Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Wewe ni mtu duni mno" Huna ujuacho kaa kimya!!
We ndiyo duni na dhaifu kuliko yeyote kifikra!!!
Likely wewe Ni jisukuma Fulani tokea Geita uliyenufaika na huo utawala wa kibabe!!
Jiulize: Baba wa Taifa Mwl. Nyerere(RIP) alipofariki 1999 na Mzee Benjamin Mkapa alipofariki mwaka Jana 2020 mbona hatusikii LAWAMA ZOZOTE isipokuwa Hayati Magufuli peke yake tu??
Je, unataka kutuambia Nyerere akiyepambana na Mkolone akatuletea Uhuru Watanganyika na nchi zingine za Afrika hana maana kuliko Magufuli?? Absurd!!
Je, Mzee Mkapa a.k.a Mr. Clean aliyeinua mapato kutoka 25B mpaka 800-900 Bilioni na kujenga barabara za lami kwa maelfu ya kilomita siyo Bora Kama Magufuli?
Wasukuma acheni ukasuku wa kukaririsha watu ati Magufuli alikuwa Mzalendo sana....nonsense!!
 
Wizi mtupu!!!!. Nchi alishaigawa vipandevipande. Wewe sijui unaishi wapi, inawezekana kanda ya ziwa au Dar. Humu nchini kuna maeneo unayoyaongea hawayajui, hali kwao imezidi kuwa mbaya, umeme umezidi kukatika,ujambazi umezidi. Kilichopungua ni kutangazwa kwa mambo mabaya kwa sababu vyombo vimezibwa midomo. Raha ya nchi kuendeshwa gizani. Watu wanafikiria wanayoyaona wao tu machoni, tembea ushangae anavyolaaniwa huyu ndugu yako na wastu wanavyofurahia kuondoka kwake
You're entitled to reach your own opinion.
 
Kanda ya ziwa haina nguvu kisiasa bali ina wigo mpana wa kuamua nani awe Rais wa nchi.
Hata hivyo pamoja na kuwa John anatoka Kanda ninayotoka mim, lkini binafsi nilimkataa na sikukubaliana na mambo yake.

Je Ujinga uliokuwa unafanywa na utawala wake haukuigusa Kanda ya ziwa?? Mfano TRA hawakuwasotesha namba wafanyabiashara walioko Kanda ya ziwa??

je kanda ya ziwa watu hawakutekwa na kuokotwa kwenye viroba??

John aendelee kulala panapomsitahili
 
We ndiyo duni na dhaifu kuliko yeyote kifikra!!!
Likely wewe Ni jisukuma Fulani tokea Geita uliyenufaika na huo utawala wa kibabe!!
Jiulize: Baba wa Taifa Mwl. Nyerere(RIP) alipofariki 1999 na Mzee Benjamin Mkapa alipofariki mwaka Jana 2020 mbona hatusikii LAWAMA ZOZOTE isipokuwa Hayati Magufuli peke yake tu??
Je, unataka kutuambia Nyerere akiyepambana na Mkolone akatuletea Uhuru Watanganyika na nchi zingine za Afrika hana maana kuliko Magufuli?? Absurd!!
Je, Mzee Mkapa a.k.a Mr. Clean aliyeinua mapato kutoka 25B mpaka 800-900 Bilioni na kujenga barabara za lami kwa maelfu ya kilomita siyo Bora Kama Magufuli?
Wasukuma acheni ukasuku wa kukaririsha watu ati Magufuli alikuwa Mzalendo sana....nonsense!!
Mkuu, hujui chochote tulia wewe, wewe Bado Sana!!
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Waache watu waseme yaliyo moyoni. Au hujui kuujaza moyo machungu Ni sumu kali? Ni kweli tulihitaji kiongozi anaesimamia rasilimali? Lakini sio kuziba midomo ya watu. Sio kupora uhuru wa raia kuchagua viongozi. Sio kuwaonea wenye mtazamo tofauti na wako. Hata watu katika familia moja hawakubaliani katika kila jambo. Lakini haiwafanyi washindwe kuishi pamoja. Kufanya kila mtu akuogope sio sifa nzuri. Matokeo yake ndiyo haya. Hata waliokuwa karibu naye hawaonekani kujua safari ilikuwa inaelekea wapi. Inaonekana ushauri/ maoni yao hayakuwa na nafasi. Hapakuwa na uwajibikaji wa pamoja ( collective responsibility). Vingine tusingeona mgeuko wa ghafla. Waache watoe gesi iliyojaa mapafuni. Ikiisha watatulia tutaendelea kuishi salama. Tanzania iko salama. Kila mmoja wetu ana kusudi katika kuishi kwake kwa kipindi chake. Hakuna mwanadamu anaefanya yote. Balikila mmoja hufanya sehemu yake, iwe ndogo au kubwa, kulingana na uwezo wake. Archimedes alikuwa kwa wakati wake, plato kwa wakati wake, socrates kwa wakati wake , wewe kwa wakati wako , mimikwa wakati wangu na yule kwa wakati wake. Mungu ibariki Tanzania.
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hwapoi alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Nadhani ndio nia moja wapo ya wanaofanya hivyo.Wanajua Wazukuma wakiichukia CCM,most likely CCM ita-loose sana kisiasa.Anyway let's hope CCM is doing something about this.
 
