Kumi bora ya waimbaji asilia wa muziki wa bongo fleva kuwahi kutokea Tanzania

Kumi bora ya waimbaji asilia wa muziki wa bongo fleva kuwahi kutokea Tanzania

Umejaza waimba upupu kibao waliondekeza nyimbo za kujisifia kufanya starehe,kuvuta bangi,kusifia ngono na ulevi.In short umeorodhesha waimba Bongo Flavor zilipendwa na hakuna kingine.
Ah ok na waimbaji wenu sahv
Kutwa wako na mchk ambao ndy wabunifu wao

Ova
 
Hao wahuni wanaoimba matusi na kuharibu vijana wakamatwe na kuwekwa kizuizini.
1. Lala salama
2. Binadamu
3. Nitarejea
4. Mabomu ya mbagala
5. Je utanipenda

Mna masikio ila mnajifanya viziwi hizi nyimbo zina ujumbe mzito sana kwenye Jamii.
 
1. Lala salama
2. Binadamu
3. Nitarejea
4. Mabomu ya mbagala
5. Je utanipenda

Mna masikio ila mnajifanya viziwi hizi nyimbo zina ujumbe mzito sana kwenye Jamii.
Zenye ujumbe zinahesabika kwa tabu sana. Nyingi ni uharibifu mtupu.
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Muziki wenye ujumbe maridhawa
2. Nyimbo zenye uhalisia wa maisha ya Tanzania
3. Mashairi yanayochochea fikra za kimapinduzi
4. Ubora wa kazi zenyewe
5. Muziki unaoishi beyond maisha ya waimbaji

1. Profesa J
2. Dully Sykes
3. AY
4. Mwana FA
5. Lady Jaydee
6. TID
7. Fid Q
8. Afande Sele
9. Mr II
10. Juma Nature

Malejendari ambao wanastahili mention ingawa hawakuingia:

Ray C, Jay Moe, Inspector Haroun, Mike Tee, Mr Nice, Mr Ebbo, Dudu Baya, Mangwea, GK, Soggy, Chidi, Joh Makini, Feruzi, Banana Zorro, Bushoke, Mandojo & Domokaya, Wagosi wa Kaya, Solo Thang, Mr Blue, MB Dog, Roma Mkatoliki, Mrisho Mpoto
Hamonaiza
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Muziki wenye ujumbe maridhawa
2. Nyimbo zenye uhalisia wa maisha ya Tanzania
3. Mashairi yanayochochea fikra za kimapinduzi
4. Ubora wa kazi zenyewe
5. Muziki unaoishi beyond maisha ya waimbaji

1. Profesa J
2. Dully Sykes
3. AY
4. Mwana FA
5. Lady Jaydee
6. TID
7. Fid Q
8. Afande Sele
9. Mr II
10. Juma Nature

Malejendari ambao wanastahili mention ingawa hawakuingia:

Ray C, Jay Moe, Inspector Haroun, Mike Tee, Mr Nice, Mr Ebbo, Dudu Baya, Mangwea, GK, Soggy, Chidi, Joh Makini, Feruzi, Banana Zorro, Bushoke, Mandojo & Domokaya, Wagosi wa Kaya, Solo Thang, Mr Blue, MB Dog, Roma Mkatoliki, Mrisho Mpoto
20% alikufanyia kibaya gan ndugu!
 
Back
Top Bottom