Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Hawawezi kufa wote wako wengi sana na si wote wanakubaliana au wanaisapoti serikali yao.

Ila watapata tabu sana kama huu ugonjwa utakuwa very deadly zaidi ya Ebola.
Kumbuka wanakabiriwa na vikwazo hivyo uchumi wao utaporomoka sana kwa hili janga

= wanakabiliwa

Wewe ikiwa hata kuandika ni matatizo unaelewa unachokisoma?
 
Hehehe! Kwenda huko na komwe lako kama kona ya muhimbili.
Nadhani umenisahau
Unaota? Unanini cha zaidi cha kukumbukwa bi dada? Unanchekesha!

Soma wa kukumbukwa ni Nani...

Qur'an 4:
4_103.gif

103. Mkisha sali basi mkumbukeni Allah mkisimama, na mkikaa, na mnapo jinyoosha kwa kulala. Na mtapo tulia basi shikeni Sala kama dasturi. Kwani hakika Sala kwa Waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalumu 103
 
Unaota? Unanini cha zaidi cha kukumbukwa bi dada? Unanchekesha!
Hili hata halinishangazi ndivyo imani yenu inavyowafunza you're oppressed and brainwashed!
Koran 4:34
Men are in charge of womens!

Sasa sikushangai unaanza hadi kuidharau jinsia yako ni kama mtu kuzaliwa mwanamke it's a shame to her.
Continue calling me your sister i like it.

Soma wa kukumbukwa ni Nani...

Qur'an 4:
4_103.gif

103. Mkisha sali basi mkumbukeni Allah mkisimama, na mkikaa, na mnapo jinyoosha kwa kulala. Na mtapo tulia basi shikeni Sala kama dasturi. Kwani hakika Sala kwa Waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalumu 103
Kwenda huko na meno yako kama shanga
Wewe aliyekwambia uvae hijab nani?
Nani aliyekwambia ufanye kazi?

Verse gani kwenye koran inasema uvae hijab na ufanye kazi wewe bi ajuza mwenye kidevu kama skuna ya mlokole
 
Tatizo la kafiro hata km issue haipo alimuradi kuna nafasi ya kuonyesha udhaifu wwt juu ya taifa la Kiislamu basi utamuona Huyo katoa kichwa km wale Mijusi wao kafiri.

Irani imewekewa Vikwazo na makafiri zaidi ya miaka 30. Na imeweza kuwatandika hao makafiro with just a press of a button. Wewe mlokole unatunga unafiki ati Irani Inaomba msaada.
We ndo dada kweli kweli.

.
Mkuu umeibuka ghafla kusipojulikana. Rudi huko jangwani uendelee kuchunga na kuhudumia ngamia za mabwana zako.

God bless Israel

Jesus First Jesus Forever
 
Hili hata halinishangazi ndivyo imani yenu inavyowafunza you're oppressed and brainwashed!
Koran 4:34
Men are in charge of womens!

Sasa sikushangai unaanza hadi kuidharau jinsia yako ni kama mtu kuzaliwa mwanamke it's a shame to her.
Continue calling me your sister i like it.


Kwenda huko na meno yako kama shanga
Wewe aliyekwambia uvae hijab nani?
Nani aliyekwambia ufanye kazi?

Verse gani kwenye koran inasema uvae hijab na ufanye kazi wewe bi ajuza mwenye kidevu kama skuna ya mlokole
Kumbe bi dada hata biblia inakupiga Cheng's? Slim fundisha Paulo. Soma 1 wakorintho 11:3:

mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
Au bi dada wewe ni kondoo aliyepotea? wewe unafundishwa na nani kukaa kichwa wazi? Na mchungaji wako?
 
Hili hata halinishangazi ndivyo imani yenu inavyowafunza you're oppressed and brainwashed!
Koran 4:34
Men are in charge of womens!

Sasa sikushangai unaanza hadi kuidharau jinsia yako ni kama mtu kuzaliwa mwanamke it's a shame to her.
Continue calling me your sister i like it.


Kwenda huko na meno yako kama shanga
Wewe aliyekwambia uvae hijab nani?
Nani aliyekwambia ufanye kazi?

Verse gani kwenye koran inasema uvae hijab na ufanye kazi wewe bi ajuza mwenye kidevu kama skuna ya mlokole
Kumbe bi dada hata biblia inakupiga Cheng's? Slim fundisha Paulo. Soma 1 wakorintho 11:3:

mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
Au bi dada wewe ni kondoo aliyepotea? wewe unafundishwa na nani kukaa kichwa wazi? Na mchungaji wako?
 
