Kumekucha sakata la Prince Dube na Azam

Kwa sasa wachezaji wengi wenye ndoto za kufanya makubwa kwenye sika nchini, wanatamani kuchezea timu kubwa na yenye mafanikio yasiyo na mashaka kama Yanga.
 
Kwani hakuwa na mkataba
 
Timu ipo kwenye mashindano anaibuka mchezaji anataka kuvunja mkataba replacement ya huyo mchezaji itafanyika vipi mbona mambo mengine ni ya kutumia akili tu
Kama mchezaji hataki tena kuendelea kucheza hiyo timu, utaweza kumlazimisha?

Kumbuka pia, hata klabu inaweza pia kuvunja mkataba ili kuachana na mchezaji wake na ikawajika kumlipa mchezaji. Hivi ni vitu kawaida katika mambo ya mikataba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…