Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Hebu tukuelimishe kidogo,yawezekana kichwa chako hakijafunguka.kufanya enterview sio mtihani.bali ni hatua ya kupunguza idadi ya watu ili kulingana na nafasi zilizopo.mfano nafasi ziko 40 walio omba ni 200. N a hapo tambua kuwa swali linaweza kuwepo hata ambalo hujalisomea ila linapima uelewa wako ukoje. jitahid kuwa mwelewa sio kila kitu tutakuwa tunakuelewesha
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau

====================

UPDATES

Kwa taarifa nilizozipokea ni kwamba vijana wameitwq huko Galanos sekondali wakafanyiwe interview ya makaratasi

Hii nchi inashangaza sana
Baada ya hapo mgonjwa akija yeye anaanza ku google tatizo la mgonjwa 🤣
 
Nope, tuwe wakweli hapa, suala la wahitimu kuwa wengi ni suala la sera ya nchi , interview haiko pale kulimit. Kama ni ishu ya kulimit wangeanzaa secondary education.

Usaili uko pale kupata right people, wengi wana div 1 div 2, first class gpa, second class gpa, lakin tunapataje wachache ambao wata fit kwneye position hiyo?

Interview is the only legal and fair way ya kufanya hayo
Hapana mkuu. Ninapingana na wewe.

Mkuu, kwa hiyo unataka kuniambia mwenye division 3 ya chuoni akifaulu interview kumzidi Mwenye division 1, ndio kusema, huyo mwenye 3 ana uwezo mkubwa sana kuliko mwenye 1??

NB: Assume kwamba chuo hakuna GPAs bali grading inafanyika in terms of divisions..
 
Hapana mkuu. Ninapingana na wewe.

Mkuu, kwa hiyo unataka kuniambia mwenye division 3 ya chuoni akifaulu interview kumzidi Mwenye division 1, ndio kusema, huyo mwenye 3 ana uwezo mkubwa sana kuliko mwenye 1??

NB: Assume kwamba chuo hakuna GPAs bali grading inafanyika in terms of divisions..
Lazima ujue kutofautisha performance ya darasani is not equal to performance kazini

Kazini ni different world , hakuna gpa kule au division one, kule kuna efficiency

Alipata division 3 anaweza kua kasoma kozi moja na alipata div 1. Lakini wa div 3 akawa efficiency kwenye kazi kuliko div 1

Tumeona makazini, when nilipokuwa darasani. Kuna degree holders walikuwa wanawaburuza masters kwenye utendaji. Diploma holders so efficient kiasi kwamba degree holders wanawekwa pembeni

kwenye uga wa kazini ni different enviroment
 
Never ever. Kamwe Sikio haliwezi kulizidi kichwa mkuu..
Pole sanaaaaa, naongea hili from experience. Back in the days wakati nipo serikali hii ilikuwa common sana. Make no mistake nimekuwa serikalini lwa muda mrefu mpaka kufikia mahali pa kusimamia interview na kuchuja

I know ninachokiongea, i was there. Mazingira ya darasani si ya kazini. Hizo ni dunia mbili tofauti
 
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
Ni kweli kabisa interview ni jambo la kawaida wajameni,hiyo ni kwa kila fani,tena tambueni kwasasa hayaangaliwi makaratasi tu, lazima interview ifanyike pia tena ya kina haswa,kwani hamjaona mtu ni msomi mzuri lakini in the field anashindwa ku perform??
 
Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview

Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
Kwani kiswahili hujui kukiandika?
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau

====================

UPDATES

Kwa taarifa nilizozipokea ni kwamba vijana wameitwq huko Galanos sekondali wakafanyiwe interview ya makaratasi

Hii nchi inashangaza sana
Kama hutaki join CCM utafahamu wenzio la 7 CCM wanakula Raha
 
Aisee

Yaani marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Mkuu Una undugu na TUPAC SHAKUR?
 
Acheni kujiona special.... unajiona msomi hata kureason umuhimu wa interview unashindwa?
Hizo profession zingine wanapitia michujo wao ni ng'ombe????

Na siku nchi hii wahudumu wa afya wakianza kuwa held accountable for unnecessary medical errors wanafanya ndo mtajua kuna so many incompetent staffs hospitalini... useless sets of people
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau

====================

UPDATES

Kwa taarifa nilizozipokea ni kwamba vijana wameitwq huko Galanos sekondali wakafanyiwe interview ya makaratasi

Hii nchi inashangaza sana
Unajua maswali wanayoulizwa?
Anaweza kuwa daktari bora ndio,alifaulu ndio lakini ana attitude ipi?
Kuna mtu anaomba kazi ila anasema anataka kujishikiza,sasa nani anataka mtu wa jinsi hiyo?Ukiomba kazi onyesha nia ya kweli ya kutaka kufanya na taasisi au kampuni unapoomba kazi siyo kujishikiza.
 
Mkuu dawa ya dharau ni kukataa kudharauliwa, na ili usidharauliwe ukiitwa kwenye usaili usiende,maana siyo lazima kuajiriwa,kisha bada ya hapo tutaongea lugha moja wote huku mtaani
 
Hata ungepata one ya point 1 olevel na one ya point 1 form six na chuo GPA ya 32 bado tungekupigisha interview na tungekunyoosha.
Kwamba madaktari ni special case wengine wote wanafanyiwa interview nyie ndio msifanyiwe?
Unajua maana ya interview na umuhimu wake?
Hata viongozi wa mashirika ya afya duniani wanafanya interview,wewe ngumbaro mmoja umemeza slide za anatomy na physiology unajiona unastahili zaidi kuliko wenzako?
Baki na vyeti vyako..Rudi kimbiji kalime..na kimbiji hakuna mashamba tena sahivi wamejenga kila kona 🤣🤣🤣🤣🤣
Na ukiendelea hivi ntakutukana zaidi , energy drink...TASAF...
Kasongo mmoja.
 
Back
Top Bottom