Kwanza sio jamhuri yawatu wa IRAN ni JAMHURI YA KIISLAM YA IRAN

vikwazo vya US hakuna nawala sijawahi kupinga kama havina athari kwa waajemi nanimiongoni mwa mpingaji mkubwa sana waunyanyasaji huo maana naelewa kwa 99% unawatesa zaidi raia wakawaida kuliko viongozi na matajiri wengineila ishu nikwamba hv sio vikwazo vyakwanza vyawa US Dhidi Ya Jamhuri Ya Kiislam Nawala Havitakua Vyamwisho ikumbukwe yakwamba IRAN Wamezuiwa Kuingiza mpaka madawa koz yavikwazo vya Us

Mwisho kabisa vikwazo vyao wakiviondoa bila masharti yakipumbavu sawa waviondoe ila kama watataka wawaondolee watu vikwazo halafu wawaekee masharti yakijinga bora viendelee tu mojaya sharti lakipuuzi ambalo haliwezi kukubalika ni IRAN Kuachana na Mpango wao wa NYUKLIA.....

Sent using My COVID-19
Najua inajiita jamhuri ya kiislam ya Iran au Uajemi au Iran. Kuhusu hivi ni kwanza au vya nne hiyo haibadili Hali halisi kwamba hivi vikwazo vya Trump vinabana mbavu ya muajemi, na wakati wewe wa ikwiriri ulikuwa unatamba humu Iran ishazoea vikwazo, sasa kama ishazoe hilo yowe la nini?! Wangekaa kimya tu kama vile hakuna athari yoyote inayotokea, na mambo yote yako sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tatizo tabu tabu haija waanza leo wala jana tabu ili waanzia tokea mwaka 1979 nampaka sasa wako nayo haimaanishi kama wanaipenda ila wapo tayari kukabiliana nayo ili kuilinda heshma yao nayataifa lao
Hawawezi kufa wote wako wengi sana na si wote wanakubaliana au wanaisapoti serikali yao.

Ila watapata tabu sana kama huu ugonjwa utakuwa very deadly zaidi ya Ebola.
Kumbuka wanakabiriwa na vikwazo hivyo uchumi wao utaporomoka sana kwa hili janga
hakuna alie wahi kukubaliwa na wote na wala hatatokea nahakuna aliewahi kupingwa na wote na haitakaa atokeee


mhim majority wanaisapoti serikali yao ndio maana unaona miaka inazidi kuyoyoma tu toka mwaka 1979 mpaka sasa miaka mingi sana na wamepitia magumu sana vikwazo vitisho ila bado wanazidi kua imara


kwairan watateseka sana ila wasitegemre kama watabadilisha mawazo yao 1980-1988 wakati wa vita na IRAQ Hawa WAAJEMI Walipigwa mpaka silaha zasumu nahawakusarenda wakatetea uti wao na heshma zao


seuze haka kachangamoto wanachokapitia kwa ss


nikukumbushe tu kama unahisi wa US Wasipo waondolea waajemi vikwazo labda waajemi wanaweza wakawapigia wa US Magoti Unakosea sanaaaaaaa[emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
Najua inajiita jamhuri ya kiislam ya Iran au Uajemi au Iran. Kuhusu hivi ni kwanza au vya nne hiyo haibadili Hali halisi kwamba hivi vikwazo vya Trump vinabana mbavu ya muajemi, na wakati wewe wa ikwiriri ulikuwa unatamba humu Iran ishazoea vikwazo, sasa kama ishazoe hilo yowe la nini?! Wangekaa kimya tu kama vile hakuna athari yoyote inayotokea, na mambo yote yako sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani mtu unapokizoea kitu ina maanisha hakikuumizi kama ndio mnajidanganya vijikwazo vyenu hivi vitaipigisha magoti jamhuri mnakosea saanaa napangeni karata zenu upya

mlieka vikwazo toka watu wanatumia analogy mpaka sasa digital ila hakuna jipya mlofanya

mnawalenga raia wakawaida kupitia vikwazo ili waresist against serikali iliopo kwa madaraka ila raia nao washawastukia wanawaona mnapoteza muda wenu wao wala hawana habari na nyie[emoji23][emoji16]

poleni sanaa kama mnahisi vikwazo vyenu ndio vitaiondoa serikali ya IRAN Kwamadaraka

niwakumbushe tu mazungumzo yenye natija ndio njia pekee yakukabiliana na WAAJEMI Hakuna Zaidi

Sent using My COVID-19
 
Hivi uongo unawasaidia nini?

