Kumi bora ya wacheza mpira wa miguu kuwahi kutokea hapa duniani mpaka sasa

Kumi bora ya wacheza mpira wa miguu kuwahi kutokea hapa duniani mpaka sasa

Pele kwenye kutafuta mwanasoka bora wa karne ya 20 alibebwa na FIFA pamoja na IFFHS baada ya kuona anazidiwa na Maradona wakabadilisha polling style na ikabidi wawape wote wawili.

Alikuwa mzuri sana lakini sio kwa kumzidi Messi. Huyu ndio hasa mfalme wa soka hapa duniani.

Jibu zuri sana mkuu, ilinisikitisha sana hiyo ya pele kubebwa na fifa 😔 Diego alikua mashine bwana, huyo pele ni mchezaji mzuri ila hajafikia uwezo wa Maradona na Messi💪🏽 hawa viumbe waheshimiwe sana, ndio maana mpaka leo NAPOLI hawatoi jezi namba 10 iliyo achwa na Mwamba Maradona, na uwanja wao wameupa jina la Maradona, huyu mshkaji hawatamsahau maisha yao. Kwa Messi pia Barcelona walipaswa kuheshimu na kutoitoa namba10 kwa mwingine.
 
Vipaji vya ajabu kabisa kwenye kandanda la kidunia
1. Messi
2.Okocha
3.Gaucho
4.Zizzou
5.Denilson
6.Maradona
7.Iniesta
8. Haghi
9.Valderama
10.Mandieta
 
Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:

1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3. Diego Maradona
4. Christiano Ronaldo
5. Franz Beckenbauer
6. Johan Cruyff
7. Zinedine Zidane
8. Ronaldo De Lima
9. Ronaldinho Gaucho
10. Michael Platin
List yako JJ OKOCHA man from Africa hakutakiwa kukosa
 
Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:

1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3. Diego Maradona
4. Christiano Ronaldo
5. Franz Beckenbauer
6. Johan Cruyff
7. Zinedine Zidane
8. Ronaldo De Lima
9. Ronaldinho Gaucho
10. Michael Platin
hata kwa mapenzi yaliyopitiliza Messi hawezi kuwazidi PELE&MARADONA
 
Hakuna kitu anachofanya Messi wakati huu Pele hajafanya.
 
Ni maoni yako, hivyo kila mtu na mawazo yake

Ukiniuliza ni mchezaji gani kwako bora zaidi kuwahi kutokea nitakuambia Messi na Maradona, why?? Wakati wa pele hakukua na sheria ngumu, inasemekana hata sheria za offside hazikuwepo, na kwa upande wa w/cup hunishawishi nimkubali eti kwa sababu ana w/cup, kwani ajabu yake nini!! Hata giroud analo, gaucho analo, iniesta analo, de lima analo, zidane na benzema wanayo, so hawa wote wamewazidi Maradona na Messi!!
 
Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:

1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3. Diego Maradona
4. Christiano Ronaldo
5. Franz Beckenbauer
6. Johan Cruyff
7. Zinedine Zidane
8. Ronaldo De Lima
9. Ronaldinho Gaucho
10. Michael Platin
Jay Jay Okocha?
 
Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:

1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3. Diego Maradona
4. Christiano Ronaldo
5. Franz Beckenbauer
6. Johan Cruyff
7. Zinedine Zidane
8. Ronaldo De Lima
9. Ronaldinho Gaucho
10. Michael Platin
NO EUSEBIO
NO MULLER
NO BOB CHARLTON
NO BUFFON
NO ROMARIO
NO ETC

HEBU CHIMVUA CHIMBUA KWANZA KUBUKUMBU. KUNA MADUDE UMEYAACHA HUKO.
 
Ngazi ya club pele alifanya nn , nikumbushe tuu mkuu
Ana magoli mengi pale Santos fc Brazil kuliko kiumbe yeyote pia aliisaidia Club kutwa mataji kibao.
Pia Pele hakucheza Ulaya alicheza kwao tu
 
Kwa sheria za sasa na hata enzi za maradona, kufikisha hayo magoli ni mbinde, huyo pele alizungukwa na wachezaji wazuri na pia sheria nyingi hazikuwepo wakati huo ndio maana alikua anajifungia tu,

Mpaka sasa bado cjaona aliewafikia japo nusu yao tu hawa,(Messi and Diego) dribbling, skills n.k n.k, wanaufanya mpira uonekane mwepesi, hawa ndio wamenifanya niupende mpira zaidi na zaidi. So, kwangu mimi hakuna kama (Messi na Maradona)
kweli kabisa pele alizungukwa na wachezaji wazuri sio kama messi ambaye barca alizungukwa na vilaza kama Puyol,D.Alves,Pique, Ronaldinho, Xavi ,Iniesta, Henry, Etoo, Ibrahimovic, Neymar,Fabrigas, Suarez ,Sanchez, na David villa huku argentina akiwa na mazezeta kama Mascherano, Aguero, Icardi, Di Maria, Dyabala na Tevez.
 
Back
Top Bottom