Kumekucha: Vikosi vya Israel vyawataka wakazi wa Rafah kuhama wakati vikijianda kushambulia

Vikosi vya Israel vyaanza kuingia Rafah 🤔
....
The Israeli military confirms that its 401st Armored Brigade captured the Gazan side of Rafah Crossing this morning.

The crossing with Egypt is now disconnected from the Salah a-Din road in eastern Rafah, which was separately captured by the Givati Brigade in the overnight offensive.

In the overnight operation, some 20 gunmen were killed and troops located three “significant” tunnel shafts, according to the IDF.


Also amid the offensive, an explosive-laden car driving toward an IDF tank was struck and destroyed, the military says.

No soldiers have been wounded in the operation so far.

Troops are now searching the area and preparing for additional missions.

Meanwhile, more than 50 Hamas sites in Rafah were struck by the Air Force overnight, according to the military
 
Haya mambo mnayaongea kirahisi sana!
Haya, ngoja tuendelee kutazama.
 
Ila kuna wakati haya mambo yanafikirisha mpaka unaweza kujikuta unakufuru. Kivipi?
Najiuliza tu, ina maana hao watu wa kawaida hapo Gaza kosa lao ni kuzaliwa tu eneo hilo la Gaza!? Watu maisha yao yanakatishwa kwasababu ya kuzaliwa tu Gaza!? Vuta picha wewe ungekuwa umezaliwa eneo la Gaza, ungefanyaje!?
 
Na ninyi wavaa vipedo, misuli na makobazi wa kwa Buza kwa mama Bonge anzeni kuandamana 🤔
kimsboy
@greenrajab
Ritz
FaizaFoxy
@Alwaz
 
Wanavowaambia wahamie wapi watu wote hao na kuruka misri hawaruhusiwi hata kidogo
 
Matusi ya nini Maalim?Mbona kwenye nyuzi zako wenzio hawatukani?Au ndo mnafundishwa hivyo madrasa?
 
Kwa Myahudi hamas kayakanyaga
 
Mchuma janga Hamas. Hula na wa kwao.
Wanaofata ushauri wa israel hata hawafi sana. Unaliona hamas lina kuja kwenye jengo lako limeshika rpg. Na wew unakubal atumie jengo hilo hilo. Walipaswa wakimbie ilo eneo. Rubani kaona RPG. imerushwa tokea humo na mrushaji kavaa kanzu na kobazi rubani atajuaje huyu raia au mwanajeshi?
Rubani akiangalia chini anaona wote kama watoto hadi asogelee karibu ndo anajua huyu mtoto kweli huyu shababi so kuepuka usumbufu. Anaachia kimba moja kubwa wenyewe mtajua nani mtoto nani askar.

Ooh Haleluya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…