubingwa hata mara moja bas.
Sawa" Kwa Kikosi hiki cha Simba SC kilichoishia hatua ya Robo Fainali juzi na jinsi kilivyo Imara na Wachezaji mahiri hakuna Mchezaji yoyote wa Yanga SC hii ya sasa anayeweza si tu Kucheza bali hata Kuanzia Benchi "
Ushahidi Kamili wa Kauli yake hii ipo YouTube Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM ambapo aliulizwa Swali na Mtangazaji Msomi kuliko wote katika Kipindi chao hicho Ahmed Abdallah ambaye pia ni Mshabiki wa Timu Bora, Bingwa, Iliyobarikiwa na mahiri ya Simba SC.
Na kwa wale ambao mtaanza Kumchukia Mchambuzi huyu George Ambangile huku mkimnunia pia kaeni mkijua kuwa ni Mshabiki lia lia (Kindakindaki) kabisa wa Yanga SC ila kwa hili ameamua kuwa Mkweli ambao utamuweka Huru hapa duniani na Mbinguni pia.
Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.
Tafadhalini George Ambangile alindwe.
Yaani wewe ndo BWABWA kabisa. Mimi ni mwana YANGA ila umeandika upuuzi. Nyie ndo wale ambao bado mnaamini kuwa Yanga atakuwa bingwa msimu huu au ujao.Simba hakuna holding midfield kama Mukoko.
Huwezi mfananisha babu wawa na Mwamnyeto hata dogo Job.
Kisinda anamkalisha Morrison.
Metacha bench la simba anamuondoa Kakolanya.
Yacouba ni mchezaji Bora kuliko Mugalu au Bwalya they are hopeless basi tu wanabebwa na Chama na Miquessone.
Bwalya, Mugalu
Zeruzeru ni neno safi la Kiswahili kama ni hilo Mkuu. Sio tusi hilo. Angalia kamusi Mkuu.Mkuu kukosa kwako mafanikio na Timu yako ya Utopolo kwenye soka la ndani na Kimataifa kusikufanye ukejeli uumbaji wa Mungu.
Hujafa hujaumbika.
Wewe siyo Yanga. Wewe ni Polisi umepangiwa buguruni Toka kwenu huko bush unaiga Mambo ya mjini.Yaani wewe ndo BWABWA kabisa. Mimi ni mwana YANGA ila umeandika upuuzi. Nyie ndo wale ambao bado mnaamini kuwa Yanga atakuwa bingwa msimu huu au ujao.
Acha ujinga,ongea kama mwana michezo. Pale Yanga hakuna timu,kuna kikundi cha wachezaji ambao nao ukiwavua zile jezi na kulitoa jina Yanga,Mwadui ana nafuu.
Tuwe wakweli.
Acha Uwongo neno sahihi ni Mlemavu wa Ngozi na hata Watu wa BAKITA wamesisitiza tuwaite ( waitwe ) hivyo na siyo Zeruzeru.Zeruzeru ni neno safi la Kiswahili kama ni hilo Mkuu. Sio tusi hilo. Angalia kamusi Mkuu.
Amesema hivyo ni lini j'3 au j'4? na kwenye kipindi kipi cha sports Arena au sport court? maana Jana na juzi pamoja na Leo sijasikiliza redio kabisa nimekuwa busy sana mzee" Kwa Kikosi hiki cha Simba SC kilichoishia hatua ya Robo Fainali juzi na jinsi kilivyo Imara na Wachezaji mahiri hakuna Mchezaji yoyote wa Yanga SC hii ya sasa anayeweza si tu Kucheza bali hata Kuanzia Benchi "
Ushahidi Kamili wa Kauli yake hii ipo YouTube Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM ambapo aliulizwa Swali na Mtangazaji Msomi kuliko wote katika Kipindi chao hicho Ahmed Abdallah ambaye pia ni Mshabiki wa Timu Bora, Bingwa, Iliyobarikiwa na mahiri ya Simba SC.
Na kwa wale ambao mtaanza Kumchukia Mchambuzi huyu George Ambangile huku mkimnunia pia kaeni mkijua kuwa ni Mshabiki lia lia (Kindakindaki) kabisa wa Yanga SC ila kwa hili ameamua kuwa Mkweli ambao utamuweka Huru hapa duniani na Mbinguni pia.
Naona leo kuna Watu wamepiga Bomu Mochwari ya Mwadui Shinyanga na wanajisifu Kuua mara Mbili tu wakati huenda Yeye tarehe 3 July, 2021 akakumbana na Bomu la kweli kweli ambalo litamuua kama si Mara Saba basi mara Tisa kabisa kwa Mkapa Temeke.
Tafadhalini George Ambangile alindwe.
Acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?Amesema hivyo ni lini j'3 au j'4? na kwenye kipindi kipi cha sports Arena au sport court? maana Jana na juzi pamoja na Leo sijasikiliza redio kabisa nimekuwa busy sana mzee