Kumtambulisha Nusrat Hanje kama mwakilishi wa BAVICHA huko Nyamagana ni uongo wa wazi na ni kumdanganya Rais Samia

Wivu
 
Na ndivyo mtakavyoshangaa mtakaposikia kuwa Mheshimiwa Rais amefanya kikao na wawakilishi wa Chadema wakina Waheshimiwa Halima Mdee, Esther Bulaya, Nusrat Hanje na wengine katika adhma yake ya kukutana na vyama vya upinzani.

Amandla...
 
Mama asirudie mtego wa Mwendezake kudanganywa kuhusu Wapinzani. Haimuongezei sifa yoyote
 
Vijana ndio mngeanzia hapo kwa mbunge asiye na chama,mnadhihirisha hamuaminiki namtauza nchi kwa vipande vya shilingi.
Pambaneni kukemea hilo
 
Sikuna viongozi wa chadema mwanza na taifa kwanini wasikanushe au kwanini wewe kama wewe usimshitaki aliyejitambulisha?
 
Hatutakubali Chadema itumike kwenye mambo yao ya kijinga
Mjinga ni nani kama siyo wewe unayelalamikia kitu ambacho unatakiwa ukipinge kwa njia ileile iliyotumika sasa unakuja humu ili iweje?usaidiwe nini?
 
Ina maana wewe unamjua sana Rais kuliko alionao karibu?
 
Amemchafua Samia wapi?na tangu lini Samia akawa mama yenu chadema?kwahiyo ccm ni baba yenu?
 
..aliyefanya hivyo atakuwa anaamini Raisi ni MJINGA au DHAIFU.

..tusishangilie tukidhani wanaokomolewa ni Chadema.

..Mama asipochukua hatua ipo siku yatafanyika mengine makubwa yenye madhara kupita hili.
Madhara ya hili ni nini?
 
Unadhani bado kuna mtu mjinga kama mawazo tena?

Kafa kwaajili ya chadema familia yake inateseka,huyu kajiongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…