Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Interview sio kitu kibaya at all, tatizo interview za nchi hii ndio za udhalilishaji.

Niliuliza why wanashortlist candidate 100 kwa nafasi 2? eti policy za utumishi ni za kutoa nafasi kwa wote na blah blah.

Mnaweza vipi kuachieve effectiveness, accuracy, fairness kwenye mazingira kama hayo, eti watu wamekuja kwenye interview uwanja wa taifa, yaani kama mnada 😀

Mi naishi Dodoma, every now and then
napokea watu/madogo wanaenda kwenye interview UDOM mtu akirudi amepauka kama katoka kuvuna mahindi, unajiuliza WTF!

Kwa mazingira hayo, Mwisho watu hawawezi shindana kwa uwezo wanashindana kwa vimemo, huu ni udhalilishaji. Ndio maana tuna baadhi ya watumishi wa hovyo , Sorry not sorry .
Eti wame kauka, Kama wame toka kuvuna mahindi😃
 
Interview sio kitu kibaya at all, tatizo interview za nchi hii ndio za udhalilishaji.

Niliuliza why wanashortlist candidate 100 kwa nafasi 2? eti policy za utumishi ni za kutoa nafasi kwa wote na blah blah.

Mnaweza vipi kuachieve effectiveness, accuracy, fairness kwenye mazingira kama hayo, eti watu wamekuja kwenye interview uwanja wa taifa, yaani kama mnada 😀

Mi naishi Dodoma, every now and then
napokea watu/madogo wanaenda kwenye interview UDOM mtu akirudi amepauka kama katoka kuvuna mahindi, unajiuliza WTF!

Kwa mazingira hayo, Mwisho watu hawawezi shindana kwa uwezo wanashindana kwa vimemo, huu ni udhalilishaji. Ndio maana tuna baadhi ya watumishi wa hovyo , Sorry not sorry .
😆😆😆😆😆😆😆 Milio itakuwa mingi sana ,na bado .
 
Hao

wahasibu wamesoma miaka mitano?

Hivi unaujua mziki wa medical school?
Hujui kwanini zamani walikuwa wanaajiliwa moja kwa moja?

By the way mimi ninla saba B ninabobea kwenye uchawi nilichokifanya ni kuwasemea hawa watu tu mkuu

Nisamehe bure
Acha mbwembwe wewe dogo ,medical school ndio ugoro gani wewe ?,
Wewe ungeweza mziki wa course za uhandisi (Engineering) wewe ?
Na tunamaliza hapo tunapiga internship au kazi miaka mitatu ndio unaanza mchakato wa kuanza kushughulikia leseni .
Kipi ni special kwenu ninyi .
Useless kabisa , usahili uko pale pale ,mtake msitake usahili unawahusu
 
Hao

wahasibu wamesoma miaka mitano?

Hivi unaujua mziki wa medical school?
Hujui kwanini zamani walikuwa wanaajiliwa moja kwa moja?

By the way mimi ninla saba B ninabobea kwenye uchawi nilichokifanya ni kuwasemea hawa watu tu mkuu

Nisamehe bure

Zamani walikuwa wachache. Ndio maana walikuwa wanaajiriwa moja kwa moja.

Hata walimu zamani walikuwa wanaajiriwa moja kwa moja
 
Eti wame kauka, Kama wame toka kuvuna mahindi😃
Kiukweli sio tabia nzuri wanayowafanyia hawa vijana. Sie wengine tukiingia kwenye interview panelist wanakuhakikishia uko comfortable kwanza, panelist hayuko pale kukukwamisha, yuko pale kutaka kufahamu skills zako and how best you can offer them.

Kwenye Interview moja swali la kwanza niliulizwa kama napenda kupika na napenda kupika nini? (usahili hauhusiani na mapishi) Ni namna ya kumfanya mtu awe calm and collected.

WaTz tupunguze roho mbaya, tushazoea kila kitu kukipata kwa kustruggle kama wana wa Israeli Lol!
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Unaemraumu hayupo , haya yote yamesababishwa Na rais wa wanyonge😀😀
 
Aisee

Motherfvckers think marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
unayoo?
 
Kiukweli sio tabia nzuri wanayowafanyia hawa vijana. Sie wengine tukiingia kwenye interview panelist wanakuhakikishia uko comfortable kwanza, panelist hayuko pale kukukwamisha, yuko pale kutaka kufahamu skills zako and how best you can offer them.

Kwenye Interview moja swali la kwanza niliulizwa kama napenda kupika na napenda kupika nini? (usahili hauhusiani na mapishi) Ni namna ya kumfanya mtu awe calm and collected.

WaTz tupunguze roho mbaya, tushazoea kila kitu kukipata kwa kustruggle kama wana wa Israeli Lol!
ni kweli, muda mwingine Wana kuwa strict Sana sijui ndo sifa??.

Sema huyo alie kuuliza kupika ni wa kiume au kike ??
 
Etiii nimepataa A mara division one WTF ajira za serikali ni haki ya kila mtu regardless ufaulu wako wa huko mashulenii nendenii mkapambanee nafasii ni chachee mno😂😂 nyie ndo mnakosea kufanyia watu operation baada ya goti mnafanya kichwa kisa umepata division one four……. Nenda kwenye interview kaonyeshee kwamba wewe unauwezo kuliko wengnee sio kutupigia kelele hapaa
 
😆😆😆😆😆😆😆 Milio itakuwa mingi sana ,na bado .
Sijajua unacheka nini kwenye malalamiko ya wenzio, Mr. Privileged.

Binafsi sijawahi kwenda kwenye interview utumishi, na sijawahi fanya interview ambayo panelist ina mbongo zaidi ya mmoja. However naelewa mazingira ya interview yanayolalamikiwa hapa yalivyo kwa kuambiwa.
 
Mass unemployment. Baada ya kukosa ubunifu, unaona interview ndio suluhisho la hiyo mass unemployment mkuu??
Mtasema tu ,na bado hamjasema 😄😄😄😄.
Hizo one za saba unadhani ni madaktari tu ndio mlipata ?
Kuna Engineers na wahasibu wana one kali kuliko hizo wana leseni za kazi na ni jobless mpaka sasa na kila interviews wanahudhuria .
Ninyi mnajiona keki sana nchi hii
Ngoja muionje joto ya jiwe ili akili ziwwakae vizuri na kuelewa hili neno "Mass unemployment " ili mkisikia mtu anasema "Tanzania kuna mass unemployment " msimwone mpuuz
Afya na ualimu mnajiona special sana kwa nini ?
Why wengine wafanye usahili ninyi msifanye usahili ?
Au ninyi tu ndio mmefaulu olevel na Advanced level ?
Ni ninyi Tu ndio mmesoma chuo na kutoka na GPA kali ?
Ni nyinyi tu mlisajiliwa na bodi za taaluma na kuwa na leseni ?
Kwamba watu wa fani nyingine hawana hizi issues ?

Au ninyi mna kitu gani cha special sana kwamba muajiriwe kwa kuingizwa tu bila usahili ?
 
Back
Top Bottom