Kumi bora ya wacheza mpira wa miguu kuwahi kutokea hapa duniani mpaka sasa

Bahati mbaya mwanzisha nyuzi hii anataka kubishana na dunia,zaidi ya miaka 60 hajatokea mwanadamu anayejua hii kitu inaitwa futbol-dunia nzima ilikubali na inakubali ni Pele alafu Maradona,kumbuka kizazi hicho hakikuwa na jamiiforum,Facebook,Twitter, Instagram wala Tik
 
Bila Juma Nyosso list haijakamilika.
 
Hahahaha
 
Ili ueleweke ungeweka na hayo mafanikio ya kila mmoja, maana uko too general unavyosema umeangalia mafanikio binafsi hayo mafanikio binafsi ni katika category zipi?? Goals?? Assists?? Dribbles?? Sasa utuwekee hapa kila kigezo na namba za kila mchezaji uliyemshindanisha then ndo uje na conclusion maana kusema tu Messi au Pele au Ronaldo ni wa Kwanza bila kuweka ushahidi inakuwa ni nadharia tu na kila mtu ataanza kuvutia upande wake

Mfano
Assists Messi 200 Ronaldo 100 Pele 120
Dribbles Messi 1700 Ronaldo 1400 Pele 1300
Goals......................
Balloon d or..............
Puskas awards.................
UEFA trophies................
UEFA goals...................
League goals................
Most golden boots.......

Nadhan hizo ni baadhi ya vigezo unavyoweza kutumia kwenye mafanikio binafsi sasa ungetuwekea ya Kila mchezaji vinginevyo inakuwa ni kelele za ushabiki tu

Ufanye hivyo pia na kwenye national team Ila kuongea tu Kwa maneno bila kutuwekea evidences inakuwa haina mashiko, imagine mtu ambaye Hana interests na mpira bila kuweka data atakuelewa vipi?? Wataalamu wanasemaga "Numbers don't lie"
 
Mnapo jadili wachezaji bora duniani naombeni msiwe mnamuweka Pele kwani yule hakuna mchezaji wa kawaida alikuwa ni "mchawi wa kabumbu duniani."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…