Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kama ni wachache na wote ni proven kuwa wana vigezo vinavyo hitajika interview haina haja.
Mkuu hadi hapa sina swali kwako nimeridhika na hoja zako

Interview haina maana kama wanahitaji kuchuja idadi kwa kuangalia marks nawatumie kigezo cha GPA wenye gpa kubwa waanze kuajiriwa wenye ndogo waachwe kwani assessment wanayoifanya ni sawa na ile iliyofanywa na NECTA na TCU
 
Kwahiyo sio ubora tena ni idadi?

Sasa vipi wote wakiscore high marks watakaowekwa kwenye data base watatumia kigezo gani kuwaita kazini endapo nafasi ikitokea let's say nafasi moja?

Na kama lengo ni idadi tunakubaliana na mtoa mada kuwa ubora washauchuja baraza na taasisi za elimu kama shule, hiki kinachofanyika ni sarakasi tu za kisiasa
Nimeshasema hapo juu wanapanga rank in descending order from highest marks to lowest kwahiyo wanaendelea kuchukua kwa kushuka chini kwa kadri nafasi zinapopatikana, nasikia database ni valid kwa mwaka mmoja.
Mi nilifanya interview nikapita mpaka oral. Ile kazi sikupata ila ilitokea nafasi taasis nyingine ya serikali nikaja kupata ( miezi kama 6 baadae) na barua ya kazi ilielekeza kabisa kuwa ni kwa matokea ya interview ile niliyokuwa nimefanya na kufaulu ila nikakosa nafasi kwa sababu ya competition.
Tulikuwa kadhaa na wote tulitokea kwenye ile ile interview.
NB Sina connection yeyote, hakuna mtu aliyeni connect, niliona tangazo la nafasi, nika omba, nika itwa interview nikapambana kwenda kwa shida shida hivyo hivyo na Mungu akasaidia nikapata.
Na nafasi ya engineer, nami nilipata div 1 shule, chuo nikafaulu vizuri, ni registered ERB ila interview nilifanya.
 
Mkuu hadi hapa sina swali kwako nimeridhika na hoja zako

Interview haina maana kama wanahitaji kuchuja idadi kwa kuangalia marks nawatumie kigezo cha GPA wenye gpa kubwa waanze kuajiriwa wenye ndogo waachwe kwani assessment wanayoifanya ni sawa na ile iliyofanywa na NECTA na TCU
Sasa nimekuelewa.
Wewe itakuwa ndio wale somasoma ambao wanategemea numbers za kwenye vyeti vyao ndio Ziwatoe kimaisha.
Mwajili yetote mwenye akili hawezi kamwe kutumia kigezo cha ufaulu mkubwa kwenye cheti kukupa ajira, toa hilo akilini dogo.
Tena waajiri wengine wakiona una marks kubwa kwenye cheti hakupi kazi anajua wewe ni somasoma hauna skills out of your books.
 
Nimeshasema hapo juu wanapanga rank in descending order from highest marks to lowest kwahiyo wanaendelea kuchukua kwa kushuka chini kwa kadri nafasi zinapopatikana, nasikia database ni valid kwa mwaka mmoja.
Mi nilifanya interview nikapita mpaka oral. Ile kazi sikupata ila ilitokea nafasi taasis nyingine ya serikali nikaja kupata ( miezi kama 6 baadae) na barua ya kazi ilielekeza kabisa kuwa ni kwa matokea ya interview ile niliyokuwa nimefanya na kufaulu ila nikakosa nafasi kwa sababu ya competition.
Tulikuwa kadhaa na wote tulitokea kwenye ile ile interview.
NB Sina connection yeyote, hakuna mtu aliyeni connect, niliona tangazo la nafasi, nika omba, nika itwa interview nikapambana kwenda kwa shida shida hivyo hivyo na Mungu akasaidia nikapata.
Na nafasi ya engineer, nami nilipata div 1 shule, chuo nikafaulu vizuri, ni registered ERB ila interview nilifanya.
Hongera mkuu hakika umepambana na siku zote ukipambana Mungu hakuachi hivi hivi

Ila kiuhalisia hukutakiwa kufanyiwa interview ingetakiwa uajiriwe direct maana assessment waliokufanyia kwenye interview ni ile ile waliokufanyia NECTA na TCU hadi ukapata div 1
 
Ndio maana shule za kata zimejaa wallimu vilaza kutokana na hakuna usaili
Nenda Shule kama IST au Feza, kama utapewa kazi bila interview hata kama una Phd ya jalalani !
Kuna jamaa angu anafundisha feza hata hajafanyiwa interview alichukuliwa moja kwa moja alipomaliza chuo tu maana wanakuwa na taasisi zao za kuwasimamia graduates vyuoni

Na kila ajira zikitoka huwa anaomba ili aingie serikalini. Kwahiyo sio kweli kuwa shule za kata zina vilaza na hizo feza zina magenius hapana ni utofauti wa kimazingira tu na usimamizi
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
mkuu, uwekewe ulinzi.

only in shithole countries. Na zaidi hapo kwenye salary ndipo panaudhi zaidi.


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
nawe pia usikilizwe!

ila sijaelewa sana mambo yanayotakiwa zaidi ya taaluma yenyewe ya utabibu. Au ujasusi
 
Mwaka huu tutaona mengi sana.

Any way elimu yetu ipo chini sana mno kama mtu anapewa lesen ya kumaliza kitu fulani na bado haaminiwi hili liangaliwe upya

Sema kingine dakatr wa bongo akienda nchi za wenzetu mfano canada ni wazi kuwa utarudia masomo baadhi au utaenda training mwaka mmoja mwingine

Kuwafanyisha interview ni kuwa waombaji wamekuwa wengi nafasi ni chache hivyo ni ngumu kumfanyia direct placement mtu kwa kuona either Gpa

Interview is the best way to get more competent and suitable candidate
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Ni dharau ya kiwango Cha SGR 🤔
 
Kwahiyo sio ubora tena ni idadi?

Sasa vipi wote wakiscore high marks watakaowekwa kwenye data base watatumia kigezo gani kuwaita kazini endapo nafasi ikitokea let's say nafasi moja?

Na kama lengo ni idadi tunakubaliana na mtoa mada kuwa ubora washauchuja baraza na taasisi za elimu kama shule, hiki kinachofanyika ni sarakasi tu za kisiasa
According to waasisi wa mchakato huu, ni idadi kupunguzwa.
 
Kwan maana ya interview n nn??

INTERVIEW NI KUMTAFUTA MTU ALIYE BEST & COMPETENT KULIKO WOTE. Ndio maana huwa pia wanaangalia APPEARANCE na CONFIDENCE.

Au mleta mada ulimaanisha nn?
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Daktari anachujwa kwenye kundi la daktari. Ubaya upo ?
Washinde wenzii ipate chance. Ulimwengu ni wa ushindani.
 
Dah maisha haya angalia tunavyowapigania madogo humu mpaka mishipa ya shingo inatutumka wakishapata nao wanaturundika kwenye mafoleni huku masikioni wameweka ma earphone hawana habari na sisi 😪😪😪
 
Back
Top Bottom