Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Methodius kilaini anweza kufafanua, manake inaonekana wametafsiri alivyozikwa lazarus.
Hii hata Nzigirwa anayo tafsiri na ufafanuzi, mkatoliki mwenye mitala na kanisa halikuwa na kinyongo kutoa huduma ya maziko (jambo la kiroho zaidi)
Labda waliona kwa ule mwili anaweza kufungua mfuniko akatoka
Sasa wakaona dawa ni kumwekea uzito wa ajabu juu
sasa fahari gani kukamuliwa kinyesi uingie pepon ukiwa msaf. ..ya akh pathetic and disgustingNdio maana najivunia kuwa muislam, maana kwetu hata uwe Rais formality ni zile zile, '' leta tofari, nyasi, mbao then udongo khalas, waungwana wanataambaa wanakuachia nzugwe na malaika l mauti au malaika wa kheir ,,, sasa zigo la zege ndio asitoke tena au ?
sasa fahari gani kukamuliwa kinyesi uingie pepon ukiwa msaf. ..ya akh pathetic and disgusting
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Jaman kwal ule mfuniko wa kabuli la nyerere ulikuwa mzito au mwepesi, mbona hatukuona ule mkatapila jamani, alafu huyu si alikuwa capten kwanini wasingefika wajeda kusaidia!
sasa fahari gani kukamuliwa kinyesi uingie pepon ukiwa msaf. ..ya akh pathetic and disgusting
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.