MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nenda Picnic tangu 1988 iko katika uboraWakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu.
1. Parma - ipo stendi ndogo.
2. Mrina iliyopo Kaloleni.
3. Keny Garden makao mapya.
4. Sakina Bar
5. Cheetah iliyoko Majengo.
6. Kati makutano Makao mapya
7. Jogoo iliyoko Town
8. Stanley bar iliyoko town
9. Aika - Mianzini
10. Soweto garden
Nilishawahi pita hapo mrina kipindi Fulani nikajipatia huduma murua kabisa kutoka kwa mtoto wa kimeru,,,,,, ! now days anafanya saloon jijin kwa makala,,,! Yes still napata huduma Mara Moja moja nikihitaji tho kaolewa!,,,thank you ArushaWakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu.
1. Parma - ipo stendi ndogo.
2. Mrina iliyopo Kaloleni.
3. Keny Garden makao mapya.
4. Sakina Bar
5. Cheetah iliyoko Majengo.
6. Kati makutano Makao mapya
7. Jogoo iliyoko Town
8. Stanley bar iliyoko town
9. Aika - Mianzini
10. Soweto garden
Malaya hawajawahi kustaafu kazi yao pendwa.Nilishawahi pita hapo mrina kipindi Fulani nikajipatia huduma murua kabisa kutoka kwa mtoto wa kimeru,,,,,, ! now days anafanya saloon jijin kwa makala,,,! Yes still napata huduma Mara Moja moja nikihitaji tho kaolewa!,,,thank you Arusha
Weyewe wanajiita Ngome KongweNenda Picnic tangu 1988 iko katika ubora
duh mkuu wakuu wa shule tena ππSio kote papuchi zinauzwa. Kwenye list ni Mrina tu ndo kwenye mauzo rasmi ya papuchi. Kwa mfano Stanley Bar utakuta tu wakuu wa shule
Shule za kata. Wako na mihuri ya shule kabisaduh mkuu wakuu wa shule tena ππ
Siku hizi kuna Washington bar jirani na Cafe La Azizi pia jirani na stendi ndogo ya hiace/vifodi.
Hahaha....na kweli Mkuu pale kuna waalimu wa kutosha na Maafisa taaluma wa secondari na msingiSio kote papuchi zinauzwa. Kwenye list ni Mrina tu ndo kwenye mauzo rasmi ya papuchi. Kwa mfano Stanley Bar utakuta tu wakuu wa shule
Mbona Matako Bar hujaiweka, au ilishafungwa. Sihafika Arusha kitambo kidogo.Wakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu.
1. Parma - ipo stendi ndogo.
2. Mrina iliyopo Kaloleni.
3. Keny Garden makao mapya.
4. Sakina Bar
5. Cheetah iliyoko Majengo.
6. Kati makutano Makao mapya
7. Jogoo iliyoko Town
8. Stanley bar iliyoko town
9. Aika - Mianzini
10. Soweto garden
Picnic π₯π₯π₯π₯Wakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu.
1. Parma - ipo stendi ndogo.
2. Mrina iliyopo Kaloleni.
3. Keny Garden makao mapya.
4. Sakina Bar
5. Cheetah iliyoko Majengo.
6. Kati makutano Makao mapya
7. Jogoo iliyoko Town
8. Stanley bar iliyoko town
9. Aika - Mianzini
10. Soweto garden
Wapo wachache wamestafu , Kuna wawili huwa nawaona soko kuu Arusha wanauza matunda, mbogamboga n.kMalaya hawajawahi kustaafu kazi yao pendwa.