Uchaguzi 2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

Wakazi wa Kigamboni woooooote twamtaka Mh. Makonda, sasa watamkataje kwa mfano.
 
M akala hii inazidi kumweka pabaya ...wanaweza wakamkata kweli...
 

Great thinker hizi ni tuhuma nzito sana, zina ukweli wowote uliothibitika?
 
Duuuhhh umejitahidi kumpamba
 
Wewe unachuki binafsi na Makonda. Wewe una roho mbaya kama Idi Amini na kichwa chako kimejaa minyooo.
Changudoa wa malunde minyoo nipo tumboni mwako nimekutia njaa sasa changu unafanya uchangudoa huko malunde na gheto kwa Bashite ukimaliza kuvuta Bangi unaona wenye kukataa unyama unyanyasaji wa Bashite wana roho mbaya.
 
Mwambie Lissu afungue kesi na weye uwe shahidi wa haya usemayo.
 
Makala hii ni nzuri sana ila tatizo umeanza na kauli hasi. Hawezi kukatwa kwasababu ana sifa zooooote. Wanaokatwa hupungukiwa sifa.
 
Great thinker hizi ni tuhuma nzito sana, zina ukweli wowote uliothibitika?
Omba mungu Tundu lisu arejee salama hapo Tanzania atakupa taarifa zote za uchunguzi uliofanywa na CIA na FBI waliopo ubalozi wa marekani huko Dsm, ndiyo maana marekani wamempiga marufuku kukanyaga hapa
 
Mwambie Lissu afungue kesi na weye uwe shahidi wa haya usemayo.
Moja ya watu hawataki Tundu lisu arejee hapo Tanzania ni Bashite na cyprian Musiba kwani wana hofu ataongea ukweli juu ya tukio lake
 
Hofu Makonda kukatwa inatoka wapi?
 
Changudoa wa malunde minyoo nipo tumboni mwako nimekutia njaa sasa changu unafanya uchangudoa huko malunde na gheto kwa Bashite ukimaliza kuvuta Bangi unaona wenye kukataa unyama unyanyasaji wa Bashite wana roho mbaya.
Unyama gani? Mnasingizia watu kwa chuki binafsi tu. Hamna ushahidi wa kutosha.
 
Sasa huyu akichaguliwa kuwa waziri atasafirije kwenda kwa wafadhili wetu wa maendeleo wakati nchi zao zimemzuia asikanyage nchini mwao kwa sababu ana tabia ya kudhulumu uhai wa watu.
 
Uwezo upi? Ule wa kukatisha uhai wa Watu kama walivyodai Wamarekani?.
Uwezo ni pamoja na kutii msimamo wa Boss wako.
CIA FBI wanalo file lake lote hata mabaya aliyotenda gizani wanayo
 
Unyama gani? Mnasingizia watu kwa chuki binafsi tu. Hamna ushahidi wa kutosha.
Hivi ni kwanini wafadhili wetu wa maendeleo USAID, Marekani hawataki Bashite akanyage nchini mwao? Kama unadai ushaidi basi ndio huo na hajawahi kukanusha tuhuma hizo toka taifa kubwa kabisa duniani.
 
No. 3 Ustahimilivu????
Sijasahau mkasa wa Clouds....
 
Makala hii ni nzuri sana ila tatizo umeanza na kauli hasi. Hawezi kukatwa kwasababu ana sifa zooooote. Wanaokatwa hupungukiwa sifa.
Bashite atapitishwa kwani lengo kuu ni kumpe cheo kikubwa chenye kinga ya kutoshitakiwa ili utawala wao ukitoka madarakani asishitakiwe popote Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…