Wapi katika chanzo ilipoandikwa kuwa Iran "Wameomba MareKani"? Kama ulivyozuwa

Iran imeuandikia Umoja wa Mataifa na haikuwaadikia Marekani. Acha uongo. Soma tafsiri ya kilichoandikwa Kwa Kingereza...

AFP) Waziri wa Mambo ya nje wa Irani Mohammad Javad Zarif ameandika barua kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, akihimiza kuiondolea vikwazo visivyo vya kisheria na visivyo halali vilivyowekwa na Amerika kwa nchi hiyo, ambayo imezuia sana mapigano ya Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya janga jipya la coronavirus. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Iran, Abbas Mousavi, aliripoti barua hiyo katika barua pepe ya Alhamisi, akisema kwamba nakala za barua iliyoelekezwa kwa Antonio Guterres pia zilitumwa kwa wakuu wa mashirika ya kimataifa kote ulimwenguni.
Mkuu wewe ni mbishi au hujui siasa za Dunia !
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]kwani mtu unapokizoea kitu ina maanisha hakikuumizi kama ndio mnajidanganya vijikwazo vyenu hivi vitaipigisha magoti jamhuri mnakosea saanaa napangeni karata zenu upya

mlieka vikwazo toka watu wanatumia analogy mpaka sasa digital ila hakuna jipya mlofanya

mnawalenga raia wakawaida kupitia vikwazo ili waresist against serikali iliopo kwa madaraka ila raia nao washawastukia wanawaona mnapoteza muda wenu wao wala hawana habari na nyie[emoji23][emoji16]

poleni sanaa kama mnahisi vikwazo vyenu ndio vitaiondoa serikali ya IRAN Kwamadaraka

niwakumbushe tu mazungumzo yenye natija ndio njia pekee yakukabiliana na WAAJEMI Hakuna Zaidi

Sent using My COVID-19

Hakuna jipya walilolifanya wakati hivyohivyo vikwazo vinamfanya ayatollah apige yowe! Afu acha kujitoa akili eti wanataka wabadili serikali, kinachotakiwa ni kuachana na mpango wa nyuklia. Sasa kwa kuwa wamechagua kuendelea na mpango wao wa nyuklia Basi waendelee wasitupigie kelele 'mama wee, vikwazo vinatuua'. Watumie hiyo nyuklia yao kutatua shida zao.
Hakuna cha mazungumzo hapa, ni kuachana na mpango wa nyuklia vikwazo vitolewe ama aendelee na mpango wake vikwazo viendelee na ikibidi viongezwe, kama vikwazo si inshu kwake atulie aache kuvilalamikia. Eti kazoea matatizo (vikwazo), matatizo hayazoeleki bwa mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe ni mbishi au hujui siasa za Dunia !
Acha ujinga. Nioneshe wapi Iran kaandika chochote kwenda Marekani?

Ninachokijuwa mmi ni Iran kuwarushia na kuwatandika Wamerekani kwa makombora ya masafa ya kati (missiles) kwenye kambi zao zilizopo Iraq, ambazo Wamerakani walisema hazipigiki na zipo salama. Hiyo ndiyo siasa niijuayo mimi ya Marekani na Iran.

Diplomasia ya dunia niijuwayo ni kuwa Iran kauandikia Umoja wa Mataifa ushinikize kusitishwa vikwazo kwa ajili ya janga la corona, ambalo hata wewe na mimi hatupo salama nalo tusipokuwa na tahadhari.

Kuna siasa ipi nyingine zaidi ya hayo kwa sasa?
 
Kama tatizo tabu tabu haija waanza leo wala jana tabu ili waanzia tokea mwaka 1979 nampaka sasa wako nayo haimaanishi kama wanaipenda ila wapo tayari kukabiliana nayo ili kuilinda heshma yao nayataifa laohakuna alie wahi kukubaliwa na wote na wala hatatokea nahakuna aliewahi kupingwa na wote na haitakaa atokeee


mhim majority wanaisapoti serikali yao ndio maana unaona miaka inazidi kuyoyoma tu toka mwaka 1979 mpaka sasa miaka mingi sana na wamepitia magumu sana vikwazo vitisho ila bado wanazidi kua imara


kwairan watateseka sana ila wasitegemre kama watabadilisha mawazo yao 1980-1988 wakati wa vita na IRAQ Hawa WAAJEMI Walipigwa mpaka silaha zasumu nahawakusarenda wakatetea uti wao na heshma zao


seuze haka kachangamoto wanachokapitia kwa ss


nikukumbushe tu kama unahisi wa US Wasipo waondolea waajemi vikwazo labda waajemi wanaweza wakawapigia wa US Magoti Unakosea sanaaaaaaa[emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
Muungwana akivuliwa nguo huchutama.
Iran bila ya kumnyenyekea US huu ugonjwa ni deadly utawafanya mbaya
 
