Kumfunika Kapt. John Komba na Katapilla ilikuwa dharau

Kumfunika Kapt. John Komba na Katapilla ilikuwa dharau

Hahahaha mkuu huo ni uzito gani ambao atuushudii tunaposhiki maziko sehemu nyingine?
Au mfuniko unawekwa kutokana na uzito wa marehemu?
Acha kutudanganya watu na akili zetu hapo makaburini kinondoni ukipita leo utakuta watu wanazika pale lakini huwezi kuona katapilla ni watu wanafunika kwa mikono yao.

huwa wanafukia kwa mikono....then kaburi linajengewa zege pale pale baada ya kufukia,ni dhahiri hili la komba mfuniko ulijengwa kabla na unavyoonekana na mzito.
 
Huyo ndo kadoda yeye ana deal na typing error.
 
View attachment 232420

Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.

Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Hata mimi nilishangazwa sana. Wakati wa Nyerere mbona hatukuona mambo haya? Au ni toleo jipya? Katapila kufunika kaburi? Au kwasababu Komba alikuwa mnene wakaona kuwa mfuniko nao utakuwa mzito sana hivyo watumie katapila? Mbona jeneza lilibebwa na watu sembese mfuniko??!!
 
huwa wanafukia kwa mikono....then kaburi linajengewa zege pale pale baada ya kufukia,ni dhahiri hili la komba mfuniko ulijengwa kabla na unavyoonekana na mzito.
Mbona la Nyerere mfuniko ulitengenezwa kabla lakini haukunyanyuliwa na katapila?
 
Hata mimi nilishangazwa sana. Wakati wa Nyerere mbona hatukuona mambo haya? Au ni toleo jipya? Katapila kufunika kaburi? Au kwasababu Komba alikuwa mnene wakaona kuwa mfuniko nao utakuwa mzito sana hivyo watumie katapila? Mbona jeneza lilibebwa na watu sembese mfuniko??!!

Labda waliona kwa ule mwili anaweza kufungua mfuniko akatoka
Sasa wakaona dawa ni kumwekea uzito wa ajabu juu
 
View attachment 232420

Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.

Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Tafsiri yake aende asirudi tena
 
View attachment 232420

Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.

Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.

Mzimu wa jj warioba unafanya kazi
 
View attachment 232420

Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.

Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Hapo hakuna dharau, huo mfuniko utakuwa mzito sana. Kwanza kwa jinso mfuniko ulivyo ni ishara tosha ya heshima. Badala ya kijiko wangeweza kutafuta crane ambayo yawezekana haikupatikana.
 
Jamani, tutafakari mambo mengine. Dharau kwa nani? Na kwa lengo gani? Huu ni wakati wa teknolojia. Nyerere amekufa miaka mingapi iliyopita? Kwa nini watu waendelee kukariri mambo ya zamani? There is no issue here. Ingetokea wakaubeba ule mfuniko halafu akatokea mtu akaumia mngelalamika ni kwa nini hawakutafuta kijiko au crane.
 
Binafsi naona mtoa mada hana maono/exposure;
Kama hujui yanayo endelea duniani piga kimya, usichefue watu!!!!

Nafikiri utafakari mambo ya msingi yanayokuhusu achana na kutafakari marehemu ambaye amesha tangulia mbele ya haki!
 
Nu
View attachment 232420

Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.

Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.

Inategemea mfuniko ulikuwa na uzito wa gani ngapi. Pili, hivyo ndivyo familia na kamati ya mazishi walivyokubaliana.

Vv
 
Maana yake asirudi tena hata siku ya kufuliwa apate tabu kuligungua kaburi lake
 
Back
Top Bottom