Litaonekana kosa iwapo tu kama hukuwa na lengo la kutaka mchezaji aondoke.
Na hilo linakuja kama utaona kutaja kiwango cha pesa cha juu ni kama lengo la kuonesha wanamkomoa.
Pengine na nyinyi mlitakiwa mfanye kama hivi kuliko kumg'ang'ania mchezaji ambaye hakuwa tayari kuendelea kucheza kwenu.