Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wanaoimba maujinga,matusi na kusifu upompompo jumlisha na mashabiki wao wanaowatetea wafanywe nini?Jino kwa jino,mumo kwa pale!Exactly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaoimba maujinga,matusi na kusifu upompompo jumlisha na mashabiki wao wanaowatetea wafanywe nini?Jino kwa jino,mumo kwa pale!Exactly.
Hao wahuni wanaoimba matusi na kuharibu vijana wakamatwe na kuwekwa kizuizini.Hii chuki dhidi ya waliofanikiwa inabidi itunguwe Sheria yake iwe kosa la jinai
Nalikumbuka hilo jina.Wagosibwa kaya wana nyimbo inaitwa BAO unaifahamu mkuu😄😄😁
Roma yupo poa japo sijaona kama ataweza kumtoa yoyote pale juu.Sijamuona mkatoliki...listi yako batili
Hizo ulizotaja hapo ndio sifa za hawa wabana pua wa siku hizi wanaoimba nyimbo chafu.Umejaza waimba upupu kibao waliondekeza nyimbo za kujisifia kufanya starehe,kuvuta bangi,kusifia ngono na ulevi.In short umeorodhesha waimba Bongo Flavor zilipendwa na hakuna kingine.
Atamtoa nani hapo?Nikki mbishi hayupo? Pole
Hujamuona hapo??Wapi juma nature, SIR NECHA, MSITU WA VINA
Aahh.. Uzee tena huu.Hujamuona hapo??
KabisaHuyo ataingia class ya hao wakongwe?
Hana nyimbo zenye mafunzo.Zinawafaa vijana mnaopenda kucheza huku mmelewa wanzuki.Mkielezwa ukweli akili zenu zinawaongoza kwamba mnachukiwa.Uimbe mambo yasiyoeleweka na matusi ndani usiambiwe?Kwa nini asisemwe Prof J,Sele,Jide au wengine?
Na uzi unasema "asilia"!Roma yupo poa japo sijaona kama ataweza kumtoa yoyote pale juu.
Bushoke??Yule mfupi alietoroshewa mpenzi wake.
Nadhani si huyo.Bizman.Bushoke??
Bila shaka unamkusudia John Walker.Mandojo & Domokaya
Yule mlevi sijui anaitwa nani
Wimbo wa vijana wa ovyo ule, ila shimnbo zao zingine kama Wauguzi, Gahawa ziko poa sanaWagosibwa kaya wana nyimbo inaitwa BAO unaifahamu mkuu😄😄😁