Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hili suala la kutaka binadamu awe ameumbwa, Halafu mkiulizwa huyo Mungu kaumbwa na nani hamjui. Ni swali lisilokuwa na mantiki.Kwahyo mwanangu wewe ulijiumba siyo mkuu
Nimeshangaa sana hii,sadly enough bado jamaa akaendelea kumpa sikio. Huyo alistahili mibao tufundi anafahamu siri za utajiri za matajiri ila ajatoboa mpaka leo, atakwambia hana tamaa ni uwongo hafahamu chochote kile
Hili suala la kutaka binadamu awe ameumbwa, Halafu mkiulizwa huyo Mungu kaumbwa na nani hamjui. Ni swali lisilokuwa na mantiki.
Binadamu hawaumbwi na wala hatukuumbwa.
Binadamu Wanazaliwa.
sehemu "moja wapo"! kati.Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali
Sawa mwalimu wa Kiswahili toka shule ya msingi UFALAsehemu "moja wapo"! kati.
Mojawapo ndicho kiswahili sahihi.
Uchawi toa hiyo ni sababu ya watu wajinga jinga
Unitaftie huyo muuza keki anayemiliki nyumba ya milion 200 na kuendelea
Umenikumbusha bhna kuna kipind Pepsi na coca cola kulikuwa na mnyukano sana hadi ikafikia hatua ya opponent kuingiza sababu ya kiafya kwamba ukitumia soda fulani kuna ya kiafya unaweza kuyaPata, mara ishu za mende kwenye soda ofcoz it was a tough game mzeeKila kitu ni mchakato mkuu, ushindani upo Kila pahala na kwenye ushindani huu wa kwenye biashara wote tunapambania kitu kimoja kwa maana ya fedha, na kwenye mapambano Kila mtu anapambana kwa kutumia silaha yake anayoijua yeye.
Na kwenye vita hivi ni wewe mwenyewe kuamua tu, ya kwamba uingie front upigane live live bila chenga, au ujifiche sehemu uwe unapigana kwa kuvizia au ukae tu ubaki kuwa mpenzi mtazaji kwa wale wapambanaji.
Kwahiyo uwezo wa kupata hiyo million mia kwenye viazi upo kwa maana kwanza viazi ni kitu kinachoigusa jamii yote kwahiyo kinacho huo ukubwa na si kitu ambacho kinahitaji nguvu kubwa kwenye kufanya scaling.
But haiwezi kuwa rahisi kama nnavyoandika hapa coz vita zipo kwa maana ndani yake unakutana na watu ambao wanafanya hiyo biz na wengi hawapendi kuingiliwa kwenye biashara kwahiyo watafanya juu chini kukuzuia (ukiritimba) but ukishajua uko na maadui lazima utajua namna ya kujilinda na kuchanga karata zako vizuri ili uweze kuwabonda😅.
All in all haupaswi kuwa serious sana na hivi vitu ila fanya kama unacheza game then enjoy the process.
Sasa mauzo ni 20 Twende kwny mchanganuo wa kulipa rent, wafanyakazi, na zile leseni, usafiri, umeme na everthing Je take home inabaki shingapiAlexander cake anatengeneza zaidi ya milioni 20 kila mwezi kwa kuuza cake za events tu
Acha ujuaji kijana, elimu sahihi huanzia shule ya chekechea.Sawa mwalimu wa Kiswahili toka shule ya msingi UFALA
Hujamuelewa labda.Kuna mtu kasema huwezi spend 2000$ per day
Kuna watu wa madini piaWachungaji matapeli umewasahau
Nashukuru mkuu🙏sehemu "moja wapo"! kati.
Mojawapo ndicho kiswahili sahihi.
Wewe una akili sana.
Ukiona mtu analeta sababu za Uchawi kwenye jambo lolote jua ni mpumbavu
Acha ujuaji kijana, elimu sahihi huanzia shule ya chekechea.
Pesa za kuspend 5M per day,unazungumzia $2000/day?,Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali
Nchi ya mafisadi ni ngumu kufanikiwa bila kujipendekeza kwa watawala. Ndio maana hata Mo alivyo takwa mpaka leo hajasema walio mteka wala kuelezea walicho mfanyia. Pamoja mabela yake yote huwezi kumsikia akikosowa serikali ya ccm.Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali
Sasa angalau hizo ambazo zinaonekana unao uwezo wa kukabiliana nazo ila usiombe ukutane na vita za kiroho, hautoboi😂😂😂.Umenikumbusha bhna kuna kipind Pepsi na coca cola kulikuwa na mnyukano sana hadi ikafikia hatua ya opponent kuingiza sababu ya kiafya kwamba ukitumia soda fulani kuna ya kiafya unaweza kuyaPata, mara ishu za mende kwenye soda ofcoz it was a tough game mzee
Kuna Ata hii ya mtu ana Anzisha media anaenda anaiba wafanyakazi kwa mwenzie