Waache watu waseme yaliyo moyoni. Au hujui kuujaza moyo machungu Ni sumu kali? Ni kweli tulihitaji kiongozi anaesimamia rasilimali? Lakini sio kuziba midomo ya watu. Sio kupora uhuru wa raia kuchagua viongozi. Sio kuwaonea wenye mtazamo tofauti na wako. Hata watu katika familia moja hawakubaliani katika kila jambo. Lakini haiwafanyi washindwe kuishi pamoja. Kufanya kila mtu akuogope sio sifa nzuri. Matokeo yake ndiyo haya. Hata waliokuwa karibu naye hawaonekani kujua safari ilikuwa inaelekea wapi. Inaonekana ushauri/ maoni yao hayakuwa na nafasi. Hapakuwa na uwajibikaji wa pamoja ( collective responsibility). Vingine tusingeona mgeuko wa ghafla. Waache watoe gesi iliyojaa mapafuni. Ikiisha watatulia tutaendelea kuishi salama. Tanzania iko salama. Kila mmoja wetu ana kusudi katika kuishi kwake kwa kipindi chake. Hakuna mwanadamu anaefanya yote. Balikila mmoja hufanya sehemu yake, iwe ndogo au kubwa, kulingana na uwezo wake. Archimedes alikuwa kwa wakati wake, plato kwa wakati wake, socrates kwa wakati wake , wewe kwa wakati wako , mimikwa wakati wangu na yule kwa wakati wake. Mungu ibariki Tanzania.
Congole brother!
Maneno kama haya unaweza kuyasikia kwa nadra sana toka kwa Wazalendo halisi kutokea moyoni kama weye!!!

Maneno kama haya usingetegemea kuyasikia yakitoka mdomoni mwa Marehemu Magufuli Mzalendo kwa maneno lakini Kivitendo ni dikteta aliyebobea!!
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Unauliza Ufida upo wapi tena ina maana ripoti ya CAG ujaisoma? Harafu acha kudanganya watu kanda ya ziwa ni kubwa mno unawajua kina Chenge? Wanyantuzu hawa wapo wengi sana walikuwa hawapatani ni shujaa wa Africa, labda Chato kipande cha Geita na Biharamlo.
 
Unauliza Ufida upo wapi tena ina maana ripoti ya CAG ujaisoma? Harafu acha kudanganya watu kanda ya ziwa ni kubwa mno unawajua kina Chenge? Wanyantuzu hawa wapo wengi sana walikuwa hawapatani ni shujaa wa Africa, labda Chato kipande cha Geita na Biharamlo.
Mwenye macho ya makengeza? Nashangaa akili zetu waafrika. Tunasujudu mafisadi na watu wasiokuwa na uzalendo kwa taifa lao.
 
Anaweza kuwa ameficha pesa nyingi tu lakini mimi na wewe hatujui ukweli wa hilo jambo. Lakini hata yeye hayati ana mazuri mengi tu aliyoyafanya. Huu nao ni ukweli pia
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka
Ameoza,funza waliomla kwenye macho,pua,gumbo,ulimi, wanaendelea kumeza, haja Bkumkumbuka
 
Back
Top Bottom