Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Kifupi kabisa bila kumung'unya maneno ni kuwa JPM ndiye aliligawa Taifa kwa itikadi za kivyama. Aliwaona wapinzani ni adui,wasaliti na wasiostahili mema ya nchi hii. Kinachoonekana sasa baada ya kifo chake ni mavuno ya chuki aliyoipandikiza mwenyewe.
 
Hayo ni maoni yako tu.

Na hao unaowaita Watanzania wajinga na wasio na uelewa nao wanaweza kukuona wewe u mjinga na uliye na uelewa wa chini.

Kujiona una akili haimaanishi kwamba una akili kweli.

Haupo vile ujidhaniavyo.
Utawala wa magu ulikuwa upo vizuri mno kwenye propaganda, hao unaosema walimpenda walikuwa ni victim wa propaganda zake

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Walio mpenda magufuli ni wale watanzania wajinga wajinga ambao uelewa wao upo chini sana na ndio maana walikuwa alipo kuwa anatukana watendaji wake wachini, na alipo kuwa anagawa vihela hovyo hovyo ili kutafuta cheep politics walikuwa wanamshangilia sana.

Lakini wenye akili wote wanao kuchuja mambo hawawezi kuungana na utawala wa magufuli pamoja na mambo yake alitumia sana ubabe kuliko maarifa.
Walikua wanapagawa sana na vihela vya uwizi...
IMG_20210409_174809.jpg
 
Ona huyu nae,Message was sent clearly wakati wa msiba wake! Huu ndiyo ukweli na hauwezi kuuficha. Kanda ya Ziwa especially Mwanza-Geita to Chato walituma message kwa Taifa hili. JPM atabaki kuwa shujaa wetu.
We mnyamwezi gani! Huna akili?

Siku zote kibaya chajitembeza kizuri chajiuza

Magufuli angekuwa kiongozi mzuri wala usingeskia kelele zote hizi unazoziskia.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Sizani kama Watz wana tabia ya kuwasema marehemu tena hadharani hasa kwa mambo mabaya.Hakuna aliye mkamilifu Ila kwa unafiki watz mnatisha sana.
 
Sema ninalia.
Tunalia ndio nini?
Basi na mimi ngoja nikuunganishe kwenye langu.
Hatulii na tunatamani angechimbiwa Kaburi kilometa moja.
Na ma vyeti yako feki akakutumbua lazima umchikie.
Kwani wewe hutokufa? Majambazi lazima mmchukie magufuli.bora yeye kazikwa je vip wewe unajua utafia wapi? Na utazikwa wapi?
 
Kila mtu ashinde mechi zake. Usinipangie wala usinifundishe kuhuzunika. Nyie mnaohuzunika endeleeni, na sisi tunaishangilia msiba tuacheni tufurahi.

Magufuli alikuwa kila wakati anasema "NIOMBEENI", baada ya hapo anaua watu, ana dhulumu, anasema uwongo na anaiba fedha za Watanzania. Watu kweli WAKAMUOMBEA afe na apotee. Ogopa sala za watu wengi waliodhulumiwa wakiomba kwa pamoja
 
mtu anayemsifia mwendazake atakua hajui kilichokua kinaendelea nchini. huyu kwa chuki zake bnafsi kapoteza wafanybiashara wakubwa, wasomi na wanasiasa wanaojitambua. aliharibu kila seem hata sehem ambazo hupaswi kuzichezea kwa sababu zinazobeba maisha ya watu moja kwa moja km kule mifuko ya jamii kaivuruga kwa kukwapua ela za wastaafu alafu anaua soo kwa kujifanya anaiunganisha mifuko yote na kuleta kikotoo kipya. ona sasa wazee wetu wanavohangaishwa. huyu alikuwa wa kumwongezea kina cha kabur lake tu.
 
