Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi si unao? nenda kisutu Zitto AfungweUko sahihi Mkuu. By the way sasa hiviwameamua kusemea 1.5 trillion kwa sababu mbowe kapiga 24 bln kwa miaka miwili na wanaongea sana ili kuficha uovu huu. Zitto kala hela ya chama hadi kakimbia kupeleka ripoti ya mahesabu kwa CAG. Na pia kashirikiana na halmashauri yake kupiga hela hadi wamepata hati chafu. Na yeye anajificha kwenye 1.5 ili asionekane. Kuna mambulula amewapata ila kwa sisi werevu hamtupati ng'oooo. Hakuna wanasiasa Tanzania ila kuna waendesha Saccos tu na wapiga dili.
kama unamjua kamshitaki mahakama ya mafisadiFisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Kaka kuna msemo unasema "kikulacho kinguoni mwako" ni ujinga kumtafuta mjusi kwa jirani huku ukiliacha joka likivinjali chini ya uvungu wa kitanda chako. Ni vigumu kumsafisha Magu kwa sasa hata utumie dodoki tayari keshachafuka na hana uwezo wa kutamka yy ni mzalendo wakati kakwapua 1.5 trilioni. Kumbuka fedha hizo hata baba yako ni mmiliki sio zetu pekee unaotuona sie wajinga la msingi mshauri atafute tundu la kuzitolea huu ndiyo utaratibu alioutangaza kwa watakaoiba fedha za ummaHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Si mseme tu mmezipeleka wapi? Mbona rahisiHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
bila shaka 1.5 trillion zilizopotea zitakuwa zimepigwa na lowassa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kwani ufisadi ni nini na fisadi ni nani?Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Tangu mchana tunakuuliza fedha ziko wapi hujibu tukakushauri nenda lumumba au feri kaulize je umeshapata jibu?Lakini sisi makamanda makarai hapa ufipa hatutaki kusikia kuhusu ulaji wa Mbowe. Siku nzima leo tunajitahidi kufunika kombe kadiri tuwezavyo.
Awamu hii mnalo kweliFisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
kama ulithibitishwa kwa nini badala ya kumfikisha kwenye mahakama butu ya mafisadi na mnamkaribisha ikulu na kumsifia?Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Unaona sasa hawa hao watu awasogeze wapi wakati keshawalambia 1.5 trilionSihitaji kuingia kwa kina ,ila vikwazo hivi kwa Reis vinajengwa ili alegee, tafadhari Mkuu, usilegee ila panga mambo makuu ili usogeze watz mbele.
Kiongozi hebu weka tuone trend ya wizi wake...Sijui kwa nini waTz hawana kumbukumbu wakati ripoti ya ukaguzi wa bajeti 2014/15 CAG alibaini wizi wa mabilioni ya shilingi kwenye wizara ya ujenzi aliyokuwa akiiongoza na ilizuiliwa kujadiliwa kwa kuwa aliteuliwa mgombea urais. Jingalao kama ninalosema ni uongo kanusha niweke ripoti ubaoni