Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Ni mitaahir.a pekee ndo haijutii.Kati ya watu wanao jutia kifo cha mwenda zake ni pamoja na Polepole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mitaahir.a pekee ndo haijutii.Kati ya watu wanao jutia kifo cha mwenda zake ni pamoja na Polepole
Ni bora mbwa kuwa mbwa unayepata bahati ya kula mena ya nchi, kuliko kuwa innocent unayeteseka na maisha ya dunia huku ukisubiri kufa kibudu.Nakuona ni mtu unayeangaika tu,Nikwambie tu unaweza kusema lolote lakini kwangu haibadili chochote kwamba yule mbwa mnaye jaribu kumsafisha hasafishiki alikuwa ni kiongozi wa ovyo kuwahi kutokea.
Ina maana wewe ni taahira?Ni mitaahir.a pekee ndo haijutii.
ARV WANATUMIA WAGONJWA HIVYO NI TOFAUTI NA CHANJO WANAPEWA WAZIMA HIVYO ZINATAKIWA KUANGALIWA KWA MAKINI SANAAmeanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
Utajutia vipi kifo cha shetani? Wakati dini zote zinafundisha kumkataa shetani na mambo yake yote?Ni mitaahir.a pekee ndo haijutii.
HahaYawezekana, Spika ameona umuhimu ya shughuli kubwa wanachokifanya ndugu Polepole kwenye Shule ya SHULE ya Uongozi. Hivyo, ameona ampe nafasi zaidi ya kushughulikia shule yake hiyo.
Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
[emoji38][emoji38][emoji38] Unaifahamu VIEITE wewe ?Yawezekana, Spika ameona umuhimu ya shughuli kubwa wanachokifanya ndugu Polepole kwenye Shule ya SHULE ya Uongozi. Hivyo, ameona ampe nafasi zaidi ya kushughulikia shule yake hiyo.
Nikweli akawe mlinzi wa kaburi Chatttle
hapa ndio atajua kuwa hajui!!!Yanalenga kuboresha utendaji katika kamati. Pia Wahe. Wabunge, mtakumbuka kwamba Mh. Polepole ni mzoefu katika masuala ya sera na kutunga Sheria, uzoefu alioupata katika Tume ya Katiba, na pia ni mwalimu mzuri tu eeehsasa uzoefu huo ukatusaidie huko kwenye by-laws
Kichaa chenu kitaisha na mtarudi kwenye sensi zenu za kawaidaARV WANATUMIA WAGONJWA HIVYO NI TOFAUTI NA CHANJO WANAPEWA WAZIMA HIVYO ZINATAKIWA KUANGALIWA KWA MAKINI SANA
Tunamkataa shetani na mambo yake yooteUtajutia vipi kifo cha shetani? Wakati dini zote zinafundisha kumkataa shetani na mambo yake yote?
Wewe endelea kumlilia mumeo maisha yangu hayakuhusu naweza kukwambia chochote hiyo haijalishi kama ndio utakuwa uhalisia wa maisha yangu au la,wewe amini unachokiamini.Ni bora mbwa kuwa mbwa unayepata bahati ya kula mena ya nchi, kuliko kuwa innocent unayeteseka na maisha ya dunia huku ukisubiri kufa kibudu.
Wewe una nini cha kumzidi yule mbwa? au hata kizazi chake na watu wake wa karibu??
Ukifikiria vizuri utagundua kuwa mbwa ni watu wa aina ya maisha yako.
Kumtetea Polepole ni kumkosea heshima mwenyezi mungu.Pole pole ni msanii sana anatafuta huruma ya jamii ili hali alikuwa mtu mbad sana alipopewa madaraka na mwenda zake
Hana moral authority ya kukemea chochote ni wale wale
Watanzania ni wepesi wa kusahau aiseeKumtetea Polepole ni kumkosea heshima mwenyezi mungu.
Punguza makasiriko mkuu 🤣🤣🤣Punguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Ndiyo maana tunaburuzwa kila kukicha tunaishia kulalama tuWatanzania ni wepesi wa kusahau aisee