Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo anachenga aina moja tu,kama anapiga anafinya kulia au kushoto baasi.Mbona claotus chama hayupo hapo mkuu
Bila Juma Nyosso list haijakamilika.Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:
1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3. Diego Maradona
4. Christiano Ronaldo
5. Franz Beckenbauer
6. Johan Cruyff
7. Zinedine Zidane
8. Ronaldo De Lima
9. Ronaldinho Gaucho
10. Michael Platin
Hahahahakweli kabisa pele alizungukwa na wachezaji wazuri sio kama messi ambaye barca alizungukwa na vilaza kama Puyol,D.Alves,Pique, Ronaldinho, Xavi ,Iniesta, Henry, Etoo, Ibrahimovic, Neymar,Fabrigas, Suarez ,Sanchez, na David villa huku argentina akiwa na mazezeta kama Mascherano, Aguero, Icardi, Di Maria, Dyabala na Tevez.
Messi kawapiga ngumi kali sana.. je tumtoe Cristiano Ronaldo sasa?Kama mchezaji hana kombe la dunia mtoe hapo
Am sign out
Atamtoa nani hapo wakati hata world cup wala ballon d'or hana?Roger Miller mbona hayupo?