Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau

====================

UPDATES

Kwa taarifa nilizozipokea ni kwamba vijana wameitwq huko Galanos sekondali wakafanyiwe interview ya makaratasi

Hii nchi inashangaza sana
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB,
Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply muhimbili university kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni ?

Wadau
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
 
Vijana hawataki usaili wanataka kitonga.Juzi tu kuna mwalimu aliweka uzi wa kulalamika kufanyiwa usaili. Sasa nasema hivi mpende msipende mtafanyiwa usaili tu. Iwe dharau isiwe dharau mtafanyiwa usaili.pumbavu mnataka kupewa kazi bure wakati wengine wanafanyiwa usaili.
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB,
Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply muhimbili university kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni ?

Wadau
Nimekuelewa. Sasa kama kuna nafasi 20 na walioomba ni 200 na wote wanepitia huo mchakato. Unawachaguaje hao 20 kutoka 200?
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB,
Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply muhimbili university kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni ?

Wadau
Hakuna haya ya mitihani ya Baraza ili apate leseni kwa asuburie tu mitihani ya utumishi ili akifaulu aingie kwenye Ajira.. maana wameona utumishi ndio mitihani pekee inayomtambua mhitimu katika taaluma😁

Sababu akifail usaili inamaanisha leseni zake na mitihani aliyowai faulu ni batili sasa..


Siasa na taaluma .. na wenye dhamana wapo tu kushangaashangaa tu taaluma za Afya ziwe na waziri wao anaejua uchungu na msoto wa kada yake
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Aisee

Yaani marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
 
Sasa mkuu kama nimekuita kwenye shughuli yangu ambayo nina vigezo tofauti (labda kwangu ukarimu na personality matters kuliko vyeti) sasa takupima vipi bila kukufanyia interview....

Kama vipi unaona wewe ni gwiji huwezi kufanya interview basi nenda kule pasipo interview au fungua shughuli yako ambayo utajiajiri kwa kutokujipa interview...

When in Rome do as Romans....

Ila that said nahamia pia kwa upande wa Serikali..., Ni upuuzi usio na kifani kuwa na madaktari mitaani hawana kazi wakati kuna uhitaji wa wauguzi (wauguzi hawatoshi) hizo pesa mnazonunulia V8 bora mpande daladala na kuajiri wauguzi...
 
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
sio kwel kibongo bongo concept ya interview n sababu wahitim wamekuwa wengi.
 
Vijana hawataki usaili wanataka kitonga.Juzi tu kuna mwalimu aliweka uzi wa kulalamika kufanyiwa usaili. Sasa nasema hivi mpende msipende mtafanyiwa usaili tu. Iwe dharau isiwe dharau mtafanyiwa usaili.pumbavu mnataka kupewa kazi bure wakati wengine wanafanyiwa usaili.
Wakati mwingine ukiona unalalamikiwa ujue hauna uhalisia. Mambo ya kuulizwa mkuu wa mkoa wa loliondo wa kwanza kuteuliwa anaitwa nani ilihali unaomba nafasi ya udaktari.
 
Aisee

Motherfvckers think marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Mmiliki wa hospital 😁
 
sio kwel kibongo bongo concept ya interview n sababu wahitim wamekuwa wengi.
Nope, tuwe wakweli hapa, suala la wahitimu kuwa wengi ni suala la sera ya nchi , interview haiko pale kulimit. Kama ni ishu ya kulimit wangeanzaa secondary education.

Usaili uko pale kupata right people, wengi wana div 1 div 2, first class gpa, second class gpa, lakin tunapataje wachache ambao wata fit kwneye position hiyo?

Interview is the only legal and fair way ya kufanya hayo
 
Back
Top Bottom