Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Sikushangai, kwani Mkenya ni nani dunia hii anamwita bwana zaidi ya mzungu?

Vipi, naona Wasomali wanawahenyesha huko, nyie na mabwana zenu.
Wasomali nao kimetua kwao kirusi, mlisema ni adhabu kwa wachoma kurani.
 
Naam kwa Mara ya kwanza china ya kubaliana na utafiti wa scientists wa Iran 🇮🇷🇮🇷

Itakumbukwa kuwa Virus vya Corona vilianzia China na kuenea hadi Iran ambapo imepelekea watu kupoteza maisha,

hata hivyo Iran iliapa kukabilia na Corona na kufanya tafiti chanzo cha virusi vya Corona, moja ilikuwa Ni kuchunguza iwapo Ni virusi Ni natural au vimetengezwa na mwanadamu,

tufahamu kuwa komandi ya IRGC ndo husimamia maswala aerospace engineering na science and technology Iran kwa lengo la kulinda nchi hiyo,

Katika tafiti mkuu wa IRGC Husein Salami ametoa taarifa na ushahidi wa kuonyesha Corona virus Sio Natural bali Ni biological warfare ambayo imeanzishwa na shirika la CIA ambalo ndo hulinda maslahi ya America kote duniani,

Bwana Salami alieleza baya kuwa Corona Ni silaha ambayo imetengenezwa kwa kukabiliana na G5 ya China pamoja na uchumi wa nchi na ushawishi duniani na kukabiliana na Iran baada ya USA kuona kwamba vikwazo dhidi ya Iran vimefeli,

hata hivyo Serikali ya China iliwatuma scientists wake chini ya komandi CPLA ya kuilinda nchi kuelekea Iran lengo la kushirikiana kwa ajili ya Corona,

Baada ya wiki 2 Jana waziri wa mambo ya nje wa China ametoa taarifa kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa USA ndo mwanzilishi wa Corona,na kuomba USA iweke wazi virusi vilianza lini USA na idadi ya walio ambukizwa na maeneo ambayo Kuna hizo hospital za USA ambazo zimewatenga wagonjwa wa Corona,

hata hivyo Serikali ya Washington imelaani taarifa hiyo ya China na kupelekea kumuita Balozi wa China kulalamika,
hata hivyo taarifa hiyo ya China imeungwa mkono na watalaamu wa Russia,
hata hivyo Iran wamesema kuwa Dawa ya Corona ipo njian takriban wiki 2 zijazo itakuwa tayari kupatikana katika maduka ya madawa na zaidi ya wagonjwa 730 wamepona
 
Wewe ndio unajitoa ufahamu ila sita acha kukupiga msasa utaelewa tuVikwazo viendelezwe tu ila jakina atakae achana na Nyuklia kwani wakati wanaiwekea iran vikwazo miaka ya 1970s walikua sababu nn

kama wataweka vikwazo waweke tu wakichoka watasema

Sent using My COVID-19
Uko kwa mtogole huko unabana pua 'viendelezwe tu'. Wakati vinaowabananisha huko wanaomba viondolewe. We endelea kula viazi huko acha wanaosoteshwa na vikwazo wenyewe waendelee kuomba labda watasikilizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HehehehehNakama unajidanganya yakwamba eti wairan wataacha mambo yao yamaana na kuanza kumnyenyekea mpuuzi wa US Bila sababu pole sana asee

maana hilo jambo halijawahi kutokea nawala halitakaa litokeee milele mpaka dunia inamaliza [emoji2][emoji23][emoji16][emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using My COVID-19
Ignorant troll
 
Acha ujinga. Nioneshe wapi Iran kaandika chochote kwenda Marekani?

Ninachokijuwa mmi ni Iran kuwarushia na kuwatandika Wamerekani kwa makombora ya masafa ya kati (missiles) kwenye kambi zao zilizopo Iraq, ambazo Wamerakani walisema hazipigiki na zipo salama. Hiyo ndiyo siasa niijuayo mimi ya Marekani na Iran.

Diplomasia ya dunia niijuwayo ni kuwa Iran kauandikia Umoja wa Mataifa ushinikize kusitishwa vikwazo kwa ajili ya janga la corona, ambalo hata wewe na mimi hatupo salama nalo tusipokuwa na tahadhari.

Kuna siasa ipi nyingine zaidi ya hayo kwa sasa?
Bibi Umoja wa Mataifa na Marekani ni Kama Mwanamke Kiislam na Hijab!Ukiomba poo kwa UN ..umeomba poo kwa Kafri Marekani...!Mwisho wa siku Irani italainika tu ,Kama ilivyo Saudia ,Qatar ,Misr na Jordan!
 
Tukimaliza kuyadharau mataifa ya wenzetu kwa sababu ya huu ugonjwa
Yapaswa tutambue ngoma iko kwetu sasaa, nyie vinara wa dharauu wakati wenu umefika kuonesha huoo ujuaji wenuuu
 
Hivi uongo unawasaidia nini?