Sasa ungeanzia wap kumpenda na vyeti vyako feki?
Sina vyeti feki na sijawahi kufanya kazi serikalini

Ila ukweli ndio huo hta km huutaki! Magufuli alikuwa rais wa hovyo sana

Kilifanya watu km nyie kumuona mtu wa maana ni propaganda zake baada kupiga pini vyombo vya habari vyote

Kwa akili zenu finyu mkamuona malaika wakati alikuwa anaidumbukiza nchi shimoni

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nyie mnaotaka huyo Magufuli aonekane mungu mtu ndio wajinga sana mbona Kikwete alisemwa sana tena akiwa hai na magufuli tena wazi wazi kwa vijembe mbona mlikaa kimya?

Nyie wasukuma tuondoleeni upuuzi wenu huyo mtu wenu kama mnaona ni malaika nendeni kaburini kwake mkamtukuzie huko huko tuondoleeni upumbavu wenu.

Mtu asiye taka kukaguliwa anafunga watu midomo watu wasiseme mapungufu yake sasa watu wameyakusanya maovu sasa wamepata n
Mbona watu mmejaa chuki na ukabila sana au rais kuwa msukuma au ulitaka atokee kabila lako? Daima chuki sio jambo jema.HESHIMA YA MAGUFULI ITABAKI DAIMA.
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Mkuu

Kwanza nishukuru umekiri Magufuli hajuwa malaika ambacho ni kweli tupu.

Pili Magufuli alikua mtumishi wa umma kupitia utumishi wake unapimwa au matumizi yote aliyoyafanya au kuidhinisha huwa yanakagulia.

Tatu Kama kiongozi wa umma alipewa miongozo mbalimbali Kama instruments za kumsaidia kufanya maamuzi yote aliyopaswa kufanya.

Sasa tukiangalia ubinadamu wake na Kama kiongozi aliyopaswa kuyafanya hapa ndipo tunapopima utendaji wake na kumpongeza kwa mazuri na kulaani mabaya yake.

Report ya CAG imeonesha pasipo kificho kwamba kumekuwa na madudu mengi Sana kwenye serikali ya mwendazake. Kibaya mwendazake alisema hadharani hakuna anayewaza kula fedha za umma. Report inatuonesha mabillion yameliwa na hayajawatokea kila palipo wazi Kama alivyosema mwenda zake.

Tukumbuke hii report ni ya 2019/2020 ambapo mwendazake aliisimamia mwanzo mwisho. Lakini pia report ilikua inafuatilia mapendekezo ya nyuma yaani 2016-2019 utekelezaji wake hatukusikia wakifungwa.

Hivyo Kama wezi alikaa nao alikula nao eg. Waziri wake Kigwangalla na hakuna hatua alichukua. Nani alaumiwe?

Kwa hiyo serikali ya Magufuli ilikua ya kifisadi Kama zilivyokuwa hizo zingine. Lakini hii imekula zaidi ya hizo zingine.

Hoja eti kando ya ziwa ndio Muhimili wa CCM huo ni uongo. Ukitaka nikuthibitishie nitafanya hivyo.

Pili eti umati mwingi uliojittokeza kuaga ulikua unamsupport Magufuli sio kweli. Kwa sababu wengi wa watanzania hawakuwahi kuona au kusikia Rais aliyeko madarakani kafa. Hivyo wapo kweli waliokua mashabiki wake lakini wapo wengi Sana walioenda tu kuona imekuaje. Lakini wapo waliokuwa na chuki nae walioenda kuhakikisha ni kweli amekufa?
Hivyo ummati wa msiba hauwezi kukupa picha nzuri hata kidogo.

Hebu Rudi nyuma miezi 6 wakati wa kampeni bila malori kulikua na Hali gani? Kwa Nini wanafunzi na walimu walilazimishwa kwenda kwenye kampeni?

Ni hayo kwa leo
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za magharibi..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza mgawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania, nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibi kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme tu ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Ligawike Mara nyingine?
 
Aliyeondoka ashaondoka hana chake.
Ukitenda mema umeitengenezea jina jema uzao wako.Uzao wa idi amin,bokasa, hitler hauna thamani kwenye Jamii kama uzao wa bob marley, mandela,ghandi,
 
Back
Top Bottom