Kumiliki gari ni matatizo matupu

Kumiliki gari ni matatizo matupu

Nunua gari lenye hali nzuri, utakaa 4...6yrs bila usumbufu wa kijinga, them uza nunua lingine maisha yanaenda.

Sasa tunaopiga mihuri kwenda kazini na kurudi mnatushauri vipi wakuu. Daladala zinachosha sana mjue.
At least nunua pikipiki aisee utafurahia japo inachangamoto zake Ila magari noma
 
Ukitaka mademu..mbona simpo tu unapanda daladala hata siku tatu unakusanya namba kisha unaanza kuwazungukia na kigari chako.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hadi sasa kwenye uzi wako sijaona matatizo ya kumiliki gari ila naona matatizo ya umaskin ndo maana unalalamikia hadi mafuta sasa gari unataka itembee bila mafuta au service?

Mimi sina gari japo naamini kulinunua ninaweza nikijichanga ila kulihudumia sitaweza ndo maana sihitaji kwa sasa, sisi maskini wengi tukipata hela kidogo huwa tunawaza tu kununua gari ila hatuwazi Kama tunaweza kulihudumia na hapo ndo tatizo lilipo Hadi tunaaminishana gari ni tatizo lakin si kweli.
Sasa kumbe hata gari hauna ....! Sasa hapa nitakupruvu vipi bro
 
Sahii kabisa, uyu kipato chake hakiruhusu asitafute excuse TU[emoji4]
Narudia Tena Kama unagari lenye thamani ya chini ya 20milion wewe hupati Raha na Hilo gari zaidi ya presha na upweke
 
Ukitaka kuona umuhimu wa gari mvua iwe inanyesha dsm


NB: Kwasasa gari ni hitaji muhimu sana kama unauwezo na si anasa tena kama akili za wengi zilivyo
 
Ukinunua gari mbovu ndiyo utakutana na stress...

Ila hilo la kujitenga na jamii kuna asilimia za ukweli...
Cycle yako ya marafiki inakua ndogo sana...
Hapo ndio huwa nawashangaa vijana wa humu wanavyo ambizana wanunue magari ili wachakate mbususu ...hawajui machungu ya kumiliki gari
 
Aisee wewe hutakiwi kumiliki chochote..

Kumiliki kazi ni stress.. Inabidi uamke mapema uwahi kazini..!
Kumiliki simu ni stress.. Inabidi umake sure ina charge na data ya kuja kupost JamiiForums..!
Kumiliki familia ni stress.. Inabidi uitunze..!
Kumiliki nyumba ni stress.. Inabidi ulipie kodi ya majengo..!
Kumiliki passport ni stress.. Inabidi kila baada ya muda fulani kuilipia upya..!

Hiyo ndio logic yako..!
Kuna siku utanielewa huenda ndio umetoka yard saizi.
 
Kama wengi mlivyo mezeshana na kukaririshana kuwa ukiwa na gari Basi mambo Safi.

Uzi huu utaenda na kinyume na hizo fikra.

1: Watu mmekaririshana kwamba ukiwa na gari Basi mambo yote yameisha Kama maisha ndio umesha yapatia. Lakini kiuhalisia hakuna kitu chenye stress Kama gari. Kama unasafari utapendelea kusafiri na usafiri wako binafsi ila kiukweli ni matatizo tu kwanza gharama za mafuta pili ukikutwa na break down ni matatizo tu ni tofauti na ukija kuchukua usafiri wa umma ukikata tiketi ya high class mambo yanakua poa Sana.

Pia ukija kuangalia kwa mizunguko ya mijini kwa usafiri wako binafsi sioni Kama unaenjoy maana muda wote utakua unawaza wazee wa wrong parking , utakuta unataka uende office fulani Ila ukikumbuka pale hamna parking unalazimika kuacha gari sehemu nyingine ili uende sehem nyingine na ukilicha muda wote unahofu ya kuibiwa , pia ukiwa na gari unakuwa umesha jiwekea mipaka yaani upo ndani ya zizi hapa hata kutanua wigo wa marafiki inakua ngumu zaidi utaishia kuwa na watu wale wale wa miaka yote.

Japo kuwa Sina uzoefu na wale wenye maisha high class ambao kutumia milioni kwa siku ni Jambo la kawaida kwao Ila Kama wewe niwalee ambao mikokoteni yetu haizidi milioni 20 hapa tulia tu hakuna Bata tunalo kula na haya magari zaidi ya stress na upweke tu.

2: Wanadai ukiwa na gari Basi utachakata mbususu Tani yako hii pointi ni uongo mkubwa na ulio tukuka....ukiwa na gari tayari unakua upo kwenye kwenye zizi hapa hao mademu utakutana nao wapi Kama kwenye usafiri wa Uma haupo yaani wewe kila sehemu unayoenda tayari umesha jipiga Pini na kuhusu kuzoa watu njiani ndio hofu kubwa Sana cos muda wote unakuwa na hofu ya kutekwa tekwa na kuibiwa. Sasa hao mademu utawapata vipi.....? Labda kurudi na mabaamedi nyumbani baada ya tungi.

