Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko siku vibaraka wa mafisadi wataunganishwa kwenye kesiMku si tumeasisi mahakama ya mafisadi kama tuhuma tuliyotuhumiwa nayo ni nani tunampeka ktk hii mahakama kwa liko ndani ya chama.
Kumbuka hii ni tuhuma ambayo sio ya kupepesa macho kwani halisia kwa hiyo ni tofauti na tuhuma zisizo halisia kama hii
Poor argument from hopeless mind. Hapa siyo suala la kusema kama ni mwizi au siyo mwizi, kinachotakiwa kujibiwa ni TZS 1.5 trillion zimeenda wapi? Maneno mengine yote hayana maana.Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Umemsikiliza PolePole?Je ukimuuliza Assad anaeeza kusema 1.5 trilioni zilichukuliwa na mtu au taasisi flani?usiwe mdaku!Poor argument from hopeless mind. Hapa siyo suala la kusema kama ni mwizi au siyo mwizi, kinachotakiwa kujibiwa ni TZS 1.5 trillion zimeenda wapi? Maneno mengine yote hayana maana.
Tusilinde uovu kwa kuegemea kwenye maneno ya 'uzalendo'. Mtu safi athibitishwe kwa matendo. Wote tunapenda tuamini kuwa serikali ni safi lakini kama hatutapata maelezo sawia ya wapi zimekwenda 1.5 trillion, tutapaza sauti na kusema kuwa serikali hii ni ya kifasadi kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea. Na itakuwa ni kauli sahihi kabisa.
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Amfute kazi CAG ili pasiwepo ukaguzi kabisa...ama amuongezee majukumu ya ukaguzi wa hela za serikali bwana Pole pole!Anasingiziwaje wakati yeye ndio anakaa na fuko la hela zetu,
Halafu hapo hapo 1.5 t haionekani? vita yake ya ufisadi haina maana wakati na yeye ni fisadi papa,
Taarifa ya CAG inasema haiijulikani ziliko. Anayetakiwa kutueleza zilikopelekwa ni nani? Tunamwuliza tuliyemwajiri kutunza fedha yetu. JPM atueleze amepeleka wapi pesa yetu 1.5 trillion?Umemsikiliza PolePole?Je ukimuuliza Assad anaeeza kusema 1.5 trilioni zilichukuliwa na mtu au taasisi flani?usiwe mdaku!
Haiwezekani 1.5 trilion haijulikani ilipoenda alafu wewe unasema kwamba itapita tu narudia tena 1.5 trilion hivi kweli utakuwa sawa sawa.Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Fisadi mkuu yupo magogoni na ufisadi wake umethibitishwa na CAG.Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Mku muda si ndio huu kwani tukisema iko siku wakati watuhumiwa tunawaona wako mitaani kwa ujumla hiyo siku aipo mku tuseme yale yalikuwa maneno ya kisiasa tuuiko siku vibaraka wa mafisadi wataunganishwa kwenye kesi
Exactly mkuu huo uchadema na uccm wao uishie hukohuko kwenye korido zao wasilete kwenye mambo ya kitaifaKama Chadema wamepiga pesa wanachadema watadai chao vivo hivo kwa ccm.
Ila 1.5Trilioni hii ni ya watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama na lazima tudai.
Aisee mwambieni anko jambazi we need our money