Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Nakuona ni mtu unayeangaika tu,Nikwambie tu unaweza kusema lolote lakini kwangu haibadili chochote kwamba yule mbwa mnaye jaribu kumsafisha hasafishiki alikuwa ni kiongozi wa ovyo kuwahi kutokea.
Ni bora mbwa kuwa mbwa unayepata bahati ya kula mena ya nchi, kuliko kuwa innocent unayeteseka na maisha ya dunia huku ukisubiri kufa kibudu.

Wewe una nini cha kumzidi yule mbwa? au hata kizazi chake na watu wake wa karibu??

Ukifikiria vizuri utagundua kuwa mbwa ni watu wa aina ya maisha yako.
 
Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
ARV WANATUMIA WAGONJWA HIVYO NI TOFAUTI NA CHANJO WANAPEWA WAZIMA HIVYO ZINATAKIWA KUANGALIWA KWA MAKINI SANA
 
Pole pole ni msanii sana anatafuta huruma ya jamii ili hali alikuwa mtu mbad sana alipopewa madaraka na mwenda zake

Hana moral authority ya kukemea chochote ni wale wale
 
Yanalenga kuboresha utendaji katika kamati. Pia Wahe. Wabunge, mtakumbuka kwamba Mh. Polepole ni mzoefu katika masuala ya sera na kutunga Sheria, uzoefu alioupata katika Tume ya Katiba, na pia ni mwalimu mzuri tu eeehsasa uzoefu huo ukatusaidie huko kwenye by-laws
hapa ndio atajua kuwa hajui!!!
 
ARV WANATUMIA WAGONJWA HIVYO NI TOFAUTI NA CHANJO WANAPEWA WAZIMA HIVYO ZINATAKIWA KUANGALIWA KWA MAKINI SANA
Kichaa chenu kitaisha na mtarudi kwenye sensi zenu za kawaida
 
Ni bora mbwa kuwa mbwa unayepata bahati ya kula mena ya nchi, kuliko kuwa innocent unayeteseka na maisha ya dunia huku ukisubiri kufa kibudu.

Wewe una nini cha kumzidi yule mbwa? au hata kizazi chake na watu wake wa karibu??

Ukifikiria vizuri utagundua kuwa mbwa ni watu wa aina ya maisha yako.
Wewe endelea kumlilia mumeo maisha yangu hayakuhusu naweza kukwambia chochote hiyo haijalishi kama ndio utakuwa uhalisia wa maisha yangu au la,wewe amini unachokiamini.
Watu wa namna yako mara nyingi uwa na matatizo ya akili ebu angalia unatumia nguvu nyingi kulazimisha uonekane ni mtu mwenye uwezo mkubwa wakati huo huo unalazimisha wengine ni masikini hii inashangaza sana! Lakini sitaki kuingia kwenye ubishani huo ridhisha nafsi yako kadri upendavyo.
 
Pole pole ni msanii sana anatafuta huruma ya jamii ili hali alikuwa mtu mbad sana alipopewa madaraka na mwenda zake

Hana moral authority ya kukemea chochote ni wale wale
Kumtetea Polepole ni kumkosea heshima mwenyezi mungu.
 
Back
Top Bottom