Kumi bora ya waimbaji asilia wa muziki wa bongo fleva kuwahi kutokea Tanzania

Hana nyimbo zenye mafunzo.Zinawafaa vijana mnaopenda kucheza huku mmelewa wanzuki.Mkielezwa ukweli akili zenu zinawaongoza kwamba mnachukiwa.Uimbe mambo yasiyoeleweka na matusi ndani usiambiwe?Kwa nini asisemwe Prof J,Sele,Jide au wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…