Kumekucha: Mchambuzi wa Michezo anayekuja kwa kasi nchini George Ambangile wa Wasafi FM asema Ukweli huu Mchungu

Acha Uwongo neno sahihi ni Mlemavu wa Ngozi na hata Watu wa BAKITA wamesisitiza tuwaite ( waitwe ) hivyo na siyo Zeruzeru.
Mlemavu wa ngozi ndiyo maana ya zeruzeru au albino. Kikubwa si tusi na kila mtu atumie limfaalo!
 
Hapo kwa bwalya sio kweli japo ni Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…