Kifupi ukiwa na gari moja kwa moja unakua umejitenga na jamii na ukisha jitenga hata mademu utakua mbali nao labda uanze kuwazungukia wale wanao kufahamu way back ila kupata wapya utakua kwenye wakati mgumu Sana cos kwa uzoefu wangu mademu wengi wanapatikana asubuhi wanavyo enda makazini na kurudi majumbani na wengi wanatumia usafili wa Uma...Sasa wewe utawaokota wepi hapa zaidi ya kuwinda mabekitatu na wadangaji [emoji16][emoji16][emoji16] so ukiwa na gari kula Mbususu zinazo jitambua sahau mzee.

Kwa hizo hoja mbili naamini usafiri binafsi ni matatizo tu ...sijui kwa nyie wenzangu labda mnamawazo mengine.

NB
Mtakao kuja na hoja ya tafuta pesa mje mniaambie nitafute kiasi gani.
Kwa akili hizi ni dhahiri una msongo wa mawazo ,na hauna hela ya kununua gari ila unakimbilia defency mechanism ,gari kwa sasa ni hitaji la msingi sana ,kwa akili km zako unaweza usione umuhimu wengine gari linatusaidia kupeleka wazazi wetu cliniki ya dialysis kila week ,inatusaidia kujikwamua kiuchumi ushaurinwangu unapovuta Bangi jitahidi uwe unatoa mbegu

sent from HUAWEI
 
At least nunua pikipiki aisee utafurahia japo inachangamoto zake Ila magari noma
Nunua chombo ambacho una uwezo nacho, iwe pikipiki au gari...wewe nunua unachoweza kugharamia. Kama una uwezo wa IST kwa nini ununue Kluger? Lazima utaumia...
 
Kwa akili hizi ni dhahiri una msongo wa mawazo ,na hauna hela ya kununua gari ila unakimbilia defency mechanism ,gari kwa sasa ni hitaji la msingi sana ,kwa akili km zako unaweza usione umuhimu wengine gari linatusaidia kupeleka wazazi wetu cliniki ya dialysis kila week ,inatusaidia kujikwamua kiuchumi ushaurinwangu unapovuta Bangi jitahidi uwe unatoa mbegu

sent from HUAWEI
Hata Mimi ushauri wangu kwako sio kila familia inamgonjwa wa dizaini hizo.

Alafu sio kila familia ni wavivu na mabonge nyanya Kama yenu watu milenda milenda.

Wengine miili yetu ni ya mazoezi na imara kutokana na familia tulizo tokea.

Mimi ni yule mwamba ambae ukiweka mahindi ya kuchemshwa na piza nitakimbilia mahindi. Au ukiweka glass ya Hennessy na kopo la maji nitakimbilia kopo la maji.

Na ukiweka safari ya ndani ya nusu saa option ikiwa ni kwa mguu ama gari Basi nitafanya kwa mguu.

Halafu ili waseme unagari unatakiwa uwe na magari mangapi......?
 
Hadi sasa kwenye uzi wako sijaona matatizo ya kumiliki gari ila naona matatizo ya umaskin ndo maana unalalamikia hadi mafuta sasa gari unataka itembee bila mafuta au service?

Mimi sina gari japo naamini kulinunua ninaweza nikijichanga ila kulihudumia sitaweza ndo maana sihitaji kwa sasa, sisi maskini wengi tukipata hela kidogo huwa tunawaza tu kununua gari ila hatuwazi Kama tunaweza kulihudumia na hapo ndo tatizo lilipo Hadi tunaaminishana gari ni tatizo lakin si kweli.
Ukiona aina ya coment zenye likes nyingi kwenye huu uzi utagundua hali ya uchumi wa watanzania wengi ni mbaya sana
 
Magar yanakera ma.maee
Eti gari la kukubeba wewe tu na kujisukuma lenyew mara linachemsha mara sjui linakuwa zito ma.maee

Unalitengeneza kwa gharama,hata mwez halimaliz linazingua tena mpaka mke anaanza kuuliza,vp baba hili gari si umetoa hela nying tu mwez uliopita na ukasema sahv limepona kulikon tena.

Familia unaibadilishia msosi wanaanza kula chakula cha kawaida,gari linaharibu bajet ya msosi mpaka watoto wanaanza kususa msosi

Ili majiran wasijue una miliki mkweche,likizingua unaamua kuwa unalivuta asubuh na mapema usiku usiku unalipeleka gereji

Hakika gari usinunue kama una hela za mawazo,ni hv kama kipato chako kipo chini ya mil 1 kwa mwez usinunue gari
Duh nimecheka
 
Back
Top Bottom