Kumkwamisha Rais Samia Suluhu ni kuikwamisha Tanzania

Wewe ni mpuuzi tu.
Leta hoja tupambane,achana na viroja.Ibua upuuzi wangu kama mimi nilivyoibua upuuzi wako hapo juu.

Huna uwezo wa kupambana kwa hoja na mimi.Mimi ninapocomment mahali nakuwa nimejipanga kwelikweli.
 
Hii Vita Ni ngumu kuliko kupambana na upinzani,kumbukeni sumu ya ndani ndo inayoua,poleni Sana wafiwa na wote mliobebwa na kudra kumbukeni tamati iko sebureni.
 
nimesoma paragraph ya kwanza nimeacha haina mashiko kuingiza habari za Rais Magufuli(jabali) wakati unataka kumpamba mama yako umekosea sana

na log out
 
Wanasemaga Rumors are carried by haters , Sidhani kama ni kweli,
 
Dawa ya hii Mama bila kuwatazama usoni awafute wote

Huwezi kuongoza kwa Staff iliyowekwa na mtangulizi wako never

Mama weka watu wapya wenye Dira na Mwelekeo wako otherwise hawa wataharibu huku wakijiondoa,

#Kaziiendelee
Kaziiendelee kwa wizi????
 
Wanasemaga Rumors are carried by haters , Sidhani kama ni kweli,
Ripoti ya CAG unaiita kuwa ni rumors?!Umechanganyikiwa?

Umeamua kujitoa ufahamu?Umeamua kutumia JF kama ulingo wako wa kufanya maonyesho ya ujinga wako?
 
Wewe unayesema "Hamtakubali kwa Gharama Yeyote" Ni nani na unawakilisha akina nani? tuwafahamu kwanza kabla hatujaanza kuchangia post yako.
 
Ripoti ya CAG unaiita kuwa ni rumors?!Umechanganyikiwa?

Umeamua kujitoa ufahamu?Umeamua kutumia JF kama ulingo wako wa kufanya maonyesho ya ujinga wako?
Zilitumika bila kuidhinishwa na bunge, Au sikumbuki vizuri ?
 
Nynyi kama kina nani hahaha ,somesheni watoto una sasa ujinga wa huyu dr msukuma
 
Dawa ya hii Mama bila kuwatazama usoni awafute wote

Huwezi kuongoza kwa Staff iliyowekwa na mtangulizi wako never

Mama weka watu wapya wenye Dira na Mwelekeo wako otherwise hawa wataharibu huku wakijiondoa,

#Kaziiendelee
huu sasa ndio ushauri mbaya kuliko yote nakwambia. Bora kaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…