Aluminium Technician
Member
- Sep 1, 2020
- 22
- 25
Hatari Sana, kuna Sikinde Bar ya mbauda pale sokoni, Nyama choma enzi hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matako Bar haina ukongwe wowote.Mbona Matako Bar hujaiweka, au ilishafungwa. Sihafika Arusha kitambo kidogo.
Soweto Garden home sweet home.
November...Ngiwaranecha
Serengeti view
Kitambo sana zipo tu
Hiyo mitaa nilikuwa napenda kwenda Village MairoHatari Sana, kuna Sikinde Bar ya mbauda pale sokoni, Nyama choma enzi hizo.
Tangu 1978 Bob,2018 ilitimiza miaka 40 na mualiko wahenga tulipewa.Nenda Picnic tangu 1988 iko katika ubora
Mzee Urassa alianzisha The Picnic mwaka 1977/78Nenda Picnic tangu 1988 iko katika ubora
Kiwanja changu miaka nenda ,miaka rudiTangu 1978 Bob,2018 ilitimiza miaka 40 na mualiko wahenga tulipewa.
1978Nenda Picnic tangu 1988 iko katika ubora
Ngiwaranecha nilipita nilipokua Arusha pashafulia. Wahudumu ukifika wanaenda kuitwa mtaa wa pili na mlinzi.Ngiwaranecha
Serengeti view
Kitambo sana zipo tu
Mrina Bar.Bar gani nitapata mbususu
Siku hizi inabamba hatariSiku hizi kuna Washington bar jirani na Cafe La Azizi pia jirani na stendi ndogo ya hiace/vifodi.
December Bar MkuuNovember...
Haa hawa ndio wale wanaoenda sokoni na bidhaa zao kisha kurudi na pesa ya mauzo na bidhaa zao mkononi!!! Tisha saana hii biashara toka enzi na enzi yaaani tangu enzj za Yeriko hadi wa keshooWapo wachache wamestafu , Kuna wawili huwa nawaona soko kuu Arusha wanauza matunda, mbogamboga n.k
Raia wa viavia wamehamia Zeze LoungeViavia club