miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
evelyn Chunvi ipo au ni barafu?Kuna kada tulikua tumezoea kitonga hadi raha, siku nikiambiwa nifanyiwe intavyuu nitaliaaa nitaliaaa nitagalagala chini mimi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
evelyn Chunvi ipo au ni barafu?Kuna kada tulikua tumezoea kitonga hadi raha, siku nikiambiwa nifanyiwe intavyuu nitaliaaa nitaliaaa nitagalagala chini mimi....
wahasibu wamesoma miaka mitano?Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview
Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
Kwani ajabu ni nini mzee?Mmiliki wa hospital 😁
Kaka in real world muda uliosoma si moja ya qualification, ww hata usome miaka 100, kama cheti ni kimoja ndio hiko hiko, ndio utakuwa judged nacho.Hao
wahasibu wamesoma miaka mitano?
Hivi unaujua mziki wa medical school?
Hujui kwanini zamani walikuwa wanaajiliwa moja kwa moja?
By the way mimi ninla saba B ninabobea kwenye uchawi nilichokifanya ni kuwasemea hawa watu tu mkuu
Nisamehe bure
Haijalishi amepata izo one nk. Lakini usaili ni muhimu sana kabla ya kupata kazi kwasababu vipo vitu vingi vinavyo angaliwa zaidi ya izo one na masomoJust imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.
Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.
Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.
Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.
Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.
Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.
Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?
Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?
Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?
Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?
Wadau
Walikua wanapita tu kizembe zamani sasa saivi mambo wameanza kuyaona magumuVijana hawataki usaili wanataka kitonga.Juzi tu kuna mwalimu aliweka uzi wa kulalamika kufanyiwa usaili. Sasa nasema hivi mpende msipende mtafanyiwa usaili tu. Iwe dharau isiwe dharau mtafanyiwa usaili.pumbavu mnataka kupewa kazi bure wakati wengine wanafanyiwa usaili.
Kisha ububujikwe na machoziKuna kada tulikua tumezoea kitonga hadi raha, siku nikiambiwa nifanyiwe intavyuu nitaliaaa nitaliaaa nitagalagala chini mimi....
Mtasema tu ,na bado hamjasema 😄😄😄😄.Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.
Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.
Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.
Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.
Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.
Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.
Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?
Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?
Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?
Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?
Wadau
Wizooo nisindikizee kwenye interview, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nendeni kwenye usaili mkanyolewe mpaka mjambe.
Halafu usaili wa utumishi ni kisiki kweli kweli, lazima mnyooke kama rula.
Cheti sio hoja. Nendeni mkabinywe.
Cc: Maghayo FaizaFoxy mshamba_hachekwi Mbaga Jr dronedrake Extrovert Lamomy cocastic Yohimbe bark fundi bishoo
Sio hivyo unavyo dhani wewe interview sio kisa wahitimu ni wengi ila interview ina nafasi yake kwasababu unaweza ukawa na mavyeti yote hayo lakini tabia mbovu sasa serikali ya nani ikupe kazisio kwel kibongo bongo concept ya interview n sababu wahitim wamekuwa wengi.
Wamezoea kupata kazi kwa rushwa na hongo za ngono huko tamisemiVijana hawataki usaili wanataka kitonga.Juzi tu kuna mwalimu aliweka uzi wa kulalamika kufanyiwa usaili. Sasa nasema hivi mpende msipende mtafanyiwa usaili tu. Iwe dharau isiwe dharau mtafanyiwa usaili.pumbavu mnataka kupewa kazi bure wakati wengine wanafanyiwa usaili.
Ina maana wakienda kuajiriwa private hospitals na huko shule binafsi huwa hawapigwi interviews ?Aisee
Motherfvckers think marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima
Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?
Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?
Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Kuna watu hawachuji kwa kuangalia vyeti na historia ya umwpitia wapi, wanachuja kwa kuangakia attitude ya mtu.Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.
Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.
Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.
Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.
Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.
Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.
Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?
Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?
Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?
Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?
Wadau
Hii mitihani ni kwa ajili ya kuweka fair ili kuepusha maneno kwamba kuna watu wanapata kazi kwa kupendelewa, Nafasi zingekua nyingi kusingekua na haja ya interview sasa watu ni wengi kuliko nafasi mfano nafisi zipo 50 halafu waombaji wapo 1000 hapo wewe utafanyaje ili iwe fair.Hakuna haya ya mitihani ya Baraza ili apate leseni kwa asuburie tu mitihani ya utumishi ili akifaulu aingie kwenye Ajira.. maana wameona utumishi ndio mitihani pekee inayomtambua mhitimu katika taaluma😁
Sababu akifail usaili inamaanisha leseni zake na mitihani aliyowai faulu ni batili sasa..
Siasa na taaluma .. na wenye dhamana wapo tu kushangaashangaa tu taaluma za Afya ziwe na waziri wao anaejua uchungu na msoto wa kada yake