Kumekuwa na wimbi la wauza maziwa mitaani na barabarani, Je maziwa hayo ni salama?

Kumekuwa na wimbi la wauza maziwa mitaani na barabarani, Je maziwa hayo ni salama?

Umeweka Picha ya Punda? Ili kutishia wasio kuwa na uelewa?
.
Sikiliza kwanza maziwa ya punda ndio maziwa Bora miongoni mwa maziwa yote, ukiondoa maziwa ya Mama, maziwa yanayo fuatia ni ya punda, watalamu wanasema yako sawa kabisa na maziwa ya binadamu kwa ubora.

Cleopatra malikia wa Egypt inaaminika alikuwa anaogea maziwa ya Punda enzi hizo.

Maziwa ya punda ni ghari sana,
Waambie vijana hakuna kiumbe kisicholiwa chini ya hii dunia,kwahiyo kama yeye hatumii kuna watu wanatumia
 
Mm naona ni maziwa salama kwani pia vijana wengi wamepata kuinuka kiuchumi kutokana na biashara hii Cha kuzingatia mnunuzi kuwa makini wakati unataka bidhaa hii
 
Siri ya mtindi kuwa mzito, kwanza anza wewe kuyachunguza kwa kuyaacha yalale siku tatu, utakuta yamegawanyika maratatu chini kitu kama maziwa hiki hufanya yawe mazito, kinafuatia maji na juu kabisa maziwa ya mtindi, yanakuwa juu kwa sababu ni mepesi.
Hiki sasa ndicho hufanyika kuyaboresha, unga wa ngano hukorogwa kwenye maji kisha huchemshwa na kuacha uji huo mwepesi upowe, ukishapoa huchanganywa na mtindi na kukorogwa muda wote, mnunuzi anaponunua huuona mtindi mzito.
Kwanini hukorogwa muda wote, jibu lipo juu.
Nashukuru kwa kutambua hilo!, nadhani baada ya kufanya hivyo huyaweka blue band ili tuyaone ni halisi kutoka kwa ngombe!
 
Dar es salaam mnayo kazi humu vijini tunanyonya direct from nyonyo za ng'ombe 😂😂😂 ila maziwa ya ng'ombe mgando na fresh matamu nyiee
 
Back
Top Bottom