Uchaguzi 2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

Bashite keshajichagulia wizara za kupewa endapo ataukosa unaibu spika 1-waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora 2- waziri wa mambo ya ndani 3-waziri wa Ulinzi hataki wizara isiyo na chombo cha Dola anataka awe juu ya vyombo vya dola, akikosa hizo wizara nyeti angalau apewe wizara zenye Ulaji kama wizara ya madini

Utalii, viwanda, ujenzi, kule wizara ya fedha anajua hawezi kupewa yupo mzee Mpango mpaka mwaka 2026 huko wizara ya michezo akipewa atapokea uteuzi tu lakini chaguo lake binafsi kwa mujibu wa mshauri na msiri wake Le mutuz ni hizo wizara.
 


Unazifahamu mali zake Mkuu?
Au umesikia maneno ya kuambiwa?
 
Kama mtu anajipendekeza kwako kwa nini usimpendelee?
Mtu anatukanwa kwa kazi uliyompa kwa nini usimlinde?
Mtu ananidhamu ya kazi uliyompa bado usimbebe?
Labda Kama amekutuma, Ila Bashite Hana hizo sifa unazompa ....yote aliyoyafanya alifanya kwaajili ya tumbo lake . Magufuli Ni mzalendo naweza hata kubishana na mtu hadhari lakini kwa makonda nashangaa hata ujasiri unautoa wapi!
 
Sasa namba ya simu ya nini? Hebu tueleze unategemea nini kuweka namba ya simu.

Unafikiri nimeanza kuandika leo hivyo?
Kama ni mara yako ya kwanza kusoma maandiko yangu unahaki ya kuuliza swali hilo, lakini kama ni mzoefu utakuwa mtu wa ajabu sana
 
Wakifuata ushauri wako CCM watalipoteza jimbo la Kigamboni asubuhi kweupe.Makonda ni kijana mzuri lakini alikuwa bado anahitaji kujifunza kwanza

Makonda ajifunze lipi tena ikiwa kuna vijana wamechukua majimbo wakiwa chini ya miaka 25.
 
Sikubaliani na makonda katika mambo mengi nina admire ujasiri wake. Akiweza kuuchannel katika positive na kupunguza kiki, anaweza kuja kuwa kiongoz bora kwa taifa hapo mbeleni.
 
Unazifahamu mali zake Mkuu?
Au umesikia maneno ya kuambiwa?
Nilijua tu utawahi hapo, Mali Ni kweli anazo nyingi Sana hata yeye mwenyewe akiongea tu amekua akijitanabaisha ,na mbona husemi Mambo ya kupitisha fenicha bila Kodi? Yupo na makando kando mengi kuliko kazi alizofanya!
 
Wakala wa makonda unaongea nin
 
Sikubaliani na makonda katika mambo mengi nina admire ujasiri wake. Akiweza kuuchannel katika positive na kupunguza kiki, anaweza kuja kuwa kiongoz bora kwa taifa hapo mbeleni.
Sio kwa makonda, labda tuko na macho tofauti ya kutizama Hawa viongozi. Makonda sio mtu muadilifu hata kidogo na ukikosa uadilifu huna sifa ya kua kiongozi labda wa family yako.
 
Labda Kama amekutuma, Ila Bashite Hana hizo sifa unazompa ....yote aliyoyafanya alifanya kwaajili ya tumbo lake . Magufuli Ni mzalendo naweza hata kubishana na mtu hadhari lakini kwa makonda nashangaa hata ujasiri unautoa wapi!

Mimi nimeeleza kwa uchache walau aliyoyafanya, kama hayo hayatoshi kuitwa mzalendo, basi nieleze ni yapi yamfaayo mtu kuyafanya ili aitwe mzalendo kwa nafasi kama ya ukuu wa Mkoa?

Ndio maana nikasema kwa hapa Tz, wakuu wa mikoa waliofanya vizuri Makonda yupo Top 3. kisiasa anashikilia nafasi ya kwanza
 
Unamaanisha chama la wana lisifate taratibu zake za kupata mgombea na apewe konda boy?
 
hakuna mwenye uwezo wa kumkata Makonda huko CCM, sio tu Makonda hata Mnyeti pia hakuna mwenye uwezo wa kumkata..

Makonda ndie mgombea ubunge jimbo la Kigamboni hilo halina ubishi na hayupo wakumkata..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…