Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Wakishamaliza Kueka Vikwazo Wajue Nawao Watakufa Tu[emoji23][emoji23]

Navikwazo Nisuala lamuda tu nakama Nyuklia Na Balistic Ni Magendo Basi Mtaumia Sanaa Maana Hawatakaa Waache Na Siku Mkajitia Ujinga Mkajifanya Mnaivamia IRAN Kijeshi Ndio Mtaelewa Kama Waliipata Teknolojia Yanyuklia Kimagendo Kwaajili Ya nini

Endeleeni tu kuteseka ila hwatakaa waachane na nyuklia na ballistics milele kama mnateseka tesekeni tuu[emoji16][emoji23][emoji3]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la kafiro hata km issue haipo alimuradi kuna nafasi ya kuonyesha udhaifu wwt juu ya taifa la Kiislamu basi utamuona Huyo katoa kichwa km wale Mijusi wao kafiri.

Irani imewekewa Vikwazo na makafiri zaidi ya miaka 30. Na imeweza kuwatandika hao makafiro with just a press of a button. Wewe mlokole unatunga unafiki ati Irani Inaomba msaada.
We ndo dada kweli kweli.

.
 
Sasa kama vikwazo vimewekwa na Amerika kwanini anamuomba UN amuondolee?
 
Si wale wairan wa Magomeni walidai wao wamezoea vikwazo hivyo haviwatishi sasa tena hichi kilio kinatoka wapi.

Tuliaminishwa kuwa Iran ni nchi yenye wataalam waliobobea ktk nyanja mbali mbali sasa mbona tena wanalia? Wamuombe tu allah atawarehemu waja wake.
 
Yupi mjanja anayetumia pesa nyingi kutengeneza silaha za hatari na kufadhili makundi ya kigaidi huku akiomba asaidiwe mashine za x-ray pamoja na dawa au yule mwenye masilaha mazito mazito na ana viwanda vyinavyotengeneza medical facilities zote?
 
Kwani uliandikiwa wewe?

Wewe hata maana ya neno "diplomacy" huielewi.

US wewe wanakuhusu nini? Unafikiri Corona anachaguwa?
Ningekuwa na access ningemshauri akae sahani moja na mchina kipindi hiki kigumu
 
Vikwazo vinasimamiwa na umoja wa mataifa au marekani?
Hili gonjwa hatari kwanza ilikuwa inasemekana wachina wamechana kitabu kitakatifu sasa Iran nao.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mada hapa ni kusimamiwa na Nani au uzushi kuwa Iran kawaomba Marekani?

Wapi, nukuu tafadhali, Iran alipomuomba "poo" Marekani au yeyote yule?

Ukishindwa basi elewa kuwa unatetea uongo, uzushi na ujinga. Anaetetea uongo, uzushi na ujinga na yeye anakuwa nani?
 
Nukuu kwenye habari iliyoletwa ya chanzo,ni wapi Iran kaomba "poo" kama unavyozusha.

Au lugha iliyotumika inakupiga chenga? Au ni uzushi wako tu ili mabwana zako waonekane wabora sana?

Si kaomba poo vikwazo vya US viondolewe, au labda kaomba nini?!
Au unapinga tu ili mabwana zako mashia ya uajemi waonekane bora?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vikwazo vimewekwa na UN au USA?
Siungi mkono vikwazo kwa Iran
 
Yupi mjanja anayetumia pesa nyingi kutengeneza silaha za hatari na kufadhili makundi ya kigaidi huku akiomba asaidiwe mashine za x-ray pamoja na dawa au yule mwenye masilaha mazito mazito na ana viwanda vyinavyotengeneza medical facilities zote?
Mjanja anaetengeneza silahanakusaidia wanyonge pamoja nakujilinda yeye kamayeye ili asiletewe upuuzi nawapuuzi kama wa US

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…