Labda waliconsider na uzito wake....Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana
Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini.
Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Hauna kitu kinachoitwa dharau wala heshima bali inategemea na tafsiri ya mfasiri husika!
Mfuniko huo ni mzito tuache ushabiki na inategemea ulivyotengenezwa,,ipo myepesi ambayo hufungwa na bolt,,ipo mizito ya jig saw huwa mizito kwelikweli watu 20 hawanyenyui! Sio culvert hiyo kwamba mtai-roll!!
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana.
Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini.
Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Ni kuiga mambo ya ughaibuni zaidi.
Ukienda kuzika mtoni ndio utaona vitu hivyo, ila sijaona Katapila baya kama hilo.
Kwa hiyo kwangu mimi jambo la kushangaza ni Katapila baya, si Katapila.
Nishaenda mazishi ya babu mmoja jirani familia yake iliishia funeral home tu, mimi na jirani mwingine mama wa KiJamauca ndio watu pekee tulioenda makaburini kuzika. Tulipoweka mchanga kumzika yule babu chepeo chache baadaye watu wa pale makaburini wakatumia ki tractor maalum cha kuzikia kumaliza kuzika.
Kimtoni mtoni watu wengi hawaziki, hivyo mashine hizi zinaweza kubitajika practically.
Kibongo bongo hata kama kila mtu mmoja akipiga chepeo mbiki hapo wanazika, ila tulivyozoea kuiga tutataka kuzika kwa fashion ya katapila.
Ndicho kilichotokea hapo.
Komba alishasema anataka mazishi ya kifahari.
Jaman kwal ule mfuniko wa kabuli la nyerere ulikuwa mzito au mwepesi, mbona hatukuona ule mkatapila jamani, alafu huyu si alikuwa capten kwanini wasingefika wajeda kusaidia!