Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Wengi tu...kina AY, Mwana FA, Dully sykes, Tundaman na Huyo sijui mr II ndo kwanza namsikia...wote hawamkaribii hata nusu mkatolikiRoma yupo poa japo sijaona kama ataweza kumtoa yoyote pale juu.
Labda umeanza kufuatilia mziki 2014 ndio maana unasema hivyo.Wengi tu...kina AY, Mwana FA, Dully sykes, Tundaman na Huyo sijui mr II ndo kwanza namsikia...wote hawamkaribii hata nusu mkatoliki
Ah ok na waimbaji wenu sahvUmejaza waimba upupu kibao waliondekeza nyimbo za kujisifia kufanya starehe,kuvuta bangi,kusifia ngono na ulevi.In short umeorodhesha waimba Bongo Flavor zilipendwa na hakuna kingine.
Huoni sahv ushog unaongezekaHao wahuni wanaoimba matusi na kuharibu vijana wakamatwe na kuwekwa kizuizini.
Sawa Ana heatKama mondi hayupo huo utafiti ni batili
Ndio nilikuwa namwambia jamaa wakamatwe badala ya kuingia hapa kwenye list.Huoni sahv ushog unaongezeka
Ova
Huyu alisahaulika tu, namuongezea pale.Mrisho Mpoto simuoni au ni Muigizaji yule?
Labda kama unaangalia ukongwe sio hivyo vigezo ulivyoweka hapo juuLabda umeanza kufuatilia mziki 2014 ndio maana unasema hivyo.
1. Lala salamaHao wahuni wanaoimba matusi na kuharibu vijana wakamatwe na kuwekwa kizuizini.
Zenye ujumbe zinahesabika kwa tabu sana. Nyingi ni uharibifu mtupu.1. Lala salama
2. Binadamu
3. Nitarejea
4. Mabomu ya mbagala
5. Je utanipenda
Mna masikio ila mnajifanya viziwi hizi nyimbo zina ujumbe mzito sana kwenye Jamii.
Ule nyimbo ni wa hovyo kabsa 🤣😁Wimbo wa vijana wa ovyo ule, ila shimnbo zao zingine kama Wauguzi, Gahawa ziko poa sana
HamonaizaVigezo vilivyotumika:
1. Muziki wenye ujumbe maridhawa
2. Nyimbo zenye uhalisia wa maisha ya Tanzania
3. Mashairi yanayochochea fikra za kimapinduzi
4. Ubora wa kazi zenyewe
5. Muziki unaoishi beyond maisha ya waimbaji
1. Profesa J
2. Dully Sykes
3. AY
4. Mwana FA
5. Lady Jaydee
6. TID
7. Fid Q
8. Afande Sele
9. Mr II
10. Juma Nature
Malejendari ambao wanastahili mention ingawa hawakuingia:
Ray C, Jay Moe, Inspector Haroun, Mike Tee, Mr Nice, Mr Ebbo, Dudu Baya, Mangwea, GK, Soggy, Chidi, Joh Makini, Feruzi, Banana Zorro, Bushoke, Mandojo & Domokaya, Wagosi wa Kaya, Solo Thang, Mr Blue, MB Dog, Roma Mkatoliki, Mrisho Mpoto
Huyo ataingia kwa wahamasishaji wa ngono na ushoga.Kama mondi hayupo huo utafiti ni batili
Kweli pale walizingua ila nyingi ni nzuri.Wimbo wa vijana wa ovyo ule, ila shimnbo zao zingine kama Wauguzi, Gahawa ziko poa sana
Hawa wanaharibu vijana wadogo wanastahili kupingwa kwa nguvu zote.Hamonaiza
Kuh kuh kuh...jeeeshy...Hawa wanaharibu vijana wadogo wanastahili kupingwa kwa nguvu zote.
20% alikufanyia kibaya gan ndugu!Vigezo vilivyotumika:
1. Muziki wenye ujumbe maridhawa
2. Nyimbo zenye uhalisia wa maisha ya Tanzania
3. Mashairi yanayochochea fikra za kimapinduzi
4. Ubora wa kazi zenyewe
5. Muziki unaoishi beyond maisha ya waimbaji
1. Profesa J
2. Dully Sykes
3. AY
4. Mwana FA
5. Lady Jaydee
6. TID
7. Fid Q
8. Afande Sele
9. Mr II
10. Juma Nature
Malejendari ambao wanastahili mention ingawa hawakuingia:
Ray C, Jay Moe, Inspector Haroun, Mike Tee, Mr Nice, Mr Ebbo, Dudu Baya, Mangwea, GK, Soggy, Chidi, Joh Makini, Feruzi, Banana Zorro, Bushoke, Mandojo & Domokaya, Wagosi wa Kaya, Solo Thang, Mr Blue, MB Dog, Roma Mkatoliki, Mrisho Mpoto
Alisahaulika bahati mbaya.20% alikufanyia kibaya gan ndugu!