Wapi katika chanzo ilipoandikwa kuwa Iran "Wameomba MareKani"? Kama ulivyozuwa

Iran imeuandikia Umoja wa Mataifa na haikuwaadikia Marekani. Acha uongo. Soma tafsiri ya kilichoandikwa Kwa Kingereza...

AFP) Waziri wa Mambo ya nje wa Irani Mohammad Javad Zarif ameandika barua kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, akihimiza kuiondolea vikwazo visivyo vya kisheria na visivyo halali vilivyowekwa na Amerika kwa nchi hiyo, ambayo imezuia sana mapigano ya Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya janga jipya la coronavirus. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Iran, Abbas Mousavi, aliripoti barua hiyo katika barua pepe ya Alhamisi, akisema kwamba nakala za barua iliyoelekezwa kwa Antonio Guterres pia zilitumwa kwa wakuu wa mashirika ya kimataifa kote ulimwenguni.
UN na USA ni sawasawa na serikali awamu ya tano na policcm
 
Bibi Umoja wa Mataifa na Marekani ni Kama Mwanamke Kiislam na Hijab!Ukiomba poo kwa UN ..umeomba poo kwa Kafri Marekani...!Mwisho wa siku Irani italainika tu ,Kama ilivyo Saudia ,Qatar ,Misr na Jordan!
Na uliposoma hilo la kuomba "poo" ni wapi? Au unaota?

Ooh umemaanisha hijab kama ya mama yake Yesu? Ma Shaa Allah, hakika Waislam utawajua tu, hawajifichi.

Labda unachoshindwa kuelewa ni kuwa US inaelekezwa kibla na inakuwa taifa lenye Waislam wengi haraka sana. Hivi huelewi kuwa Makanisa huko US yanageuzwa misikiti? Na kujidai "makafiri" ni kutafuta pakutokea kwani hao wazungu wanakuita wewe mtu mweusi kafir. Au huelewi Hilo? Soma kijana.

Hapo sasa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]
Uko kwa mtogole huko unabana pua 'viendelezwe tu'. Wakati vinaowabananisha huko wanaomba viondolewe. We endelea kula viazi huko acha wanaosoteshwa na vikwazo wenyewe waendelee kuomba labda watasikilizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipanic kijana wala usitokwe na povu hao wanaoekewa hivyo vikwazo walishasema na wanasema kilaleo niheri waendelee kua chini yavikwazo milele kuliko kuondolewa vikwazo kwamasharti yakipuuzi moja yasharti lakipuuzi sana kwao nikuachana na mpango wao wa Nyuklia

kama hamtapeleka dawa na kuondoa vikwazo sawa ila dawa watatengeneza wenyewe vikwazo vyenu bakisheni kwan italy kuna vikwazo gani mbna wanapukutika kama majani yakiangazi[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using My COVID-19
 
huo ndio ukweli mchungu nakama unaona unakuchefua waweza ramba Ndimu[emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using My COVID-19
Screenshot_20200317-095643~2.png

Haya niambie mashia yataponea wapi hapa?
Nakwambia mmekwisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]Usipanic kijana wala usitokwe na povu hao wanaoekewa hivyo vikwazo walishasema na wanasema kilaleo niheri waendelee kua chini yavikwazo milele kuliko kuondolewa vikwazo kwamasharti yakipuuzi moja yasharti lakipuuzi sana kwao nikuachana na mpango wao wa Nyuklia

kama hamtapeleka dawa na kuondoa vikwazo sawa ila dawa watatengeneza wenyewe vikwazo vyenu bakisheni kwan italy kuna vikwazo gani mbna wanapukutika kama majani yakiangazi[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using My COVID-19
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haka kajamaa bana! Iran wanaosota navyo wanaomba viondolewe ili vyuma vilainike, wewe ambaye hivi vikwazo havikulengi unapiga unazi JF visiondolewe, mara ooh bila masharti![emoji23][emoji23][emoji23] Ili tu upate kujifurahisha nafsi yako hapa JF international forum.
Wewe umebebwa mgongoni huwezi jua ugumu wala umbali wa safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haka kajamaa bana! Iran wanaosota navyo wanaomba viondolewe ili vyuma vilainike, wewe ambaye hivi vikwazo havikulengi unapiga unazi JF visiondolewe, mara ooh bila masharti![emoji23][emoji23][emoji23] Ili tu upate kujifurahisha nafsi yako hapa JF international forum.
Wewe umebebwa mgongoni huwezi jua ugumu wala umbali wa safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm hua nawanukuu tu maneno yao kama mtaweka vikwazo namkataka kuvitoa kwamasharaiti basi endeleeni kuvieka tu mielle amina

ila kama mtaviondoa bila masharti sawa

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom