Kumfunika Kapt. John Komba na Katapilla ilikuwa dharau

Kumfunika Kapt. John Komba na Katapilla ilikuwa dharau

dharau ipo wapi hapo?au ulitaka watu wajilazimishe kunyanyua hilo zege hadi wavunje miguu ndo ingekuwa heshima?
Mawazo ya kiza, mawazo ya kipumbavu, mawazo yaliyogandamana fikra finyu yanayoakisi aina ya mtu aliyeyatoa. Hilo "katapila" lililotumika ni nyenzo tu, kuna ulazima gani kuhangaika kijima kunyanyua tani nyingi za funiko la zege wakati kuna mashine inaweza kufanya kazi hiyo effortlessly? Ukiona watu wanaanza kuzusha na kuanzisha conspiracy kwenye vitu vidogo kama hivi ujue jamii imejaa masizi ya imani za giza!

heshima yako mkuu
 
Tumehudhuria mazishi mara nyingi mfuniko hujengewa baada YA mwili wa marehemu kushushwa kaburini mafundi hujengea na inachukua dk 20 tu. Hilo funiko la Komba la tani hizo la nini. Kuna maana mbaya bana either deliberate or implied. Komba kasiribwa sio kuzikwa huko.
 
Back
Top Bottom