Kumtambulisha Hamissa Mobeto mbele ya Makamu wa Rais ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa kwa Haji Manara

Unaenda kwenye sherehe ya watu kisha unaanza kuichambua chambua na kununa nuna bila mpangilio. Wacha watu wafurahie sherehe yao ebooh!
 
Mkoo busy kuongelea matukio ya Yanga Day ila baada ya tarehe nane mtaanza kuongelea matukio yenu,huku mkikumbushia bil 20.
 
Walitambulishwa madada na mashangazi Jmosi baada ya Mo Kuitwa.

Hamisa ni Brand hapa nchini kuliko hata wale madada na mashangazi. Ajabu iko wapi?

Tofauti ya Fatema ,Gulam na Shangazi wa Mo ni ipi dhidi ya Hamisa??

Events zilikiwa za furaha , utani na vibe za kutosha. Acheni ujinga !
 
M
Mtu kakulia kariakoo ataachaje kuwa mswahili wa kupindukia!..mwehu tu huyo
 
Ulitaka atambulishe mbegu za tumbaku??
 
Hamisa ni brand ya umalaya kakazwa na kila mwanaume halafu eti mnamtambulisha mbele ya makamu wa rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…