Wewe ndio unajitoa ufahamu ila sita acha kukupiga msasa utaelewa tu
Hakuna jipya walilolifanya wakati hivyohivyo vikwazo vinamfanya ayatollah apige yowe! Afu acha kujitoa akili eti wanataka wabadili serikali, kinachotakiwa ni kuachana na mpango wa nyuklia. Sasa kwa kuwa wamechagua kuendelea na mpango wao wa nyuklia Basi waendelee wasitupigie kelele 'mama wee, vikwazo vinatuua'. Watumie hiyo nyuklia yao kutatua shida zao.
Hakuna cha mazungumzo hapa, ni kuachana na mpango wa nyuklia vikwazo vitolewe ama aendelee na mpango wake vikwazo viendelee na ikibidi viongezwe, kama vikwazo si inshu kwake atulie aache kuvilalamikia. Eti kazoea matatizo (vikwazo), matatizo hayazoeleki bwa mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vikwazo viendelezwe tu ila jakina atakae achana na Nyuklia kwani wakati wanaiwekea iran vikwazo miaka ya 1970s walikua sababu nn

kama wataweka vikwazo waweke tu wakichoka watasema

Sent using My COVID-19
 
Heheheheh
Muungwana akivuliwa nguo huchutama.
Iran bila ya kumnyenyekea US huu ugonjwa ni deadly utawafanya mbaya
Nakama unajidanganya yakwamba eti wairan wataacha mambo yao yamaana na kuanza kumnyenyekea mpuuzi wa US Bila sababu pole sana asee

maana hilo jambo halijawahi kutokea nawala halitakaa litokeee milele mpaka dunia inamaliza [emoji2][emoji23][emoji16][emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using My COVID-19
 
Hivi uongo unawasaidia nini?

Wapi katika chanzo ilipoandikwa kuwa Iran "Wameomba MareKani"? Kama ulivyozuwa

Iran imeuandikia Umoja wa Mataifa na haikuwaadikia Marekani. Acha uongo. Soma tafsiri ya kilichoandikwa Kwa Kingereza...

AFP) Waziri wa Mambo ya nje wa Irani Mohammad Javad Zarif ameandika barua kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, akihimiza kuiondolea vikwazo visivyo vya kisheria na visivyo halali vilivyowekwa na Amerika kwa nchi hiyo, ambayo imezuia sana mapigano ya Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya janga jipya la coronavirus. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Iran, Abbas Mousavi, aliripoti barua hiyo katika barua pepe ya Alhamisi, akisema kwamba nakala za barua iliyoelekezwa kwa Antonio Guterres pia zilitumwa kwa wakuu wa mashirika ya kimataifa kote ulimwenguni.

Umoja wa mataifa ni Marekani na Marekani ndiye Umoja wa Mataifa....
Lakini pamoja Iran wanavyopenda kuchukiza kwa kufadhili magaidi, ila jameni Marekani inafaa iwaonee huruma, waachiwe wapate madawa, la sivyo watakufa kama mende. Kwanza tabia zao za kulamba lamba madhabahu eti ndio dawa ya Corona, wataisha sana, wahurumiwe jameni hamna jinsi.
 
Umoja wa mataifa ni Marekani na Marekani ndiye Umoja wa Mataifa....
Lakini pamoja Iran wanavyopenda kuchukiza kwa kufadhili magaidi, ila jameni Marekani inafaa iwaonee huruma, waachiwe wapate madawa, la sivyo watakufa kama mende. Kwanza tabia zao za kulamba lamba madhabahu eti ndio dawa ya Corona, wataisha sana, wahurumiwe jameni hamna jinsi.
Sikushangai, kwani Mkenya ni nani dunia hii anamwita bwana zaidi ya mzungu?

Vipi, naona Wasomali wanawahenyesha huko, nyie na mabwana zenu.
 
Back
Top Bottom