Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Sibishani na masikini, walioamua kujifariji na kuwa masikini jeuri.

Endelea kushinda huku jF.
Jifariji tu humu kila mtu anajua maisha yake halisi hivyo siangaishwi na wajinga kama wewe hunijui sikujui.
 
Support, hapa umeongea point sana tena sana. Chato kwao ilikuwa MUNGU, hivyo kusafisha kaburi la MUNGU wao ni sawa kabisa
inaonekana wewe ni KE,na Kama ni ME,basi unatabia za kike!!wanaume huwa hatuna chuki za kijinga Kama hivi !! Mtoto wa kiume ni dawa ya tumbo!!!,punguza chuki za kike!!
 
Wengi wanaomba Sukuma Gang wafukuzwe wote ili wakaunde kile Chama Cha Hapa Kazi Tu,moto uwake 2025,maana Chama Cha Gaidi sijui kama kitaweza kupambana 2025 zaidi ya kumlamba Mama amtoe Gaidi.
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Hakuna chama kina akili nyingi kama CCM

Ngoja aje arukie chagadema akakimalizie kabisa wakome na makelele ya kila siku
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Polepole ameshamaliza mwendo wake.
FB_IMG_1633786350550.jpg
 
Yule mchumia tumbo aache mshahara wa bure wa kibunge? Never.
Tatizo unadhani kila mtu ni masikini kama wewe, kuna hakuna comment yako juu ya mada za kisiasa ambayo haujazingatia neno "Sukuma gang"

Unachotakiwa kujua ni kwamba, hakuna mtu yeyote aliyekuwa ndani ya hiyo crew mnayoiita Sukuma gang ambae bado ana njaa.Mambo mengine ni upigaji wenu wa kelele tu hapa jF.
 
Back
Top Bottom